Nini Sababu: Mume amehama ghafla na kwenda kupanga bila ugomvi wala maelezo yoyote

Nini Sababu: Mume amehama ghafla na kwenda kupanga bila ugomvi wala maelezo yoyote

Mwanamke anatabia ambazo hazimpendezi mume japo mume kaamua kuzistiri ila mwanamke amelikuza hadi ustawi wa jamii hapa njia pekee ya kumrudisha ni MSAMAHA wa dhati na kubadilika
 
Hapo kuna mambo mawili ninavyohisi

1. Kamchoka mkewe, inawezekana ikawa huyo mkewe hajamkosea bali yeye tu kamchoka, sometimes distance inasaidia wamuache tu wasimsumbue huko kumshitaki ndio kunaharibu kabisa

2. Labda ana mambo ya kishirikina, huwezi jua anachofanya usiku huko alipo au labda kuna mambo mganga kampa maelekezo. Labda hataki mtu ajue siri zake.

Moyo wa mtu kichaka, huyo mkewe mwambie arudi kwake tu akubaliane na hali halisi na muombe asikushirikishe tena wewe mambo yao
 
Mwanaume kama mwanaume hawezi kukurupuka bila sababu ya msingi akimbie familia, Huyo mwanamke kuna kosa kalifanya na analijua kosa lake vizuri ila tatizo lao wanawake hawakubali hata siku moja kama wao ndio chanzo cha tatizo zaidi ya kuplay victim.

Jamaa anaweza kurudi kama ana moyo wa kusamehe lakini pia anaweza kutokomea mazima ikabaki anatunza familia kwa hiyo pesa ya matumizi.


Tukatae ndoa tu.
 
Kuna mzee mmoja ana mawe na hotel kubwa,ila alimwachia mkewe gorofa akaenda kukaa hotelini. Ila yy watoto, mke alindelea kuwatunza.Nae hajatoa sababu ya ugomvi na mkewe kapiga kimya.Anaishi hotel na wahudumu wake wanadai hajawahi ingiza hata mwanamke kwenye chumba chake ancho ishi.
Huyo sio mzima,mwanayme kamili hawezi kumaliza miezi sita bila kula mzigo
 
Wakuu,
Huyu jamaa ni jirani yangu haswa, yaani tunashare upande mmoja WA ukuta wa fensi,shughuli nyingi za kifamilia Huwa anashiriki vizuri Sana, migogoro pia anakuja kusuluhisa na kunishauri pia.

Japo Kwa ndoa yake niliamini Ni ndoa iliyokamilika haswa maana tangu miaka yote tuishi hapa sijawahi kusikia kagombana na mkewe Hata siku moja, hivyo Huwa nawaheshimu sn.

Kuna siku mkewe alileta malalamiko kwangu kua mmewe kahama nyumbani kwake ghafla,

Anasema siku ya mwisho kuonekana NYUMBANI, aliaga Kama kawaida anaenda kazini kwake asbh na MAPEMA na ndo hakurudi mazima mpaka Leo hii.

Anadai hakubeba chochote kile nyumbani, Kila kitu Kiko Kama kilivyo kua, hawajagombana na wala hajaambiwa kipi kamkosea.

Anadai Mume wake tangu ahame matumizi ya Kila siku anatoa vzur Ila haifiki kabisa nyumbani. anapewa boda ndo apeleke.

Anasema mumewe akipigiwa simu anapokea anadai atarudi TU Ila kavumilia Sana anaona haioni dalili yoyote ya mumewe kurudi nyumbani.

Anasema alishapeleleza Sana hadi kujua anapoishi, kaenda Sana pale (Hadi mida ya usiku sn) labda Kuna mwanamke anaishi nae pale Ila kathibitisha mumewe anaishi peke yake TU na haijawai kuleta mwanamke yeyote pale Hata siku moja.

Anasema keshapeleka kesi Kwa wazazi pande zote mbili, mumewe anadai hamna tatzo, Kuna mambo anayaweka sawa, yakikaa sawa atarudi nyumbani,wala Hana tatzo nae.

Kavumilia Sana Ila haoni dalili yoyote mumewe kurudi. Anadai keshapeleka kesi kanisani, mumewe alishaitwa Sana kagoma kwenda na Kuna siku kapigiwa kamtukana Hadi askofu.

