Nini sababu ya kuimbwa misemo tata jogging za Jeshi?

Tabia zao zina reflect jamii ya watu wanakotoka, sasa wabongo kwa tabia zenu za kupenda matusi mlitegemea wanajeshi waweje sasa. Kwingine kule Tanesco nako wanasemwa wana matusi balaa, hapo bado wavuvi, mafundi gereji, migodini kote huko ni matusi yanarindima. Kule kwengine nikasikia tusi la 'na sensi'.....​
 
Ye anajua jeshi kama anavyotukanwa gwajima humu,, mwaache wamdake na I'd yake fake akaoshe magari maji kwenye kisoda
madogo wanakosa uzalendo kwa kulitusi jeshi linalowapambania hii amani ambayo inawapa kiburi cha kupost pumba...huyu angekuwa rwanda, china, russia asingefika , kesho huyu....
 
That's actually a joke. And by the way, the first W stands for Work. (not war)
 
John John alihangaika
Alivyokamatwa Ugoni, alihangaika
Na chupi yake mkononi[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahah hizo nyimbo zinasisimua sana na kufurahisha at the same time😅 kwahio huwezi boreka hata kama unasukuma meli iende baharini!

Zinafanya zoezi gumu kuwa jepesi😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…