Ni evolution ya kibinadamu kutokana na mazingira na tamaduni.
Mfano ni kwanini mambo kama hayo huyasikii america au canada lakini unayasikia baadhi ya maeneo Tanzania?
well sababu americans na canadians wameevolve zaidi kibinadamu.
hivyo mambo kama ubinafsi, uchoyo, roho mbaya, ukatili nk ni vigumu kuwepo.
That's why unaweza kuta mmarekani anaishi na mnyama kama binadamu lakini fulani huku ana tabia za mnyama.
Miaka kadhaa nyuma binadamu alikuwa hana tofauti na wanyama wa msituni baadae sana ndio alianza kustaarabika na kujitoa msituni then kujitofautisha na wanyama wengine. sasa baadhi sehemu tanzania watu wametoka msituni lakini bado deepdown wana characteristics za wanyama wa porini considering wamekosa exposure ya outside world.
Hawa watu wenye tabia za kuuana kwa vitu vidogo bado hawajaevolve enough kufikia hatua ya kuwa binadamu na kustaarabika means hawana tofauti na wanyama.
ndio maana kuua, ubinafsi, roho mbaya, ukatili, uchoyo, tamaa, umasikini bila kusahau majigambo ambayo yanasababishwa na ubinafsi. havikauki wala kuisha.
Yote kutokana na mazingira na tamaduni zao.