Anasema ilivyofika miezi 3 haoni dalili yoyote akajaribu kwenda ustawi WA jamii kumfungulia kesi ya kutelekeza familia (labda atapata hofu ya serikali), mumewe alivotoka uko ndo kamchukia kabisa na kamblock kwenye mawasiliano yake yote na pesa za matumizi ya familia Kwa Sasa anachukulia ustawi WA jamii.

Jamaa nimejaribu kumdadisi tatzo Nini,hataki kabisa kufunguka, anadai hana tatzo lolote na mkewe, Kuna mambo yake kadhaa anayaweka sawa, punde tu atarejea home nisijali.

Kila mara nimejaribu kumkubushia mkewe anavoteseka kuukosa uwepo wake nyumbani, jamaa Wala haoneshi kujali, miezi 6 sasa inakatika, jamaa hana mahusiano yoyote nje, kuoa mke mwingine Wala Hana mpango wowote WA kurejea nyumbani kwake.

Watoto wao wote sahv wamerejea mashuleni, mkewe juzi kati kaumwa sn mpk kalazwa, jamaa kataarifiwa Ila katuma pesa TU Hata hajakanyaga hospital Wala kumpiga simu kumjulia hali.

Aliporuhusiwa ikabd ahamie kwangu mpk atakapokaa sawa maana watoto wao wote wamesharud mashuleni, jamaa nilimtaarifu Hilo ili atoe ruksa mkewe augulie kwangu, kasema sawa Haina shida. Ni Mwezi Sasa mkewe anashinda,kula na kulala nyumbani kwangu. Jamaa Hana Hata wasiwasi.

Juzi kati kanunua kiwanja nje ya mji, kaniita nimsainie Kama shahidi na kashaanza msingi anasema hapa ndo anajenga makazi yake mapya.

Namuuliza hii inamaanisha Nini khs hatma ya familia yake, anasema haihusiani kbs na familia yake, na Wala nisije thubutu kumwambia chochote mkewe khs hili suala TUTAGOMBANA. Nkamwambia sawa Haina shida.

Hebu wakuu,
Huenda mi sio nzur kwny mambo kusuluhisha migogoro ya ndoa za watu.

Najua humu mna mawazo mazur sn na wataalam tele WA ishu hizi za ndoa.

Hebu nipeni mawazo mawili matatu niweze kuinusuru hii ndoa ya Hawa jirani zangu.

Mkewe tangu jamaa ahame, saivi Kawa Kama kuchanganyikiwa , simuelewi elewi kabisa. Hata anachoumwa Hata hakieleweki, nahisi ni stress za ndoa zake.

Pia, KUISHI NA MKE WA MTU NYUMBANI KWANGU, KIUKWELI binafsi nijistukia kua kimaadili HAIKAI VIZURI kabisa.

Nawasilisha wakuu🙏
Hii kali mkuu!
Ebu tusubiri tuone. Yawezekana mke anampa stress.
Na hataki kusema.
 
Wakuu,
Huyu jamaa ni jirani yangu haswa, yaani tunashare upande mmoja WA ukuta wa fensi,shughuli nyingi za kifamilia Huwa anashiriki vizuri Sana, migogoro pia anakuja kusuluhisa na kunishauri pia.

Japo Kwa ndoa yake niliamini Ni ndoa iliyokamilika haswa maana tangu miaka yote tuishi hapa sijawahi kusikia kagombana na mkewe Hata siku moja, hivyo Huwa nawaheshimu sn.

Kuna siku mkewe alileta malalamiko kwangu kua mmewe kahama nyumbani kwake ghafla,

Anasema siku ya mwisho kuonekana NYUMBANI, aliaga Kama kawaida anaenda kazini kwake asbh na MAPEMA na ndo hakurudi mazima mpaka Leo hii.

Anadai hakubeba chochote kile nyumbani, Kila kitu Kiko Kama kilivyo kua, hawajagombana na wala hajaambiwa kipi kamkosea.

Anadai Mume wake tangu ahame matumizi ya Kila siku anatoa vzur Ila haifiki kabisa nyumbani. anapewa boda ndo apeleke.

Anasema mumewe akipigiwa simu anapokea anadai atarudi TU Ila kavumilia Sana anaona haioni dalili yoyote ya mumewe kurudi nyumbani.

Anasema alishapeleleza Sana hadi kujua anapoishi, kaenda Sana pale (Hadi mida ya usiku sn) labda Kuna mwanamke anaishi nae pale Ila kathibitisha mumewe anaishi peke yake TU na haijawai kuleta mwanamke yeyote pale Hata siku moja.

