Nini sababu ya mikoa ya Kusini kuwa salama sana kibinadamu?

Nini sababu ya mikoa ya Kusini kuwa salama sana kibinadamu?

NIMEONA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2019
Posts
3,862
Reaction score
5,693
Nazungumzia Lindi na Mtwara haswa!

1. Kule husikii albino amechinjwa

2. Kule husikii wenye macho mekundu wameuawa kisa ni wachawi,

3. Kule husikii wenye upanja wamepigwa nondo ili zikatumike buchani

4. Kule husikii mtu amechunwa ngozi

5. Kule ni nadra kusikia wazazi, sijui mama, kutolewa uhai ili kuleta utajiri

6. Kule ni nadra kusikia makabila au koo wamepigana na kutoana uhai (ingawa kuna makabila mengi tu na yanapishana wakati mwingine),

7. Kule ni nadra kusikia mauaji ya kinyama kwa kisa cha mapenzi au kudaiana fedha

8. Kule ni nadra kusikia babu sijui mjomba amembaka mjuu/mpwa,

9. Kule ni nadra kusikia visa vya mabinti kutupa watoto chooni,

10. kule ni nadra kusikia binadamu ananyofolewa viungo ili vikauzwe vilete utajiri

11. Kule ni kawaida mgeni ukapokelewa na kuishi kama wananchi wengine bila wasiwasi n.k.

Wakati hali ikiwa hivyo, maeneo mengine kuna utofuti sana.

-Mauaji. JF kwa siku karibia nne au tano leo zimejaa thread za mauaji tu kwa visa vya mapenzi n.k. kisa cha hivi karibuni kuripotiwa ni hicho kilichotokea Tabora

-Ubakaji

-Utupaji wa watoto

-Ushirikina, kuna maeneo wazee eti wanakaa kabisa na kufanya tambiko ambapo mgeni anauawa kama kafara (mwalimu mmoja wa sekondari alikutana na dhahama hii sehemu fulani, alifuatwa akauawa na mwili wake kuchukuliwa kwenda kufanyiwa tambiko). pia, maeneo mengine tunaona na kusikia jinsi makaburi yanavyoenda kufukuliwa na maiti kutolewa na kurudishwa ilikotoka.....wafiwa wanaamka asubuhi wanakuta wamewekewa maiti ya ndugu yao waliomzika jana uwanjani.

na vingine vingi

Wajuzi/wafuatiliaji/ wasomi; sababu kubwa haswa ya hali hii ni nini? dini au?

Karibuni kwa uelimishaji.
 
Huko ni uswekeni nani atafuatilia mambo ya huko ? Huko huwa tunafuatilia gas na korosho basi.
Nazungumzia Lindi na Mtwara haswa!

1. Kule husikii albino amechinjwa

2. Kule husikii wenye macho mekundu wameuawa kisa ni wachawi,

3. Kule husikii wenye upanja wamepigwa nondo ili zikatumike buchani

4. Kule husikii mtu amechunwa ngozi

5. Kule ni nadra kusikia wazazi, sijui mama, kutolewa uhai ili kuleta utajiri

6. Kule ni nadra kusikia makabila au koo wamepigana na kutoana uhai (ingawa kuna makabila mengi tu na yanapishana wakati mwingine),

7. Kule ni nadra kusikia mauaji ya kinyama kwa kisa cha mapenzi au kudaiana fedha

8. Kule ni nadra kusikia babu sijui mjomba amembaka mjuu/mpwa,

9. Kule ni nadra kusikia visa vya mabinti kutupa watoto chooni,

10. kule ni nadra kusikia binadamu ananyofolewa viungo ili vikauzwe vilete utajiri

11. Kule ni kawaida mgeni ukapokelewa na kuishi kama wananchi wengine bila wasiwasi n.k.

Wakati hali ikiwa hivyo, maeneo mengine kuna utofuti sana.

-Mauaji. JF kwa siku karibia nne au tano leo zimejaa thread za mauaji tu kwa visa vya mapenzi n.k. kisa cha hivi karibuni kuripotiwa ni hicho kilichotokea Tabora

-Ubakaji

-Utupaji wa watoto

-Ushirikina, kuna maeneo wazee eti wanakaa kabisa na kufanya tambiko ambapo mgeni anauawa kama kafara (mwalimu mmoja wa sekondari alikutana na dhahama hii sehemu fulani, alifuatwa akauawa na mwili wake kuchukuliwa kwenda kufanyiwa tambiko). pia, maeneo mengine tunaona na kusikia jinsi makaburi yanavyoenda kufukuliwa na maiti kutolewa na kurudishwa ilikotoka.....wafiwa wanaamka asubuhi wanakuta wamewekewa maiti ya ndugu yao waliomzika jana uwanjani.

na vingine vingi

Wajuzi/wafuatiliaji/ wasomi; sababu kubwa haswa ya hali hii ni nini? dini au?

Karibuni kwa uelimishaji.
 
Huko ni uswekeni nani atafuatilia mambo ya huko ? Huko huwa tunafuatilia gas na korosho basi.
Hiyo ndo point. Hakuna pilika za pesa ndio maana pako hivyo ywani ni full umaskini.
Pili usambaaji wa taarifa na huduma za jamii mikoa hii bado ni shida sana
 
Nazungumzia Lindi na Mtwara haswa!

