The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Kuchora tattoo imekua jambo rahisi zaidi kutokana na ujio wa nyenzo za kisasa za uchoraji,hata idadi ya wacheza soka ulaya wenye tattoo inazidi kuongezeka kila kukicha,zamani ilikua ni nadra sana kuona mchezaji kajichora tattoo,
Wengine wanaiga tu kutokana na utandawazi.
Wengine wanaiga tu kutokana na utandawazi.