Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ni miiko yetu matajiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanashindwa kutofautisha kati ya utajiri na kuyapatia maisha!
Kila mtu huyapatia maisha kipindi fulani Cha maisha yake!kubaki kwenye kilele hicho na kuendelea zaidi Hadi utajiri ndio kazi ilipo hapo!!
Kwanza ku maintain bila kushuka halafu kupanda kilele kufikia utajiri hapo ndipo majaaliwa ya Mungu au kulazimisha kwa kafara ya maisha Yako has uchawi na uganga!
Wengi TU tunajipata lakini baada ya kujipata unapigwa scard na shetani Hadi unaweza anguka anguko kuu!
Wengi tumewaona!
Wengi huwa wanaongea ukweli ila shida ni kwamba njia ambazo mwenzio amezitumia kupata utajiri sizo ambazo wewe unaweza kuzitumia ili upate utajiri huo.Wasalam wakuu,
Imekuwa ni jambo la kawaida matajiri wakihojiwa kuhusu utajiri wao utasikia anasema nilianza na baiskeli sasa
namiliki kampuni kubwa ya mabasi. Mwingine atasema nilianza mama ntilie leo namiliki hoteli kadhaa mjini, mwingine anasema nilianza kushona viatu ila sasa na miliki kiwanda cha viatu, mara nilianza na mtaji wa 20,0000 sasa nina billion 5.
Wanaeleza mambo kana kwamba ni mepesi sana na baadhi ya vijana wasio fikirisha akili yao vizuri wana chukua kama ilivyo wana hamasika wana enda kupambana bila mafanikio, matokeo yake wanakata tamaa zaidi. Jamani kama alivyo wahi sema Mh raisi mstaafu Jakaya Kikwete kwamba akili za kuambiwa changanya na za kwako hii ni muhimu sana.
Nyie mna mtizamo gani ndugu wanabodi.
Neno utajiri Kwa muono wa Mungu ni pana sana,sio kwa fikra zetu finyu,eti Mali za kidunia pekee!utajiri una tafsiri pana Sana kwake!Mungu wenu hataki muwe matajiri hadi mpitie kwa shetani?
Vipi ulifanikiwa!!?[emoji3][emoji3] acha nicheke tu.
Shetani ni sawa na mtu ambaye alikuta kiwanja hakina mtu akaamua kujimilikisha lakini mmiliki yupo na hati kaamua kutulia tu pesa na dhahabu ni mali ya BwanaMungu wenu hataki muwe matajiri hadi mpitie kwa shetani?
Kwahiyo Mungu wenu hataki muwe matajiri duniani hadi mbinguni? Yani kawaumba ili mteseke tu duniani? Wewe kwa akili za kibinadamu unaweza kubali mwanao ateseka wakati una uwezo wa kumsaidia? Story zenu don't make any sense. Zinamchafua zaidi Mungu wenu kuliko kumsifia.Neno utajiri Kwa muono wa Mungu ni pana sana,sio kwa fikra zetu finyu,eti Mali za kidunia pekee!utajiri una tafsiri pana Sana kwake!
Shetani ni sawa na mtu ambaye alikuta kiwanja hakuna mtu akaamua kujimilikisha lakini mmiliki yupo na hati kaamua kutulia tu pesa na dhahabu ni mali ya Bwana
Hakuna Mungu wala Shetani anayegawa utajiri.Utajiri sio jambo rahisi hakuna mtu hapambani ukweli naouona Kuna njia mbili za kufanikiwa Moja unapambana mungu anaweka tiki huu ni utajiri mzuri ambao hauna maagano wa pili ni WA shetani ambao unaupata kiraisi sana na kwa maagano na huu mwisho wake unakuwa sio mzuri sasa wewe ndio wa kuchagua uende upande upi
Utajiri mkubwa kwa Mungu ni kutenda mema utajiri wa mali ni nyongeza tu sio lazima ila kwa mtu yoyote akiomba kwa bidii utajiri Mungu ana anakupaHujajibu swali, Mungu wenu hataki muwe matajiri? Yani purposely anataka watu wake mteseke? Inabidi dishes licheze kuamini hizi story.
