Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hii hata mimi nilieishia la 3B inatosha kabisa kuniambia ni dukapicha...tustick kwenye hoja tusifanye propaganda hazijengi,na hili linaweza kusababisha hata kwenye ukweli kidogo ukapuuziwa kwa kutanguliwa na upotoshajiEeh makubwaView attachment 1908362
Wabongo rahisi sana kuwayumbisha.Sio jambazi sawa ila mtu ambae hana uzoefu na ile mijegeje anawezaje kutumia siraha kiasi kile? Mlikuwa hamjui vizuri tu
Yaani Mungu ni fundi kweliIla jamani tuache masihara hivi huyu jamaa kama hilo vazi lingekuwa ni lilile la chadema ingekuwaje embu tujaribu kuvaa hivi viatu, namna viongozi wa nchii walivyo waonevu leo Mungu kawaumbua.
Mbona wengi tu wanajua kutumia hata mimi muuza majeneza najua mpaka kutega mabomu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]story ni nyingi kwaiyo bhana akajua na kutumia AK 47 au aliingia youtube eneo la tukio
Yale yale ya akina Abdallah Zombetukio la huyu jamaa kufanya haya yote !
japo ni mkristo nilifika kuchukia wanaosema ni askari !
na leo mama kasema kama mnaona mtu kuwa na kosa kwanza fanyeni uchunguzi kabla kuleta yote!
mama kaeleza.
polisi wanaongoza kupiga dili
-askari michongo,askari sio wahaminifu,askari kutaka maisha na ukweli.
View attachment 1908327
View attachment 1908328
View attachment 1908329
jeshi la polisi kuna kasoro kama wananchi katika maelezo wanaeleza ukweli kuhusu hili.
kumbuka kuna siku mtakimbilia jeshi kuu kwa haya.
japo nilimuachia mungu
tukio la huyu jamaa kufanya haya yote !
japo ni mkristo nilifika kuchukia wanaosema ni askari !
na leo mama kasema kama mnaona mtu kuwa na kosa kwanza fanyeni uchunguzi kabla kuleta yote!
mama kaeleza.
polisi wanaongoza kupiga dili
-askari michongo,askari sio wahaminifu,askari kutaka maisha na ukweli.
View attachment 1908327
View attachment 1908328
View attachment 1908329
jeshi la polisi kuna kasoro kama wananchi katika maelezo wanaeleza ukweli kuhusu hili.
kumbuka kuna siku mtakimbilia jeshi kuu kwa haya.
japo nilimuachia mungu
Mbona hata mimi najua kutumia AK 47. Kwahiyo nami ni muharifu?story ni nyingi kwaiyo bhana akajua na kutumia AK 47 au aliingia youtube eneo la tukio
Mkuu wewe ni MTZ mbona kuandika kiswahili ni shida sana?tukio la huyu jamaa kufanya haya yote !
japo ni mkristo nilifika kuchukia wanaosema ni askari !
na leo mama kasema kama mnaona mtu kuwa na kosa kwanza fanyeni uchunguzi kabla kuleta yote!
mama kaeleza.
polisi wanaongoza kupiga dili
-askari michongo,askari sio wahaminifu,askari kutaka maisha na ukweli.
View attachment 1908327
View attachment 1908328
View attachment 1908329
jeshi la polisi kuna kasoro kama wananchi katika maelezo wanaeleza ukweli kuhusu hili.
kumbuka kuna siku mtakimbilia jeshi kuu kwa haya.
japo nilimuachia mungu
Huyu siyo Mswahili anaonekana anaweza akawa MsomaliKiswahili gani hiki? We jamaa mbovu kinyama, div 0
Acheni ushamba nyie walugaluga, hata mimi najua kutumia silaha wala sijawahi enda JKT. Kushika silaha kunahitaji uwe na degree ngapi?Tuwe wapole, jamaa anaonyesha ana mbinu za kivita, that means somewhere alipata training, tusiwe wepesi kuhukumu polisi.
Ni watu wenye low thinking capacity wanaomshabikia. Hajawahi kutumia akili kwenye misiba au matukio ya vifoKwani lini alikuwa na akili huyo?
We ni mpuuzi kwani ukipata leseni ya silaha si unaenda kwenye shooting range kuna silaha mbali mbaliSio jambazi sawa ila mtu ambae hana uzoefu na ile mijegeje anawezaje kutumia siraha kiasi kile? Mlikuwa hamjui vizuri tu
Wewe si ni gaidi tunakujua!!Acheni ushamba nyie walugaluga, hata mimi najua kutumia silaha wala sijawahi enda JKT. Kushika silaha kunahitaji uwe na degree ngapi?
Kule Afghanistan bibi harusi anapewa AK 47 afyatue risasi hewani magazine inaisha alafu nyie mnakuja hapa kuamini bunduki ni kitu exceptional sana. Kwanza JKT wanafundishwa
Mze Mpili, alikua anamuombea dua ili aue polisi zaidiUyo uliemzungushia duara ndio nani?
Mbona uko nyuma sana mkuu?Sio jambazi sawa ila mtu ambae hana uzoefu na ile mijegeje anawezaje kutumia siraha kiasi kile? Mlikuwa hamjui vizuri tu
Kama Ana huo mgodi wa dhahabu na kama hio ndio biashara yake inawezekana pia aluchkua mafunzo just incase ikibidi kupambana na majambazi au 'wadhulumishi'Sio jambazi sawa ila mtu ambae hana uzoefu na ile mijegeje anawezaje kutumia siraha kiasi kile? Mlikuwa hamjui vizuri tu
Kwa yale mavazi ya kijani, huenda aliwahi fanya mafunzo ya green guard!story ni nyingi kwaiyo bhana akajua na kutumia AK 47 au aliingia youtube eneo la tukio