KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Kumbe na ubunge wenyewe ulipatikana kwa mbinde!Mama kama anataka kweli ajijengee imani kwa Watanzania wengi, alivunje tu hilo Baraza lililojaa wanafiki, wachumia tumbo na waimba mapambio.
Na Majaliwa asiachwe kuendeleza uongo wake! Naye abakie tu na Ubunge wake.
Na kushtakiwaKwanza Wizara ya Afya vibwengo vyote viondoke
Samia akitaka ajiondolee lawama na visingizio, ni lazima apange safu yake upya kabisa!Viongozi wote wakuu lazima wale kiapo mbele ya rais.
Hawa waliopo waliapa mbele ya Magu na sio mama Samia. Hivyo lazima baraza lipigwe chini. Hiyo itashuka hivyo hadi kwa ma Rc, IGP, CDF, TISS..... Hivyo....
Hapana, miaka ikizidi mitatu katika muhula umeutumikia kama Naibu, huhesabika umeutumikia mihula mzima wa miaka mitano.Mama Samia anamalizia ngwe waliyoanza na John Pombe Magufuli
Yeye ataanza ngwe yake kamili kwake 2025-2035
Mungu wa mbunguni amtunze
Akiendeleza upumbavu ulio kuwepo, na yeye atadharauliwa na kuombewa mabaya. Simshauri kuchagua njia hiyo mbaya ya kuwasikiliza zaidi wanafiki na wachumia tumbo.Lazima tuanze upya!
Ila punguzeni expectations kwa huyu Mama..
Kumbukeni CCM ni ile ile kama usemavyo wimbo wao ule wa kampeni
Ndio umechangia hii mada au..?Kuhusu tundu kuwa raisi Naomba tusahau [emoji23][emoji23][emoji23]
Afadhali alivunje ili tuanze upyaKatiba haijasema chochote kuhusu baraza la mawaziri maana Rais akiunda Baraza huwa anamshirikisha Makamu wa Rais na Waziri mkuu kwa hiyo Baraza la mawaziri balo lipo hai.
Angalizo :Kutokana na tabia ya Bwana Mkubwa ilivyokuwa si bure asilimia 95 ya mawaziri hakumshirikisha yeyote, kwa hiyo uwezekano wa Mama Samia kuanza upya ni mkubwa sana.
hoja hili baraza la akina Palamagamba halitufai, baraza la watu waoga na comediansMama kama anataka kweli ajijengee imani kwa Watanzania wengi, alivunje tu hilo Baraza lililojaa wanafiki, wachumia tumbo na waimba mapambio.
Na Majaliwa asiachwe kuendeleza uongo wake! Naye abakie tu na Ubunge wake.
Kosa la Lissu ni kukupiga mimba alafu akakukimbiaKuhusu tundu kuwa raisi Naomba tusahau [emoji23][emoji23][emoji23]
Itapendeza sanaTunaanza alifu kwa kijiti
Nalog off
Hapo mama atakuwa amejisafishia njia kuwakwepa wanafiki kumkwamishaMama kama anataka kweli ajijengee imani kwa Watanzania wengi, alivunje tu hilo Baraza lililojaa wanafiki, wachumia tumbo na waimba mapambio.
Na Majaliwa asiachwe kuendeleza uongo wake! Naye abakie tu na Ubunge wake.
Nakuhakikishia ana uwezo wa kulivunja na kuunda lingine maana yeye ndiye mkuu wa nchi.Makamu wa raisi ni part and parcel ya presidency Sheria inatambua John na Samia ndio waliounda baraza kwa hivyo halivunjwi bali anarithi .........
but as days goes by anaweza kulibadirisha atakavyo akishauriana na makamu wake......ie nyofoa huyu weka yule nk....lakini hawezi kulivunja lote kwa wakati mmoja kwa kuwa hakuna serekali mpya hapo inayoingia madarakani ni ile ile
Lakini halikula kiapo chini yake.Makamu wa raisi ni part and parcel ya presidency Sheria inatambua John na Samia ndio waliounda baraza kwa hivyo halivunjwi bali anarithi .........
but as days goes by anaweza kulibadirisha atakavyo akishauriana na makamu wake......ie nyofoa huyu weka yule nk....lakini hawezi kulivunja lote kwa wakati mmoja kwa kuwa hakuna serekali mpya hapo inayoingia madarakani ni ile ile
Alivunje tu kama wale wala kachumbari kwenye wizara ya afya ni bure kabisa 🙄Afadhali alivunje ili tuanze upya
Akiendeleza upumbavu ulio kuwepo, na yeye atadharauliwa na kuombewa mabaya. Simshauri kuchagua njia hiyo mbaya ya kuwasikiliza zaidi wanafiki na wachumia tumbo.
Katiba ndiyo inasema hivyo? siku zote wakati wa uapisho makamu uwepo kwenye ukumbi au hiyo sio kula kiapo mbele yake?Viongozi wote wakuu lazima wale kiapo mbele ya rais.
Hawa waliopo waliapa mbele ya Magu na sio mama Samia. Hivyo lazima baraza lipigwe chini. Hiyo itashuka hivyo hadi kwa ma Rc, IGP, CDF, TISS..... Hivyo....
Ficha ujinga kidogo, mleta mada amezungumuzia baraza la mawaziri, habari ya tundu lisu inaingiaje hapa! Nyie ndio wajinga wachache mliotuharibia nchi!Kuhusu tundu kuwa raisi Naomba tusahau [emoji23][emoji23][emoji23]