1. Kule husikii albino amechinjwa

2. Kule husikii wenye macho mekundu wameuawa kisa ni wachawi,

3. Kule husikii wenye upanja wamepigwa nondo ili zikatumike buchani

4. Kule husikii mtu amechunwa ngozi

5. Kule ni nadra kusikia wazazi, sijui mama, kutolewa uhai ili kuleta utajiri

6. Kule ni nadra kusikia makabila au koo wamepigana na kutoana uhai (ingawa kuna makabila mengi tu na yanapishana wakati mwingine),

7. Kule ni nadra kusikia mauaji ya kinyama kwa kisa cha mapenzi au kudaiana fedha

8. Kule ni nadra kusikia babu sijui mjomba amembaka mjuu/mpwa,

9. Kule ni nadra kusikia visa vya mabinti kutupa watoto chooni,

10. kule ni nadra kusikia binadamu ananyofolewa viungo ili vikauzwe vilete utajiri

11. Kule ni kawaida mgeni ukapokelewa na kuishi kama wananchi wengine bila wasiwasi n.k.

Wakati hali ikiwa hivyo, maeneo mengine kuna utofuti sana.

-Mauaji. JF kwa siku karibia nne au tano leo zimejaa thread za mauaji tu kwa visa vya mapenzi n.k. kisa cha hivi karibuni kuripotiwa ni hicho kilichotokea Tabora

-Ubakaji

-Utupaji wa watoto

-Ushirikina, kuna maeneo wazee eti wanakaa kabisa na kufanya tambiko ambapo mgeni anauawa kama kafara (mwalimu mmoja wa sekondari alikutana na dhahama hii sehemu fulani, alifuatwa akauawa na mwili wake kuchukuliwa kwenda kufanyiwa tambiko). pia, maeneo mengine tunaona na kusikia jinsi makaburi yanavyoenda kufukuliwa na maiti kutolewa na kurudishwa ilikotoka.....wafiwa wanaamka asubuhi wanakuta wamewekewa maiti ya ndugu yao waliomzika jana uwanjani.

na vingine vingi

Wajuzi/wafuatiliaji/ wasomi; sababu kubwa haswa ya hali hii ni nini? dini au?

Karibuni kwa uelimishaji.
Huko ni maarufu sana kwa kuchuna ngozi za watu na kuua watoto au kuwatoa watoto wao kafara huko kusini si sehemu salama Afrika nzima
 
AWa
Nazungumzia Lindi na Mtwara haswa!

1. Kule husikii albino amechinjwa

2. Kule husikii wenye macho mekundu wameuawa kisa ni wachawi,

3. Kule husikii wenye upanja wamepigwa nondo ili zikatumike buchani

4. Kule husikii mtu amechunwa ngozi

5. Kule ni nadra kusikia wazazi, sijui mama, kutolewa uhai ili kuleta utajiri

6. Kule ni nadra kusikia makabila au koo wamepigana na kutoana uhai (ingawa kuna makabila mengi tu na yanapishana wakati mwingine),

7. Kule ni nadra kusikia mauaji ya kinyama kwa kisa cha mapenzi au kudaiana fedha

8. Kule ni nadra kusikia babu sijui mjomba amembaka mjuu/mpwa,

9. Kule ni nadra kusikia visa vya mabinti kutupa watoto chooni,

10. kule ni nadra kusikia binadamu ananyofolewa viungo ili vikauzwe vilete utajiri

11. Kule ni kawaida mgeni ukapokelewa na kuishi kama wananchi wengine bila wasiwasi n.k.

Wakati hali ikiwa hivyo, maeneo mengine kuna utofuti sana.

-Mauaji. JF kwa siku karibia nne au tano leo zimejaa thread za mauaji tu kwa visa vya mapenzi n.k. kisa cha hivi karibuni kuripotiwa ni hicho kilichotokea Tabora

-Ubakaji

-Utupaji wa watoto

-Ushirikina, kuna maeneo wazee eti wanakaa kabisa na kufanya tambiko ambapo mgeni anauawa kama kafara (mwalimu mmoja wa sekondari alikutana na dhahama hii sehemu fulani, alifuatwa akauawa na mwili wake kuchukuliwa kwenda kufanyiwa tambiko). pia, maeneo mengine tunaona na kusikia jinsi makaburi yanavyoenda kufukuliwa na maiti kutolewa na kurudishwa ilikotoka.....wafiwa wanaamka asubuhi wanakuta wamewekewa maiti ya ndugu yao waliomzika jana uwanjani.

na vingine vingi

Wajuzi/wafuatiliaji/ wasomi; sababu kubwa haswa ya hali hii ni nini? dini au?

Karibuni kwa uelimishaji.
Watu wa kusini wamejawa na maadili ya Dini hiyo ndo sababu Kuu,na ukimuona Katili basi huyo ni wale waliovuka kutoka kwa mreno
 
Huko hakuna cha ustaarabu wala nini ukimuibia au kudhulumu mtu mahakama ni kilinge,utarogwa wewe na ukoo wako asibakie mtu,so watu wanaogopana,kuna vijiji ukienda na gari bila kuripoti kwa vizee fulani gari inazima yenyewe,au umpe binti mimba ukatae itaamia kwako
Wew sasa unazungumzia sumbawanga na sio Lindi na Mtwara
 
Back
Top Bottom