hiyo ni kawaida na ndo siri zenyewe,....tuna mfano mzuri, mdogo wake ROSTAM AZIZ kukutwa na hazina ya meno ya tembo na silaha nzito,....watu wanaona gas na hisa kumbe nyuma ni jangiri mkubwa,....huku kwetu miaka ya nyuma matajiri wengi walidhamini makundi ya ujambazi,...watu wanabomoa maduka ya jumla yale makubwa au magodown , kisha wanapeleka mzigo kwa tajiri ananunua kwa bei ndogo mno,...huku yeye akiwalinda dhidi ya sheria na kuwapa silaha,...kwasasa ,...ni dili za dollar na dhahabu kwenye black market,....wasomali,,(wasafiri harmu) ,...utakatishaji wa fedha za kifisadi,....ndo vinashika kasi sana,...