Anasema keshapeleka kesi Kwa wazazi pande zote mbili, mumewe anadai hamna tatzo, Kuna mambo anayaweka sawa, yakikaa sawa atarudi nyumbani,wala Hana tatzo nae.

Kavumilia Sana Ila haoni dalili yoyote mumewe kurudi. Anadai keshapeleka kesi kanisani, mumewe alishaitwa Sana kagoma kwenda na Kuna siku kapigiwa kamtukana Hadi askofu.

Anasema ilivyofika miezi 3 haoni dalili yoyote akajaribu kwenda ustawi WA jamii kumfungulia kesi ya kutelekeza familia (labda atapata hofu ya serikali), mumewe alivotoka uko ndo kamchukia kabisa na kamblock kwenye mawasiliano yake yote na pesa za matumizi ya familia Kwa Sasa anachukulia ustawi WA jamii.

Jamaa nimejaribu kumdadisi tatzo Nini,hataki kabisa kufunguka, anadai hana tatzo lolote na mkewe, Kuna mambo yake kadhaa anayaweka sawa, punde tu atarejea home nisijali.

Kila mara nimejaribu kumkubushia mkewe anavoteseka kuukosa uwepo wake nyumbani, jamaa Wala haoneshi kujali, miezi 6 sasa inakatika, jamaa hana mahusiano yoyote nje, kuoa mke mwingine Wala Hana mpango wowote WA kurejea nyumbani kwake.

Watoto wao wote sahv wamerejea mashuleni, mkewe juzi kati kaumwa sn mpk kalazwa, jamaa kataarifiwa Ila katuma pesa TU Hata hajakanyaga hospital Wala kumpiga simu kumjulia hali.

Aliporuhusiwa ikabd ahamie kwangu mpk atakapokaa sawa maana watoto wao wote wamesharud mashuleni, jamaa nilimtaarifu Hilo ili atoe ruksa mkewe augulie kwangu, kasema sawa Haina shida. Ni Mwezi Sasa mkewe anashinda,kula na kulala nyumbani kwangu. Jamaa Hana Hata wasiwasi.

Juzi kati kanunua kiwanja nje ya mji, kaniita nimsainie Kama shahidi na kashaanza msingi anasema hapa ndo anajenga makazi yake mapya.

Namuuliza hii inamaanisha Nini khs hatma ya familia yake, anasema haihusiani kbs na familia yake, na Wala nisije thubutu kumwambia chochote mkewe khs hili suala TUTAGOMBANA. Nkamwambia sawa Haina shida.

Hebu wakuu,
Huenda mi sio nzur kwny mambo kusuluhisha migogoro ya ndoa za watu.

Najua humu mna mawazo mazur sn na wataalam tele WA ishu hizi za ndoa.

Hebu nipeni mawazo mawili matatu niweze kuinusuru hii ndoa ya Hawa jirani zangu.

Mkewe tangu jamaa ahame, saivi Kawa Kama kuchanganyikiwa , simuelewi elewi kabisa. Hata anachoumwa Hata hakieleweki, nahisi ni stress za ndoa zake.

Pia, KUISHI NA MKE WA MTU NYUMBANI KWANGU, KIUKWELI binafsi nijistukia kua kimaadili HAIKAI VIZURI kabisa.

Nawasilisha wakuu🙏
Ndugu wakigombana,nenda ukalime,wakipatana chukua kapu ukavune
 
Mwanamke kalegezewa sana kwenye jamii kwa sasa....

Mambo ya haki sawa yanawafanya wanawake waone kama maisha ya ndoa ni sehemu ya luxury, kumbe ndoa ina majukumu mengi sana.
Wanawaza kuwatapeli Tu waume Zao ndio maana sisi wengine KATAA NDOA NI UTAPELI
 
Huyo sio mzima,mwanayme kamili hawezi kumaliza miezi sita bila kula mzigo
Haya maswala ya changamoto za ndoa ukiya tizama unaweza sema wanayo wakuta ni wajinga, ila ukiingia deep unaweza ukauta mwamba kaamua kujipa muda.Kuna kitu kinaitwa mental health huwezi jua jamaa ndio anakipitia, hivi vitu husimkejeli mtu maana havijakukuta.
 
