BarajaMkush
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 1,633
- 2,975
Bila Pesa Tattoo ni kama UtangoTango tu Mwilini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawe pia mwaka mpya wenye furaha kwako.Mwanafunzi wangu mimi sijambo.
Happy nyu ya.
Aisee🙄Kuna porn star fulani anaitwa Candela X Ana tattoo matata Sana Yani imechorwa kuzunguka mqundu[emoji39][emoji39]
Mabegani, mikononi...usoni... kifuani
Wazee wa kupiga selfie na wafuasi wa Mia Khalifa tukutane nje ya geti kwa briefing kidogo 😃Kuna porn star fulani anaitwa Candela X Ana tattoo matata Sana Yani imechorwa kuzunguka mqundu[emoji39][emoji39]
Ni ulimbukeni na wingi wa kuiga wasioyajua.Mabinti wengi siku hizi wana michoro ya tattoo kwenye miili yao, inaonekana kama ni mtindo, mabinti siku hizi wamezibukia kwenye michoro ya tattoo.
Je ni nini tatizo, malezi mabaya ya watoto, uhuru uliopitiliza ama ni kuanguka kwa maadili kwenye jamii kwa wakati huu.
Natambua kweli ile tunaita moral fabric kwenye jamii nyingi iko kwenye hali mbaya lakini huku kwetu inakuja kwa kasi sana.
Je ni nini shida ama sababu?
Acha ujinga wewe..tangu dini zimewa brainwash mnaona ni dhambi..hivi hujui kulikua na makabila kuchora miili yao ilikua ndio tamaduni zao..kama wamakonde..wanyaturu..to mention the few..wa walikua descent na walipendeza ilikua ni moja ya urembo..leo hii memegeuza kila kitu kwa ujinga wa dini za kuletewa..ndio nyie mnao ona ndoa ya wake wengi kosa..ila ushoga na usagaji ni haki za binadamu.Wanaochora tattoo zinazoonekana wengi ni attention seekers. Mara nyingi ni wadangaji na malaya.
Wenye tattoo za siri pia ni walewale wadangaji na majambazi.
Though kuna minorities ambao wamechora tattoo kutokana na mkumbo rika au kushawishiwa na wapenzi wao. In simple language hawana akili sawa sawa.
Mwanamke bright, responsible na visionary hawezi fanya huo upumbavu hata siku moja.
Tattoo ni uhuni.
Tattoo ina uhusiano gani na malezi pamoja na maadili?Mabinti wengi siku hizi wana michoro ya tattoo kwenye miili yao, inaonekana kama ni mtindo, mabinti siku hizi wamezibukia kwenye michoro ya tattoo.
Je ni nini tatizo, malezi mabaya ya watoto, uhuru uliopitiliza ama ni kuanguka kwa maadili kwenye jamii kwa wakati huu.
Natambua kweli ile tunaita moral fabric kwenye jamii nyingi iko kwenye hali mbaya lakini huku kwetu inakuja kwa kasi sana.
Je ni nini shida ama sababu?
Mm sijaona ebu zoom kidogo
@anasboKuna porn star fulani anaitwa Candela X Ana tattoo matata Sana Yani imechorwa kuzunguka mqundu[emoji39][emoji39]