Nini tafsiri ya mabinti kuzaa wakiwa bado wapo kwa wazazi?

Nini tafsiri ya mabinti kuzaa wakiwa bado wapo kwa wazazi?

Na kwa nini mimba zikataliwe?je kuna mtoto asiye na baba?msimamo wangu unabaki pale pale,wanaume ndo sbb,hats kama mtasema watoto wa kike wanapenda kuvuliwa,hata watoto wa Kiume nao wanapenda kuwavua wasichana hovyo,huku wakiwa bado watoto wa mama!narudi pale pale wanaume ni wachache wengi ni wavulana!!!

mwizi lengo lake ni kuiba na kwenda zake lakn ww mwenye mali jukum lako ni kuilinda mali yako isiibwe..

Naona unajitahidi kuwatetea lakn ukweli upo palepale,
hivi mm ntakuacha kweli natoka zangu nyumban nina ukame wangu nakutana naww umenivalia kitop na kisuluali kimekubana balaa hadi umbo la kiungo mhim linaonekana au umevaa kimin mpaka mchiriz wa paja unaonekana halafu nakusifia kidogo tu tayar unanichekea na kunizoea ghafla, naanza kukupiga sound ndio kwanza unanihamasisha...

Hapo naangali na najiuliza maswali kadhaa:
. Kama amevaa kimitego hvi na nmetumia maneno matatu tayar kakubali kunivulia hvi anakutana na wanaume wanagap wanamwaproach? Na wangap kawakubali?
 
Na kwa nini mimba zikataliwe?je kuna mtoto asiye na baba?msimamo wangu unabaki pale pale,wanaume ndo sbb,hats kama mtasema watoto wa kike wanapenda kuvuliwa,hata watoto wa Kiume nao wanapenda kuwavua wasichana hovyo,huku wakiwa bado watoto wa mama!narudi pale pale wanaume ni wachache wengi ni wavulana!!!

hapo ndio ujiulize ww kwann mwanaume akukatae kama kweli yeye ndio mhusika?
Unatakiwa ujitathmin mwenendo wa mahusiano kipind upo naye,, nakuona kabisa unachombezwa na wanaume zaidi ya wawili utafikir mm ntakukubali kirahisi?

Upuuuzi wanaoufanya iweje ukubali kubeba mimba wakat unajijua upo kwa wazaz wako?
Hujatambulishwa hajatambulishwa wala mahar hujatolewa how come?

Mabint kiukweli hawajitambui, hawatambui thaman yao, hawaitambui heshima ya familia yao...
 
mizazi ya siku hizi hovyo tuu.....as a parent u should be ashamed motto wako kuzaa nje ya ndoa. speaks poorly of u as a parent. mwanamke mwenye akili na aliye lelewa vizuri kamwe hawezi kuzaa nje ya ndoa.

nowadays you are so kind mzabzab. nilishazoea comment zako za migegedo mwanzo mwisho.
 
Last edited by a moderator:
......malezi yanachangia kwa kiasi kikubwa.
Mzazi ukimfundisha mtoto angali akiwa mdogo maadili mazuri awe wa kike au wa kiume hawawezi kubebeshana mimba ovyo na kuachia mzazi wake alee mtoto.
 
mwizi lengo lake ni kuiba na kwenda zake lakn ww mwenye mali jukum lako ni kuilinda mali yako isiibwe..

Naona unajitahidi kuwatetea lakn ukweli upo palepale,
hivi mm ntakuacha kweli natoka zangu nyumban nina ukame wangu nakutana naww umenivalia kitop na kisuluali kimekubana balaa hadi umbo la kiungo mhim linaonekana au umevaa kimin mpaka mchiriz wa paja unaonekana halafu nakusifia kidogo tu tayar unanichekea na kunizoea ghafla, naanza kukupiga sound ndio kwanza unanihamasisha...

Hapo naangali na najiuliza maswali kadhaa:
. Kama amevaa kimitego hvi na nmetumia maneno matatu tayar kakubali kunivulia hvi anakutana na wanaume wanagap wanamwaproach? Na wangap kawakubali?

Mngekuwa mnajiuliza maswali kama
Hayo kuwa katongozwa na wangapi na kawakubalia wangapi sidhani kama wangekuwa wanapata mimba mana kwa kuhofia afya zenu mngetumia condom,sidhani kama kungekuwa na watoto hao mnaowasema.
 
Halafu hata hivyo,mtoto wa kiume ambaye una maadili toka kwa wazazi wako una anzaje kumsifia mtoto wa kike ambaye unaona kabisa hakuvaa vizuri kavaa kimitego,unamsifia ili iweje kama na we we hukaribishi uzinzi??

Halafu wrote tunajua kuna mporomoko wa maadili,sasa kwa mwendo huo utasifia wangapi?na wote wakikuchekea baada ya kuwasifia utatembea na wangapi!??

Narudi pale pale kwa sasa wanaume wa ukweli ni wachache na ndio Mara nyingi wanatumia akili kufikiri,lkn wengine ni wavulana na ndo Mara nyingi wanakuwa wanaendeshwa na tamaa za kimwili zaid i na hapo likitokea la kutokea hawaishi kukimbia kimbia na mane na kibao.
 
Halafu hata hivyo,mtoto wa kiume ambaye una maadili toka kwa wazazi wako una anzaje kumsifia mtoto wa kike ambaye unaona kabisa hakuvaa vizuri kavaa kimitego,unamsifia ili iweje kama na we we hukaribishi uzinzi??

Halafu wrote tunajua kuna mporomoko wa maadili,sasa kwa mwendo huo utasifia wangapi?na wote wakikuchekea baada ya kuwasifia utatembea na wangapi!??

Narudi pale pale kwa sasa wanaume wa ukweli ni wachache na ndio Mara nyingi wanatumia akili kufikiri,lkn wengine ni wavulana na ndo Mara nyingi wanakuwa wanaendeshwa na tamaa za kimwili zaid i na hapo likitokea la kutokea hawaishi kukimbia kimbia na mane na kibao.

lakn wanaoadhirika ni akina nani?
Mtakomaa kusema wanaume wachache na wavulana ndio wengi lakn kumbe nyinyi wenyew ndio mnaita.

Ndio maana nilikuuliza inamaana wanawake wa zaman walikuwa hawatongozwi? Mbona hata bikra zilikuwepo?

Hebu jaribuni kuwakanya wenzenu wanaharibikiwa
 
Hapa tunapokaa nyumba tunayopeana nayo mgongo wana mashindano ya kuzalia nyumbani

Mdogo wao wa mwisho ana umri wa miaka 13 naye juzi juizi kajifungua kichanga
 
Wazazi ndo wanachangia yote haya. Wakifikisha miaka 20 waolewe tu jamani maana vinginevyo wataleta watoto na kubaki hapo nyumbani
 
Kusema kweli sisi wazazi ndio tunachangia sana tunajifanya kuwapenda watoto wetu na uzungu mwingi tofauti na maadili yetu pia kama mtoto hawekwi kwenye misingi ya imani ya dini toka akiwa mdogo uoga unakuwa mdogo sana kwenye ngono
 
Back
Top Bottom