Huyo Mungu Alishindwa na Anashindwa kuwapa hata chakula Maelfu ya watoto, wanawake na wazee wanaokufa kwa njaa wakilia na kumuomba awasaidie,Utajiri mkubwa kwa Mungu ni kutenda mema utajiri wa mali ni nyongeza tu sio lazima ila kwa mtu yoyote akiomba kwa bidii utajiri Mungu ana anakupa
Tanzania hakuna ni wafanya biasha wa kuhasabika walio fan ikiwa kihalali bila kushirikiana na watu wa serikalini kuiba kodi na rasiri mali za umma. Wewe nchi ambayo hata ukiweka hela bank ,badala ya bank kulipa liba kwenye hela wanazo kama nazo bank. Wao ndio wanarundikia mwenye account fees na charges za kiwizi. Eti Ledger charge, VAT charge kwenye saving accounts?Wasalam wakuu,
Imekuwa ni jambo la kawaida matajiri wakihojiwa kuhusu utajiri wao utasikia anasema nilianza na baiskeli sasa
namiliki kampuni kubwa ya mabasi. Mwingine atasema nilianza mama ntilie leo namiliki hoteli kadhaa mjini, mwingine anasema nilianza kushona viatu ila sasa na miliki kiwanda cha viatu, mara nilianza na mtaji wa 20,0000 sasa nina billion 5.
Wanaeleza mambo kana kwamba ni mepesi sana na baadhi ya vijana wasio fikirisha akili yao vizuri wana chukua kama ilivyo wana hamasika wana enda kupambana bila mafanikio, matokeo yake wanakata tamaa zaidi. Jamani kama alivyo wahi sema Mh raisi mstaafu Jakaya Kikwete kwamba akili za kuambiwa changanya na za kwako hii ni muhimu sana.
Nyie mna mtizamo gani ndugu wanabodi.
Siyo uongo, kwa yeyote ambaye hajarithi utajiri, ni lazima aanze maisha ya kutokuwa na kitu, maana hakuna pesa za utajiri ambazo utaokota tu njiani.Wasalam wakuu,
Imekuwa ni jambo la kawaida matajiri wakihojiwa kuhusu utajiri wao utasikia anasema nilianza na baiskeli sasa
namiliki kampuni kubwa ya mabasi. Mwingine atasema nilianza mama ntilie leo namiliki hoteli kadhaa mjini, mwingine anasema nilianza kushona viatu ila sasa na miliki kiwanda cha viatu, mara nilianza na mtaji wa 20,0000 sasa nina billion 5.
Wanaeleza mambo kana kwamba ni mepesi sana na baadhi ya vijana wasio fikirisha akili yao vizuri wana chukua kama ilivyo wana hamasika wana enda kupambana bila mafanikio, matokeo yake wanakata tamaa zaidi. Jamani kama alivyo wahi sema Mh raisi mstaafu Jakaya Kikwete kwamba akili za kuambiwa changanya na za kwako hii ni muhimu sana.
Nyie mna mtizamo gani ndugu wanabodi.
Wasalam wakuu,
Imekuwa ni jambo la kawaida matajiri wakihojiwa kuhusu utajiri wao utasikia anasema nilianza na baiskeli sasa
namiliki kampuni kubwa ya mabasi. Mwingine atasema nilianza mama ntilie leo namiliki hoteli kadhaa mjini, mwingine anasema nilianza kushona viatu ila sasa na miliki kiwanda cha viatu, mara nilianza na mtaji wa 20,0000 sasa nina billion 5.
Wanaeleza mambo kana kwamba ni mepesi sana na baadhi ya vijana wasio fikirisha akili yao vizuri wana chukua kama ilivyo wana hamasika wana enda kupambana bila mafanikio, matokeo yake wanakata tamaa zaidi. Jamani kama alivyo wahi sema Mh raisi mstaafu Jakaya Kikwete kwamba akili za kuambiwa changanya na za kwako hii ni muhimu sana.
Nyie mna mtizamo gani ndugu wanabodi.