Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
Ndo utajua hujuiMafuta tena!!? Ya massage ama.kitu gan? Mbona unanitisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo utajua hujuiMafuta tena!!? Ya massage ama.kitu gan? Mbona unanitisha
😂😂😂😂Ndo utajua hujui
Hapo bora niendelee na umimi wangu tu kama hali yenyewe ndio hioNdo utajua hujui
Ha ha haaa,haya bhanaHapo bora niendelee na umimi wangu tu kama hali yenyewe ndio hio
Ha ha haa,,afu wewe post zangu zote mbona kama unaniogopa ivi.Mkuu am woman with family ninayoandika humu ni kichwa tu kikiamua siku moja mojaAje na mafuta unataka kumlawiti??
Mbona unaonekana mstaarabu sana michaongo yako inasadifu ila nyuma ya pazia unamambo meuz hivi????
Umeandika point ya msingi sana.Mkuu relax,,, mapenzi ni ufalla flani tu hivi wa muda na Maisha ya Fairy tales huwa ni mengi humo kuliko uhalisia...
Jipe raha,,, nasisitia jipe raha,,, Furaha yako iwe kipaumbele sana... Make sure chochote kitakacho haribu furaha yako kifanye upembuzi yakinifu... Ujue kama kinastahili hilo... Worth it.
Fanya yote ila usiingie majaribu USIOE,,... Amani ya moyo utakuwa nayo muda wote
Tujibanebane kwan twaazima
[emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna suluhisho bali ni kuteseka tu mpaka moyo wako utakapokuwa sugu na kuacha kujali au utakapoamua mwenyewe kuwa amani yako ya moyo ni muhimu kuliko hayo mahusiano yasiyo na amani. Na hakuna short cut. Kufa hutakufa ila cha moto utakiona hasa kama umependa mazima...ila muda ni tabibu mzuri. Mwishowe kila kitu kitakuwa sawa. Pole na hongera! [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Tujibanebane kwan twaazima
Unaachana nayo unafanya mambo mengine, unaenda kujiunga kwenye mbio za waendesha baiskelSafari ya mahusiano huwa ni safari yenye mambo mengi kuna wakati mahusiano unaona ndio chombo kinachokupa amani ya moyo.
Na kuna wakati mahusiano unaona kabisa hayakupi furaha ya moyo mbaya zaidi mwenza anaku treat vizuri anakuheshimu anakupa upendo wote ila basi unaona ila tuu haya mahusiano hayakupi amani na furaha ya moyo
Nini suluhisho ktk hiliiii
Hakuna suluhisho bali ni kuteseka tu mpaka moyo wako utakapokuwa sugu na kuacha kujali au utakapoamua mwenyewe kuwa amani yako ya moyo ni muhimu kuliko hayo mahusiano yasiyo na amani. Na hakuna short cut. Kufa hutakufa ila cha moto utakiona hasa kama umependa mazima...ila muda ni tabibu mzuri. Mwishowe kila kitu kitakuwa sawa. Pole na hongera! [emoji1545][emoji1545][emoji1545]