mwananchit
JF-Expert Member
- Oct 13, 2008
- 242
- 298
Majariwa amepunhukiwa sifa za msingi za kuendelea kuwa PM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama kama anataka kweli ajijengee imani kwa Watanzania wengi, alivunje tu hilo Baraza lililojaa wanafiki, wachumia tumbo na waimba mapambio.
Na Majaliwa asiachwe kuendeleza uongo wake! Naye abakie tu na Ubunge wake.
Hivi Makamu wa rais anaingia kwenye kikao cha Baraza la Mawaziri?Katiba haijasema chochote kuhusu baraza la mawaziri maana Rais akiunda Baraza huwa anamshirikisha Makamu wa Rais na Waziri mkuu kwa hiyo Baraza la mawaziri balo lipo hai.
Angalizo :Kutokana na tabia ya Bwana Mkubwa ilivyokuwa si bure asilimia 95 ya mawaziri hakumshirikisha mtu yeyote, kwa hiyo uwezekano wa Mama Samia kuanza upya ni mkubwa sana.
Kama hoja ni kuwa hakuna serikali mpya inayoingia nini logic ya Baraza kuvunjika anapojiuzuru Waziri mkuu au akijiuzuru Waziri mkuu Kuna serikali mpya inaingia?
Mpira unaendelea kocha tuu kabadilika msaidizi kashika timu so msipanic! Tusubiri tuone formula yake ya ushindi japo binafsi kocha mwanamama sipendi
Hujui ya kesho,kula ukalale.Kuhusu tundu kuwa raisi Naomba tusahau [emoji23][emoji23][emoji23]
Hii CCM yenye khofu na kutowaamini ccm wenzao kutoka Zanzibar? 2025 kama namuona ivi anaekwa pembeniMama Samia anamalizia ngwe waliyoanza na John Pombe Magufuli
Yeye ataanza ngwe yake kamili kwake 2025-2035
Mungu wa mbunguni amtunze
Kuhusu tundu kuwa raisi Naomba tusahau [emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe kuna majuha na mashetani yanayoshabikia mauti ya wenzao kana kwamba hayatakufa!View attachment 1728896
Bwashee!!Bwashee!! Ongeza mtori
Kulu nafsi dhaikatul moutKumbe kuna majuha na mashetani yanayoshabikia mauti ya wenzao kana kwamba hayatakufa!
Aliyekuwa mbabe na mpenda kusifiwa yuko kwenye mafriji sasa hivi. Lissu Yuko hai mbali na kupigwa risasi 16 hadharani na kunyimwa pesa ya matibabu.Kuhusu tundu kuwa raisi Naomba tusahau [emoji23][emoji23][emoji23]
Hawezi labda kama akiamua kubadili katibaMama Samia anamalizia ngwe waliyoanza na John Pombe Magufuli
Yeye ataanza ngwe yake kamili kwake 2025-2035
Mungu wa mbunguni amtunze
Unaweza kushirikishwa lakini usiwe na maamuzi😆😆😆Katiba haijasema chochote kuhusu baraza la mawaziri maana Rais akiunda Baraza huwa anamshirikisha Makamu wa Rais na Waziri mkuu kwa hiyo Baraza la mawaziri balo lipo hai.
Angalizo :Kutokana na tabia ya Bwana Mkubwa ilivyokuwa si bure asilimia 95 ya mawaziri hakumshirikisha mtu yeyote, kwa hiyo uwezekano wa Mama Samia kuanza upya ni mkubwa sana.