Nini status ya Baraza la Mawaziri la Magufuli sasa na baada ya Samia Suluhu Hassan kuapishwa?

Nini status ya Baraza la Mawaziri la Magufuli sasa na baada ya Samia Suluhu Hassan kuapishwa?

Mambo mawili yanaweza kufanyika, mosi kuvunja baraza la mawaziri na kuliunda upya akishirikiana na makamu wa Rais mpya na waziri mkuu....
Ww huelewi! Magu alifanya uteuzi wakiwa na Samia! Kimsingi, mie namuona Magufuli akifufuka kwa nguvu kupia mama Samia ambaye watu hawataamini ushupavu wake na kimsingi watapata shinikizo la moyo baada ya kukosa matamanio yao ya 'kuiba na business as usual!'

Mama Samia anakwenda kuweka 'bar' ya aina yake isiyokumbatia ufisadi, ubwanyeye, uzembe, ushoga, upanya book wa majaribio, utegemezi nk!

Hivyo basi kaeni mkao wa kunyolewa! Mliozoea kuchezea masharubu ya Magu, nawapa pole, Mama Samia atapita nanyi mkimletea mazoea hayo!

I can see an 'Iron lady' of our time!
 
Mambo mawili yanaweza kufanyika, mosi kuvunja baraza la mawaziri na kuliunda upya akishirikiana na makamu wa Rais mpya na waziri mkuu...
Ww huelewi! Magu alifanya uteuzi wakiwa na Samia! Kimsingi, mie namuona Magufuli akifufuka kwa nguvu kupia mama Samia ambaye watu hawataamini ushupavu wake na kimsingi watapata shinikizo la moyo baada ya kukosa matamanio yao ya 'kuiba na business as usual!'.

Mama Samia anakwenda kuweka 'bar' ya aina yake isiyokumbatia ufisadi, ubwanyeye, uzembe, ushoga, upanya book wa majaribio, utegemezi nk!

Hivyo basi kaeni mkao wa kunyolewa! Mliozoea kuchezea masharubu ya Magu, nawapa pole, Mama Samia atapita nanyi mkimletea mazoea hayo!

I can see an 'Iron lady' of our time!
 
Mambo mawili yanaweza kufanyika, mosi kuvunja baraza la mawaziri na kuliunda upya akishirikiana na makamu wa Rais mpya na waziri mkuu...
Ww huelewi! Magu alifanya uteuzi wakiwa na Samia! Kimsingi, mie namuona Magufuli akifufuka kwa nguvu kupia mama Samia ambaye watu hawataamini ushupavu wake na kimsingi watapata shinikizo la moyo baada ya kukosa matamanio yao ya 'kuiba na business as usual!'.

Mama Samia anakwenda kuweka 'bar' ya aina yake isiyokumbatia ufisadi, ubwanyeye, uzembe, ushoga, upanya book wa majaribio, utegemezi nk!

Hivyo basi kaeni mkao wa kunyolewa! Mliozoea kuchezea masharubu ya Magu, nawapa pole, Mama Samia atapita nanyi mkimletea mazoea hayo!

I can see an 'Iron lady' of our time!
 
Nitamkumbua Magufuli kwa ukatili wake wa kutisha

1. Kuvunja nyumba za wananchi wa Kimara - Mbezi bila chembe ya huruma ila wale wa Mwanza aliwaachia

2. Kupora Korosho za wananchi wa mikoa ya kusini kwa mtutu wa bunduki, hii hali iiwatia wananchi umasikini

3. Bila kujali kuwa watu wameshahudumu serikalini kwa muda mrefu na wanategemea kustaafu, akapitisha hoja ya uhakiki na kuwafukuza maelfu ya watu hao Huku akiwaacha bila kuwagusa wanasiasa na wateule wake katika hilo zoezi.

4. Kubabikizia watu kesi za uhujumu uchumi, kuwatesa kupitia mfumo wa mashitaka na kuzisababishia familia zao maumivu makubwa na hali ngumu

5. Kuendelea kuwashikilia mamia ya masheikh walioko jela huku akisamehe wabakaji akina Babu Seya.

6. Kukataa kuwapa watumishi wa serikai stahiki zao kwa wakati, ikiwemo kupandishwa madaraja na nyongeza za ishahara.

7. Kuharibu chaguzi zote zilizofanyika chini ya serikali yake, kuanzia zile za marudio, serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, Alidhuluu haki ya wananchi kuchagua viongozi wao

8. Magufuli alitunga sheria kandamizi, na kuvuruga misingi ya katiba. Kafanya kia jitihada kulifanya bunge liwe butu, kuiweka mahakama mfukoni etc

9. Magufuli alikuwa na kauli mbaya zisizo na staha mfano "sisomeshi wazazi, serikali siyo iliyoleta tetemeko, baki na mavi yako nyumbani, nitapiga mashangazi.. etc"

10. Alikuwa na miradi kadhaa au mpango wa miradi kadhaa ambayo ni white elephant mfano, uwanja wa ndege Chato, Midege, Mpango wa Uwanja wa mpira Chato

11..Magufuli alikuwa mdini, huhitaji kuwa mwanasayansi wa elimu ya jamii kuona kuwa teuzi zake ziliaia sana watu wa imani moja

12. Magufuli alikuwa haheshimu katiba waa sheria pale zinapokinzana na anachokitaka yeye, mfano haki ya kufanya siasa kwa vyama vya siasa iliyokuwepo kikatiba hakuiheshimu

13. Magufulu hakuthubutu na wala hakujali kufanya uchunguzi juu ya kupotea kwa Ben Saanane, Azory Gwanda, Kanguye na waliompiga risasi Lissu

Kwa hiyo mimi nakichukulia kifo cha Magufuli kama nafasi muhimu ili Taifa letu lipone.

Na sisi kama Taifa, tumeona kwa macho yetu namna katiba ya sasa ilivyokuwa hatari kama tunampata mtu mmoja asiyejali, ambaye ana element za udikteta, basi tuitumie nafasi hii kuliponya Taifa.

Tangulia Magufuli, uwongo mbaya sitokumiss na sijawahi kukupenda kwa style ya uongozi wako, ninatamani Taifa lisipate Kiongozi mwenye mapungufu ya aina yako, ni mapungufu hatari kabisa.
 
Mambo mawili yanaweza kufanyika, mosi kuvunja baraza la mawaziri na kuliunda upya akishirikiana na makamu wa Rais mpya na waziri mkuu...
Naangalia hapa TBC ni kama Katiba iko kimya kuhusu Makam wa Rais anaeapishwa kuwa Rais, anaweza kuvunja Baraza la Mawaziri, mwanasheria akadai, Katiba iko kimya.
 
Naangalia hapa TBC ni kama Katiba iko kimya kuhusu Makam wa Rais anaeapishwa kuwa Rais, anaweza kuvunja Baraza la Mawaziri, mwanasheria akadai, Katiba iko kimya
Ana hiyari ya kulivunja ama kuendelea nalo.

Kulivunja maana yake waziri mkuu atateuliwa upya na kuidhinishwa na bunge!
 
Back
Top Bottom