Nini story au kisa nyuma ya username yako na avatar yako hapa JF

Sante sana ndugu mwaipopo, umenikumbusha nilipokuwa Alevel pale Swilla High School, mbeya. Nilikuwa kwenye darasa ambalo zaidi ya asilimia 90 ya wafunzi wenzetu walikuwa na ubini unaoamziwa na MWA😱😱
twamasiku mwanafafyale wa swilla
 
Hivi kaboom kapita kwenye huu Uzi? Nataka nijue kuhusu ID yake.
 

Rodger that captain TRANSEND 32GB😎
 
Napenda sana uigizaji wa Robert De Niro...
kuna movie inaitwa...Analyze this ..
aliulizwa na daktari 'what do you do for a living?'
akajibu 'i am the boss' 'i don't do anything'..
sijawahi isahau hiyo scene....
Nimeipenda hii
 
Id chanzo kuna scania 113 tank fupi rangi ya majivu huko tanga kwenye kioo cha mbele imeandikwa NGAMIANI TRUCK ilikuwa nakutana nayo sana barabarani ilikuwa ina turbo basi ikifika sehemu yenye mkusanyiko wa watu dereva anafanya manjonjo basi sisi vijana tulikuwa tunafurahi sana jamaa alikuwa mtundu sana hata akiwa mbali basi huwa tunajua jamaa anakuja kutokana na mlio wa gari na ubadilishaji wake wa gia...avatar huyo ni christopher brown (chris brown) ni rnb singer tangu anaanza kuimba hadi leo nimekuwa fan wake wa kutupwa napenda nyimbo zake, life style yake ingawaje vingne siwez iga kwake like matuminzi ya drugs ni hayo mafupi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…