Nini sababu ya mikoa ya Kusini kuwa salama sana kibinadamu?

Unauhakika kuna watu wa media wa kutosha uko kama mikoa mingine kotosikia haimaanishi havitendeki nimetembelea kijiji fulani nakutana na uozo lkn hausikiki kwenye media
wapo wengi tu mkuu!
 
Katika mikoa ya kijinga ambayo sijawahi kuona ni Lindi na Mtwara. Mikoa ambayo imetelekezwa na serikali
Nauli ya kutoka Dar mpaka Mtwara ni 23,000
Nauli ya kutoka Dar mpaka Lindi ni 23,000. Wewe ushawahi ona wapi hiyo kwenye mikoa ya watu wanaojielewa?
Kama matukio yanatokea na hayatangazwi wewe umejuaje kama yanatokea?

I can see you're fighting with your own mind!
 
Kama jamaa yako ana upungufu wa nguvu za kiume na ana kibamia usidhani na mm nina hivyo vitu. Kiukweli wanawake wa Mtwara na Lindi siyo wazuri bora hata wamakua kidogo ila siyo wamakonde. Wamekomaa, sura ngumu na vifupi
Pole sana.
 
Kama jamaa yako ana upungufu wa nguvu za kiume na ana kibamia usidhani na mm nina hivyo vitu. Kiukweli wanawake wa Mtwara na Lindi siyo wazuri bora hata wamakua kidogo ila siyo wamakonde. Wamekomaa, sura ngumu na vifupi
Pole sana.
Wanaume marijali huwa hatuwi na vineno vya shombo kama hivyo, ndo ukweli huo! Hivyo ni vya kina kaoge.
 
Kwani sehemu zingine hazina dini?
Dini Iko mdomoni na sio moyoni hafu watu Wana roho mbaya ila ukanda wa pwani watu hawana roho mbaya,hata kuroga hawakuroga mpaka uingie kumi na nane zao ndio utajua hujui, ila huko kwingine ukiwa mgeni unaanza kurogwa bado kuibiwa vitu Kwa vile wewe ni mgeni tu.
So kwa experience yangu watu wa pwani wako poa na Wana utu
 
Kama jamaa yako ana upungufu wa nguvu za kiume na ana kibamia usidhani na mm nina hivyo vitu. Kiukweli wanawake wa Mtwara na Lindi siyo wazuri bora hata wamakua kidogo ila siyo wamakonde. Wamekomaa, sura ngumu na vifupi
Pole sana.
Jamaa tangu usafishwe mtaro akili yako haijakaa sawa,hivi ishu yaa uumbaji wa MUNGU nayo ni yakujivunia!kila sehemu kuna wazuri na wabaya. Hujaizunguka hii nchi.
 
HUKU WANAUANA KWA UCHAWI ZAIDI. YAANI NI KUROGANA SANA. HAKUNA MIKOA WATU WANAOGOPA KUFANYA MAENDELEO KAMA HII YA MTWARA,LINDI NA KILWA.


 
Kwa mimi nilotembea mikoa mingi ni mikoa michache iloizidi kimaendelea Mtwara, Mtwara vijiji vingi vina maendeleo tofauti na mikoa mingine
 
Yote uliyoorodhesha ni sahihi kabisa!!!!
Ila nyongeza ya hapo ni mara chache pia kusikia mikoa hiyo ikiongelewa hata kwenye vyombo vya habari hasa kwa upande wa maendeleo.
Labda ndio sababu wanatulia kupambana na hali yao.
 
Huko ni uswekeni nani atafuatilia mambo ya huko ? Huko huwa tunafuatilia gas na korosho basi.
Hivi Lindi na Mtwara ni sweken kama unavyosema ukilinganisha na baadhi ya maeneo mengine?
Lindi na Mtwara imesahaulika na wenye Mamlaka na sababu is just a matter of interest naweza sema vile.
Hivyo watu wanapambana kivyaovyao tu.
 
Ntwara hiyo nzee we mpe ujauzito binti alafu ukatae uone
Sio kweli. Kule mimba za utotoni zimeshamiri sana ila hali haitendeki kwa hali duni za wazazi inayotokana na kusahaulika kwa maeneo hayo kimaendeleo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…