Nini sababu ya Matajiri wengi kutokuwa wakweli juu ya utajiri wao?

Nini sababu ya Matajiri wengi kutokuwa wakweli juu ya utajiri wao?

Wanga wanakuwaangia,wanatafuta chanzo kikuu Cha ustawi wako,kama ni mke anaanza kuzingua,kama ni kazi migogoro inaaanza kazini,kama ni duka wanakunyima wateja au chuma ulete na short!

Mfano panya wengi wanatafuna Hadi biscuits,soda dukani!

Hayo nimeona kabisa!
Ina fikirisha kwa kweli mkuu
 
Kwanini nchi hii watu mnachuki na watu waliofanikiwa ni lini nchi ilikuwa tajiri kwanini hamtaki kuamini walianza kuuza karanga mpaka kutajirika ni kama vile darasa ni Moja lakini wapo wachache wanapata div 1 na wengine wanapata div 0 hilo linawezekana kabisa
Hakuna mtu anae waonea wivu au chuki ila tunachosema kwa waeleze uhalisia au bora wawe kimya kuliko hivyo wanavyoelezea haviendani na uhalisia.

Wapo wanaopata division one kwa kununua mtihani sio wote wanapata kwa njia ya kawaida.
 
Kuna tajiri mmoja aliniambia siri ni kusoma majarida ya uchumi kama Forbes

1000012493.jpg
 
Utajiri sio jambo rahisi hakuna mtu hapambani ukweli naouona Kuna njia mbili za kufanikiwa Moja unapambana mungu anaweka tiki huu ni utajiri mzuri ambao hauna maagano wa pili ni WA shetani ambao unaupata kiraisi sana na kwa maagano na huu mwisho wake unakuwa sio mzuri sasa wewe ndio wa kuchagua uende upande upi
 
Hakuna mtu anae waonea wivu au chuki ila tunachosema kwa waeleze uhalisia au bora wawe kimya kuliko hivyo wanavyoelezea haviendani na uhalisia.

Wapo wanaopata division one kwa kununua mtihani sio wote wanapata kwa njia ya kawaida.
Sasa unataka ukweli upi mtu kama superfeo alianza kuhustle alivyomaliza darasa la saba wakati wengine waliendelea na shule miaka kumi mbele mpaka chuo biashara huwa inasumbua ukiwa na mtaji mdogo Kuna kuanguka sana wengi huwa wanakata tamaa hapa ila wanaokaza mwisho ukijipata halafu ukaweka njaa zaidi Mzee utajiri upo
 
Utajiri sio jambo rahisi hakuna mtu hapambani ukweli naouona Kuna njia mbili za kufanikiwa Moja unapambana mungu anaweka tiki huu ni utajiri mzuri ambao hauna maagano wa pili ni WA shetani ambao unaupata kiraisi sana na kwa maagano na huu mwisho wake unakuwa sio mzuri sasa wewe ndio wa kuchagua uende upande upi
Watu wapambane kwa kumtegemea Mungu.
 
Sasa unataka ukweli upi mtu kama superfeo alianza kuhustle alivyomaliza darasa la saba wakati wengine waliendelea na shule miaka kumi mbele mpaka chuo biashara huwa inasumbua ukiwa na mtaji mdogo Kuna kuanguka sana wengi huwa wanakata tamaa hapa ila wanaokaza mwisho ukijipata halafu ukaweka njaa zaidi Mzee utajiri upo
Sawa sawa mzee wa kazi.
 
Wasalam wakuu,

Imekuwa ni jambo la kawaida matajiri wakihojiwa kuhusu utajiri wao utasikia anasema nilianza na baiskeli sasa
namiliki kampuni kubwa ya mabasi. Mwingine atasema nilianza mama ntilie leo namiliki hoteli kadhaa mjini, mwingine anasema nilianza kushona viatu ila sasa na miliki kiwanda cha viatu, mara nilianza na mtaji wa 20,0000 sasa nina billion 5.

Wanaeleza mambo kana kwamba ni mepesi sana na baadhi ya vijana wasio fikirisha akili yao vizuri wana chukua kama ilivyo wana hamasika wana enda kupambana bila mafanikio, matokeo yake wanakata tamaa zaidi. Jamani kama alivyo wahi sema Mh raisi mstaafu Jakaya Kikwete kwamba akili za kuambiwa changanya na za kwako hii ni muhimu sana.

Nyie mna mtizamo gani ndugu wanabodi.
Honore de Balzac


Le secret des grandes fortunes sans cause apparente est un crime oublié, parce qu'il a été proprement fait.

The secret of a great success for which you are at a loss to account is a crime that has never been found out, because it was properly executed.

often quoted as ‘Behind every great fortune lies a great crime’
Le Père Goriot (1835)
 
Majibu yako kwenye biblia
MITHALI 25:2-ni utukufu wa Mungu kuficha jambo, Bali utukufu wa mfalme (tajiri) kuchunguza jambo.

Siri hizo sio rahisi kuziweka hadharani. KUTAFUTA PESA SIO KAZI KAMA KUITUNZA.
 
Honore de Balzac


Le secret des grandes fortunes sans cause apparente est un crime oublié, parce qu'il a été proprement fait.

The secret of a great success for which you are at a loss to account is a crime that has never been found out, because it was properly executed.

often quoted as ‘Behind every great fortune lies a great crime’
Le Père Goriot (1835)
This is great. Wewe unaonaje? What do you have in mind?
 
Back
Top Bottom