Haya maswala ya changamoto za ndoa ukiya tizama unaweza sema wanayo wakuta ni wajinga, ila ukiingia deep unaweza ukauta mwamba kaamua kujipa muda.Kuna kitu kinaitwa mental health huwezi jua jamaa ndio anakipitia, hivi vitu husimkejeli mtu maana havijakukuta.
Mimi yalishanikuta mara mbili.mke wa kwanza alikuwa mzungu,wapilimchaga,huyu nchaga kidogo niue mtu aliyekuwa akimpa kiburi,niliondoka na nguo zangu tuna kuanza upya,ila ili kujifariji niligeuka playboy,malaya pro max
 
Hii ni hali ngumu sana, na inaonyesha kwamba mume huyo ana jambo zito anapitia, lakini hataki kulieleza kwa mtu yeyote.

Kama ameweza hata kumtukana askofu na kukaidi wazazi, huenda hakuna mtu ambaye anamheshimu vya kutosha kumshauri.

Tafuta mtu mmoja ambaye unahisi anaweza kumvuta sikio na kusikilizwa (rafiki wa karibu, mkubwa wake kazini, au mtu anayeaminiwa sana na familia yake

Kama ameanza ujenzi wa nyumba mpya, huenda ameshaamua kuanza maisha mapya mbali na familia yake.

Badala ya kumlazimisha kurudi, jaribu kumpa nafasi ya kueleza nia yake halisi kwa njia isiyo ya kumshinikiza.

Kuhusu kukaa na mke wa mtu

Umefanya jambo la utu kwa kumsaidia mke wa jirani yako, lakini kwa upande wa maadili, ni vyema kutafuta njia mbadala ili asikae kwako kwa muda mrefu. Pengine washirikishe ndugu wa karibu wa mkewe ili wamsaidie kwenye kipindi hiki kigumu.

Mkewe anaonekana kuwa kwenye hali mbaya ya msongo wa mawazo. Tafuta namna ya kumshauri akapate ushauri wa kitaalamu kwa sababu hali hii inaweza kuathiri afya yake kwa kiwango kikubwa.

MWISHO JAPO SI KWA UMUHIMU HUYO MWANAMKE ANAJUA KWANINI MUME WAKE HAATKI KURUDI NYUMBANI, AU KAMA HAJUI HUYO MWANUME HUENDA KUNA MAAGANO AMEINGIA YA KISHETANI HIVYO AKATAKIWA ASIKAE NA MWANAMKE
 
Mimi yalishanikuta mara mbili.mke wa kwanza alikuwa mzungu,wapilimchaga,huyu nchaga kidogo niue mtu aliyekuwa akimpa kiburi,niliondoka na nguo zangu tuna kuanza upya,ila ili kujifariji niligeuka playboy,malaya pro max
Kuna watu wengine may be wapo hivyo sababu ya dini.
 
Tulishauriana na wife amsihi aende kwao, hataki kabisa, pia kumforce akarudi kwake inakua Kama tunamfukuza kisa ana matatzo, kitu ambayo Kama haisound vzuri
Hapa kuna tatizo. Tafuta ndugu zake wamchukue. Hatujui siku ya kufa, lakini ghafla amefia hapo kwako unaweza kupata changamoto ya kuhusika na upelelezi
 
Aise hata mm npo radhi nimuachie mwanamke na watoto nyumbaa nikaanze upya .....huyu jamaaa yupo sahihi kabisa
 
Kuna mengi sana wanandoa wanapitia,pande zote mbili,kuna +ve na -ve

Kuna kitu kwa sasa kinavunja sana ndoa,saaana yaaani..

Wake zetu hawa wanao okoka ama kutumia muda mwingi kanisani.....kuna kosa moja kubwa sana wanafanya ila hawajui,wanajenga ukaribu sana na kuwaamini hawa wachungaji,watumishi,walimu,pasta,padri etc kuliko mumewe ndani kiasi kwamba analeta nyumbani yale anayo ambiwa huko na anaanza kumwamwini mchungaji wake kuliko mumewe,kinachotokea kwa mume ni kuona anashushwa thamani yake kama baba ndani nafasi hiyo anachukua mtu flan na hili linawala sana wanaume moyoni.
Kuna case moja nawatolea mfano..

Kuna mshikaji mkewe anasali haya makanisa ya kiroho,anashughuli zake halali akimaliza anazama kanisani kwa pasta,kuna wakati jamaa akapata changamoto kidogo,kapiga mchepuko akafanya yake akirudi kwa mama ngoma(dushe) inasua sua kusimama,mke akaja na ushauri kaongea na mchungaji kuhusu hilo swala kwa hiyo mumuwe aende wakaongee kiume na mchungaji....nnavyoandika hapa ndo ili ingia kwenye misukosuko balaa,mwamba anaamin mke analiwa na mchungaji
 
Back
Top Bottom