Nini sababu ya mikoa ya Kusini kuwa salama sana kibinadamu?

Nini sababu ya mikoa ya Kusini kuwa salama sana kibinadamu?

Kwa mtu asiefahamu Mtwara pananuka ulozi..

Mimi kwa mara ya kwanza nilishindana na Nguvu za giza nikiwa Mtwara, huko ndipo nilijua Mapambano katika ulimwengu wa roho yapoje..
uchawi upo karibu kila sehemu tanzania hii, huwezi kuamni nililishwa chura dar hiyo unayoifahamu mwaka 2011.....kwa uwezo wa Mungu nikawa nayaona yote nikiwa nusu nimelala na nusu niko macho. Mungu akanisaidia kujiokoa!

hoja ni kwamba hakuna vitendo vya ajabu ajabu.....huo ulozi wao mbona hawakati nyeti za watu au kuwachuna kabisa?
 
imenibidi nicheke tu kwanza!
wilaya iliyo mbali kuliko zote na inayosemekana ipo porini ni liwale. nilifika huko liwale ndani kabisa katika kuhangaika na maisha na nimekuta vijana kwa wazee wana masmart phones kama kawaida. unazungumzia umaskini, safi kabisa....hivi uko wapi mkuu?!!! singida au simiyu? kigoma au tabora?
wekeni usharobaro, ulimbukeni na ujivuni pembeni tuchambue mambo kigreat thinkers!!
Kusini ni matakoni mwa nchi
 
uchawi upo karibu kila sehemu tanzania hii, huwezi kuamni nililishwa chura dar hiyo unayoifahamu mwaka 2011.....kwa uwezo wa Mungu nikawa nayaona yote nikiwa nusu nimelala na nusu niko macho. Mungu akanisaidia kujiokoa!

hoja ni kwamba hakuna vitendo vya ajabu ajabu.....huo ulozi wao mbona hawakati nyeti za watu au kuwachuna kabisa?
Bora umemjuza huyo hakuna sehemu yenye uchawi mbaya kama dar
 
Kuna population ndogo kuliko Kanda nyingine


Ule msemo wa penye watu kuna mengi unaaplly hapa
bado hujanishawishi mkuu. yaani ni hilo tu? kwa sasa habari za pembe zote kusini zinapatikana..........barabara safi na mitandao ipo. una uwezo wa kutoka lindi/mtwara asubuhi ukafika dar saa tano ukafanya mambo yako na saa mbili usiku ukawa umeshafika tena lindi/mtwara.
 
Huko ni maarufu sana kwa kuchuna ngozi za watu na kuua watoto au kuwatoa watoto wao kafara huko kusini si sehemu salama Afrika nzima
hahahaa, mi nimedeal na tone yako tu basi...nimegeukia comments zingine!
 
Kama matukio yanatokea na hayatangazwi wewe umejuaje kama yanatokea?

I can see you're fighting with your own mind!
kiwango cha kufake maisha kimekuwa kikubwa sana siku hizi mkuu!
 
Kama matukio yanatokea na hayatangazwi wewe umejuaje kama yanatokea?

I can see you're fighting with your own mind!
Huo ndo ukweli.

Mfano Kuna ajali zinatokea kusini lakin hazitangazwi
 
Njomba nchumali unataka nini na mm? Ntu wa Ntwara wewe unayelima korosho?
Katika mikoa ya kijinga ambayo siwezi kumshauri mtu akatafute maisha ni Lindi na Mtwara. Watu wa huko wamekomaa, wana sura mbaya na roho kama ya korosho.
Ukianza kumuonea wivu mwanamke kimakonde utakuwa una kichaa. Vifupi, miguu vina migimbi na vimekomaa sura mpaka ngozi.
Mkuu hizi ni nyodo na shombo za kike ambazo wanapaswa kuwa nazo wanawake.

wanaume hawana tabia kama hizi na hawapanic bali wanajibu hoja kwa hoja na facts kwa facts.
 
Barbara Iringa-Mbeya, alama za barabarani zipo, hazing'olewi na kupelekwa chuma chakavu.
 
Huko ni maarufu sana kwa kuchuna ngozi za watu na kuua watoto au kuwatoa watoto wao kafara huko kusini si sehemu salama Afrika nzima
hii nasikia kwako, ngoja tuendelee kufuatilia tusikie zaidi
 
Njomba nchumali unataka nini na mm? Ntu wa Ntwara wewe unayelima korosho?
Katika mikoa ya kijinga ambayo siwezi kumshauri mtu akatafute maisha ni Lindi na Mtwara. Watu wa huko wamekomaa, wana sura mbaya na roho kama ya korosho.
Ukianza kumuonea wivu mwanamke kimakonde utakuwa una kichaa. Vifupi, miguu vina migimbi na vimekomaa sura mpaka ngozi.
nimeamua kujihusisha sababu nimetoa mada; kiongozi kwa maneno haya ni dhahiri kwa sisi wataalamu wa kisaikolojia tumeshajua kinachokusumbua.......udogo wa maumbile (kibamia) na upungufu wake wa nguvu bila shaka; hiyo ndo defensive mechanism uliyojichagulia....i am sorry!
 
“Kumale kumwana kunagwele”

Hao ni wamakonde wa Mtwara na hii umeimezea.
 
uchawi upo karibu kila sehemu tanzania hii, huwezi kuamni nililishwa chura dar hiyo unayoifahamu mwaka 2011.....kwa uwezo wa Mungu nikawa nayaona yote nikiwa nusu nimelala na nusu niko macho. Mungu akanisaidia kujiokoa!

hoja ni kwamba hakuna vitendo vya ajabu ajabu.....huo ulozi wao mbona hawakati nyeti za watu au kuwachuna kabisa?
Hatujakataa hoja yako.

Tunakufahamisha usilo lijua (Ambalo halitangazwi).
 
Dar ndipo ninapoishi, Uchawi wa dar kwaajili ya biashara.

Huko mtwara uchawi wenyewe, sio kwamba Kuna sehemu hakuna uchawi no.. upo kila sehemu ila mtwara sisi wazee wa vita kwenye ulimwengu wa roho tunaifahamu.
mkuu ni askari wa vita halisi kweli wewe au mbeba mahirizi?!!
 
Back
Top Bottom