Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Kwakweli Maana km kutafuta wengi wanatafuta na wanapatasiri ya utajiri ni kutunza siri ya utajiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli Maana km kutafuta wengi wanatafuta na wanapatasiri ya utajiri ni kutunza siri ya utajiri
Mafanikio ni siri. ukishindwa kutunza siri, sahau kuhusu utajiri na mafanikio.Wasalam wakuu,
Imekuwa ni jambo la kawaida matajiri wakihojiwa kuhusu utajiri wao utasikia anasema nilianza na baiskeli sasa
namiliki kampuni kubwa ya mabasi. Mwingine atasema nilianza mama ntilie leo namiliki hoteli kadhaa mjini, mwingine anasema nilianza kushona viatu ila sasa na miliki kiwanda cha viatu, mara nilianza na mtaji wa 20,0000 sasa nina billion 5.
Wanaeleza mambo kana kwamba ni mepesi sana na baadhi ya vijana wasio fikirisha akili yao vizuri wana chukua kama ilivyo wana hamasika wana enda kupambana bila mafanikio, matokeo yake wanakata tamaa zaidi. Jamani kama alivyo wahi sema Mh raisi mstaafu Jakaya Kikwete kwamba akili za kuambiwa changanya na za kwako hii ni muhimu sana.
Nyie mna mtizamo gani ndugu wanabodi.
Hii Ina make sense Haina ubishiMtu anaweza kuongeza chumvi lakini mimi nimeshuhudia Fundi Baiskeli hatimae akafungua Duka la Spea za Baiskeli baadae akawa analeta Baiskeli na sasa kahamia kwenye Pikipiki na ni Multi Milionea.
Hapa wanapigwa wengi sana, wanalipia semina na vitabu wana nunua eti wapateUtajiri ni siri ya mtu binafsi , washamba ni wale wanaoenda kwenye semina za kufundishwa utajir.
Hili nalo nilakuliangalia 😃😃😁🤣Hii Ina make sense Haina ubishi
Sio zile za nilianza na kuuza karanga ss Nina kampuni ya mabasi 🤣
Uliwahi kuoji juu ya siri ya umaskini
Kumbe za kuambiwa uchanganye na za kwako.Mafanikio ni siri. ukishindwa kutunza siri, sahau kuhusu utajiri na mafanikio.
Dah umefikiria mbali kweli. Itakuchukua muda mrefu mpaka utakata tamaaUtajiri Ni Siri Sana ukitaka kuamini embu save milioni kila mwezi afu uone utafikisha Bilion moja lini
Mara ooh mimi nilikuwa na zungusha mchicha na matembele kwenye nyumba za watu na beseni kichwani, biashara imekuwa sasa napeleka nje ya nchi kwa ndege nimeweza kujenga ghorofa mjini kati.Nakumbuka nilianza kufunga karanga za elfu moja. Sasa namiliki vi eite 5.
ni corleone mdau , hilo la vito andollini sijakosea , ni jina lake rasmi akiwa huko sicily . Ila akabadilisha na kujiita vito corleone akiwa new york marekani.Cornellone
Mwisho mzuri ni upi na mwisho mbaya ni upi mkuu?Utajiri sio jambo rahisi hakuna mtu hapambani ukweli naouona Kuna njia mbili za kufanikiwa Moja unapambana mungu anaweka tiki huu ni utajiri mzuri ambao hauna maagano wa pili ni WA shetani ambao unaupata kiraisi sana na kwa maagano na huu mwisho wake unakuwa sio mzuri sasa wewe ndio wa kuchagua uende upande upi
🤣🤣Hili nalo nilakuliangalia 😃😃😁🤣
Huyo super feo wako unamjua vizuri?🤔. au unataka tukwambie,....?Sasa unataka ukweli upi mtu kama superfeo alianza kuhustle alivyomaliza darasa la saba wakati wengine waliendelea na shule miaka kumi mbele mpaka chuo biashara huwa inasumbua ukiwa na mtaji mdogo Kuna kuanguka sana wengi huwa wanakata tamaa hapa ila wanaokaza mwisho ukijipata halafu ukaweka njaa zaidi Mzee utajiri upo
hiyo ni kawaida na ndo siri zenyewe,....tuna mfano mzuri, mdogo wake ROSTAM AZIZ kukutwa na hazina ya meno ya tembo na silaha nzito,....watu wanaona gas na hisa kumbe nyuma ni jangiri mkubwa,....huku kwetu miaka ya nyuma matajiri wengi walidhamini makundi ya ujambazi,...watu wanabomoa maduka ya jumla yale makubwa au magodown , kisha wanapeleka mzigo kwa tajiri ananunua kwa bei ndogo mno,...huku yeye akiwalinda dhidi ya sheria na kuwapa silaha,...kwasasa ,...ni dili za dollar na dhahabu kwenye black market,....wasomali,,(wasafiri harmu) ,...utakatishaji wa fedha za kifisadi,....ndo vinashika kasi sana,...Ni kweli unayoyasema ila behind the scene na ku-make fortune si viatu wala maduka yao!! SSB anatajwa sana kwenye poaching ,Musukuma udhulumati wa madini ,kishimba anatajwa sana kurun bizness za Vigogo wa serikali kwa kupitia jina lake kwakuwa ni muaminifu hapo hapo na yeye akajiongeza.
Kuna jamaa mmoja maeneo flani alikuwa ana duka tu kubwa la nguo anatoka kanda ya kaskazini ,alikuwa pia ana duka genge ,anauza mkaa ,maji na vitu vingi vingi ,lilijaza balaa akajenga nyumba mbili enzi hizo tulikuwa tunaita "SEFU KONTENA" ,jioni alikuwa anasema anafanya kazi ulinzi kumbe behind the scene alikuwa "MANDONGA MTU KAZI SHOW SHOW aka MZEE WA MJEGEJE" ilikuja kubainika baada ya kushikwa kwa ujambazi....Kwahiyo kuna baadhi ya watu wanafanya biashara front kucover ufirauni wao wa nyuma.
hiyo ni kawaida na ndo siri zenyewe,....tuna mfano mzuri, mdogo wake ROSTAM AZIZ kukutwa na hazina ya meno ya tembo na silaha nzito,....watu wanaona gas na hisa kumbe nyuma ni jangiri mkubwa,....huku kwetu miaka ya nyuma matajiri wengi walidhamini makundi ya ujambazi,...watu wanabomoa maduka ya jumla yale makubwa au magodown , kisha wanapeleka mzigo kwa tajiri ananunua kwa bei ndogo mno,...huku yeye akiwalinda dhidi ya sheria na kuwapa silaha,...kwasasa ,...ni dili za dollar na dhahabu kwenye black market,....wasomali,,(wasafiri harmu) ,...utakatishaji wa fedha za kifisadi,....ndo vinashika kasi sana,...