Nini sababu ya mabinti wa siku hizi wengi kuwa na michoro ya tattoo kwenye miili yao?


Hawana sababu za msingi ni upumbafu wa hali ya juu.....

In short ni malezi mabaya inapelekea watoto kuharibika.....na kuna watoto washashindikana kwa wazazi wao, others mpaka wanawatoa uhai wazazi wao.......afrika ni afrika tu, haitabadilika kamanda Hakimu
 
Dangaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…