Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mkuu labda amrudishe tena , vinginevyo atakuwa anavunja katibaSiyo lazima kama atapenda kuendelea na waziri mkuu aliyepo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu labda amrudishe tena , vinginevyo atakuwa anavunja katibaSiyo lazima kama atapenda kuendelea na waziri mkuu aliyepo!
Huyo waziri wa afya hafai afukuzwe mara moja kashindwa kuhimiza watanzania kuvaa barakoa kunawa mikono kupaka vitakasa mikono kuzuia salam za kushikana mikonoKuna haja ya kumstaafisha mara moja field Martial wa afya ili kuinusuru wizara nyeti ya afya unless otherwise wizara inakoelekea siko kabisa
Lazima amtengue kisha mrejeshe tenaMkuu labda amrudishe tena , vinginevyo atakuwa anavunja katiba
Mwigulu Nchemba mzee wa vitisho mikwara afukuzwe mara mojaJanuary
Rizwan
Nape..
Hawa wote ndani ya cabinet
Ushauri wa Hatari ni ushauri wa kuwabambikia kesi watu mbalimbali task force kuwabambikia kodi kubwa wafanyabiashara kuwafungia Account zao biashara zao na uonevu unyanyasaji mwingiSamia awe makini tu kwenye ushauri maana kuna ushauri akipokea utampekeka shimoni kama Magufuli. Alipokea ushauri mwingi uliomgombanisha na wananchi
Na aweza asirejeshweLazima amtengue kisha mrejeshe tena
Samia ni 🔥🔥 tunasema mwenzako akinyolewa wewe tia maji ila Suluhu yeye ananyoa bila maji💣Ww huelewi! Magu alifanya uteuzi wakiwa na Samia! Kimsingi, mie namuona Magufuli akifufuka kwa nguvu kupia mama Samia ambaye watu hawataamini ushupavu wake na kimsingi watapata shinikizo la moyo baada ya kukosa matamanio yao ya 'kuiba na business as usual!'
Mama Samia anakwenda kuweka 'bar' ya aina yake isiyokumbatia ufisadi, ubwanyeye, uzembe, ushoga, upanya book wa majaribio, utegemezi nk!
Hivyo basi kaeni mkao wa kunyolewa! Mliozoea kuchezea masharubu ya Magu, nawapa pole, Mama Samia atapita nanyi mkimletea mazoea hayo!
I can see an 'Iron lady' of our time!
January
Rizwan
Nape..
Hawa wote ndani ya cabinet
Tutajie hao wabunge wa upinzani bwashee!Kuirudisha Nchi kwenye umoja itapendeza sana kuwaweka hata Mawaziri watano toka upinzani. Kama Visiwani wameweza kuwa na Mawaziri wa upinzani sioni sababu ya hili kushindikana Bara.
Tutajie hao wabunge wa upinzani bwashee!
No. RizwanWaziri wa mambo ya ndani atatoka Zanzibar.
Tuombe MUNGU tu mama nae asiwe kama mpenzi wa MMUNGU tu
Asipofanya hivyo basi ajiandae kushindwa mapema kabisa kabla ya wakati wa hukumu (2025) kufika.
Halafu wewe kaongo eti anafanya mazoezi ya kifua 🙄🙄Waziri wa mambo ya ndani atatoka Zanzibar.
Akishaapa tu Baraza la Mawaziri linakuwa limevunjwa.Mambo mawili yanaweza kufanyika, mosi kuvunja baraza la mawaziri na kuliunda upya akishirikiana na makamu wa Rais mpya na waziri mkuu...