Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,018
- 2,130
na warogwe tu hasa wanaowakataa wanaowapa mimba"!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na warogwe tu hasa wanaowakataa wanaowapa mimba"!!
Na kwa nini mimba zikataliwe?je kuna mtoto asiye na baba?msimamo wangu unabaki pale pale,wanaume ndo sbb,hats kama mtasema watoto wa kike wanapenda kuvuliwa,hata watoto wa Kiume nao wanapenda kuwavua wasichana hovyo,huku wakiwa bado watoto wa mama!narudi pale pale wanaume ni wachache wengi ni wavulana!!!
Na kwa nini mimba zikataliwe?je kuna mtoto asiye na baba?msimamo wangu unabaki pale pale,wanaume ndo sbb,hats kama mtasema watoto wa kike wanapenda kuvuliwa,hata watoto wa Kiume nao wanapenda kuwavua wasichana hovyo,huku wakiwa bado watoto wa mama!narudi pale pale wanaume ni wachache wengi ni wavulana!!!
mizazi ya siku hizi hovyo tuu.....as a parent u should be ashamed motto wako kuzaa nje ya ndoa. speaks poorly of u as a parent. mwanamke mwenye akili na aliye lelewa vizuri kamwe hawezi kuzaa nje ya ndoa.
naweza kusema wazaz huchangia kwa % flan japo sio sana. Ila ukweli ni mitoto yenyew haiambiliki yewnyew huwaza kuchanisha tu
Hakuna mzazi asiyependa wajukuu ila hilo la binti kuzalishwa kwao unadhani kuna mzazi anayelitaka kuliona?
mwizi lengo lake ni kuiba na kwenda zake lakn ww mwenye mali jukum lako ni kuilinda mali yako isiibwe..
Naona unajitahidi kuwatetea lakn ukweli upo palepale,
hivi mm ntakuacha kweli natoka zangu nyumban nina ukame wangu nakutana naww umenivalia kitop na kisuluali kimekubana balaa hadi umbo la kiungo mhim linaonekana au umevaa kimin mpaka mchiriz wa paja unaonekana halafu nakusifia kidogo tu tayar unanichekea na kunizoea ghafla, naanza kukupiga sound ndio kwanza unanihamasisha...
Hapo naangali na najiuliza maswali kadhaa:
. Kama amevaa kimitego hvi na nmetumia maneno matatu tayar kakubali kunivulia hvi anakutana na wanaume wanagap wanamwaproach? Na wangap kawakubali?
zamani ilikua ukigundulikana tu na mimba nyumbani unafukuzwa kama mbwa cku hizi ishakua kawaida
Halafu hata hivyo,mtoto wa kiume ambaye una maadili toka kwa wazazi wako una anzaje kumsifia mtoto wa kike ambaye unaona kabisa hakuvaa vizuri kavaa kimitego,unamsifia ili iweje kama na we we hukaribishi uzinzi??
Halafu wrote tunajua kuna mporomoko wa maadili,sasa kwa mwendo huo utasifia wangapi?na wote wakikuchekea baada ya kuwasifia utatembea na wangapi!??
Narudi pale pale kwa sasa wanaume wa ukweli ni wachache na ndio Mara nyingi wanatumia akili kufikiri,lkn wengine ni wavulana na ndo Mara nyingi wanakuwa wanaendeshwa na tamaa za kimwili zaid i na hapo likitokea la kutokea hawaishi kukimbia kimbia na mane na kibao.
nowadays you are so kind mzabzab. nilishazoea comment zako za migegedo mwanzo mwisho.