Nini sababu ya mikoa ya Kusini kuwa salama sana kibinadamu?

Kwa mtu asiefahamu Mtwara pananuka ulozi..

Mimi kwa mara ya kwanza nilishindana na Nguvu za giza nikiwa Mtwara, huko ndipo nilijua Mapambano katika ulimwengu wa roho yapoje..
Vizee vya kule hatari
 
Nimeishi Kusini wakati flani.. kwa kweli ni Sehemu Salama sana. Wenyeji wako poa hawana Ubaguzi wala Tatizo na Mgeni wa hali yoyote ile kiuchumi.
 
Kuna kaukweli kiasi bt ushirikina ,uchawi ndo home huku...misukule na chuma uletee ndo penyewe.
Pia pamoja na rasilimali kibao km bahari,gas, korosho watu wanakumbatia umasikini sana na elimu ni duni sana
 
Niliwahi kwenda huko nikiwa sina ndugu wala rafiki ila wale watu ni waungwana mno wana madhaifu mengine ila huko ni sehemu salama kuishi na kuolewa/kuoa huwezi chinjwa kikatili
 
Duniani kote ustaarabu huwa unaanzia pwani na kisha kusambaa bara. Mikoa ya pwani waliwahi kustaariba kuliko bara kwa sababu ya muingiliano mkubwa na watu wengine.
 
... sidhani kama ni dini. Maana dini hizo hizo zilizoko kusini ndio hizo hizo zilizoko maeneo mengine ya nchi. Mbona hatusikii mauwaji ya kijnga kama hayo yakitokea Ulaya?
Inawezekana pia hali siyo shwari kama tunavyofikiria ila mawasialiano ndiyo yanasababisha tusipate habari nyingi za huku. Hii mikoa bado iko nyuma sana. Ila nikiri kuwa watu wa huko hawana mambo ya tamaa ya mali kama mikoa mingine. Kule mtu akipata sex na chakula anaona ameshamaliza shida zote za maisha.
 
... sidhani kama ni dini. Maana dini hizo hizo zilizoko kusini ndio hizo hizo zilizoko maeneo mengine ya nchi. Mbona hatusikii mauwaji ya kijnga kama hayo yakitokea Ulaya?
Maeneo ya pwani huwa yanastaarabika mapema zaidi kuliko bara kwa sababu ya muingiliano mkubwa na watu wa mataifa mengine na pia wana fursa ya muingiliano mkubwa na makabila mengine ya bara.
"Exposure" kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…