Nini tafsiri ya mabinti kuzaa wakiwa bado wapo kwa wazazi?

Nini tafsiri ya mabinti kuzaa wakiwa bado wapo kwa wazazi?

Ishu kama hizi ziko personally sana

Hakuna cha kuwa personal wala nini. Issue ni kuwa maadili hakuna, wazazi wanaishi uzunguni ambapo wengi wanapaona kwenye series tu, vijana wanajifanya kujua kila kitu. Wazazi hawawafundishi watoto ipasavyo, watoto wanafumdishwa lakini hawasikii...! Kuzalia home ni aibu kwa wazazi..hakuna mzazi anayefurahishwa kuona binti analeta ujauzito ndani kabla hajaolewa. Ni aibu tupu..!
 
Hakuna cha kuwa personal wala nini. Issue ni kuwa maadili hakuna, wazazi wanaishi uzunguni ambapo wengi wanapaona kwenye series tu, vijana wanajifanya kujua kila kitu. Wazazi hawawafundishi watoto ipasavyo, watoto wanafumdishwa lakini hawasikii...! Kuzalia home ni aibu kwa wazazi..hakuna mzazi anayefurahishwa kuona binti analeta ujauzito ndani kabla hajaolewa. Ni aibu tupu..!

Kwaio unataka kuniambia mzazi akiona mwanae ni mjamzito ampeleke kutoa??? Vile mtoto akinyea kiganja......... Hizo habar hata maadili yawe ndoo zima akili ya mtoto hapo......
 
Nishajiulizaga sana hili tatizo linatokana na nini? Tena kwa baadhi ya mikoa hili tatizo ni kubwa sana...
Na kwenye uchunguzi wangu niligundua kuwa hili tatizo ni sugu kwa mikoa hasa yenye idadi kubwa ya waislamu.

Nenda kigoma sehemu za ujiji, mwanga na mwandinga unakuta kila binti kazaa mtoto na hajaolewa.' Wengine wanaishi kwao, wengine wamepanga.

Nenda mtwara, kisarawe, lindi, bagamoyo, chalinze na kule temeke hili tatizo ni kubwa mno.
 
Hili halikuwepo miaka ya 90s kurudi nyuma, sisemi kwamba haikuwa ikitokea, la hasha! bali hata kama ilikuwa inatokea basi ni kwa asilimia ndogo sana tofauti na ilivyo sasa.
Katika maeneo ninayokuwa hasa kwa watu mbalimbali ninawafahamu, jambo hili linaonekana kukuwa zaidi ya mara dufu na inavyoonekana hali ikazidi huko mbele ya safari.
Mabinti wengi wanaozaa wakiwa bado hata hawajaposwa wamekuwa wakiwaacha watoto wao wakilelewa na babu&bibi huku wakiendelea masuala yao ikiwemo kuendeleza uhusiano na wanaume ambao unapelekea kuongeza idadi ya watoto kwa wazazi bila kujua ugumu wa kulea watoto.
Wanaume wamekuwa wakiwazalisha mabinti bila kuwaoa wamekuwa hawatoi ushirikiano wa kulea badala yake mwanamke ndio anaachiwa jukumu la uangalizi wa mtoto ambaye naye anakabidhi majukumu kwa wazazi wake! kimsingi wazazi hawawezi kuwakataa watoto wa watoto wao.
Suala linaonekana kuwa mzigo hata kama mtoto atapewa mahitaji mengine kama kulishwa na kuvishwa kwa gharama za nje ya wazazi wa binti lakini suala la kuwaangalia watoto ni zito na linachosha maana linaonekana kuwasumbua wazee tu ambao jukumu lao la kuangalia watoto lilishapita tangu siku nyingi nyuma.

Cc; faiza foxy.


Nishajiulizaga sana hili tatizo linatokana na nini? Tena kwa baadhi ya mikoa hili tatizo ni kubwa sana...
Na kwenye uchunguzi wangu niligundua kuwa hili tatizo ni sugu kwa mikoa hasa yenye idadi kubwa ya waislamu.

Nenda kigoma sehemu za ujiji, mwanga na mwandinga unakuta kila binti kazaa mtoto na hajaolewa.' Wengine wanaishi kwao, wengine wamepanga.

Nenda mtwara, kisarawe, lindi, bagamoyo, chalinze na kule temeke hili tatizo ni kubwa mno.
 
Last edited by a moderator:
Hakuna cha kuwa personal wala nini. Issue ni kuwa maadili hakuna, wazazi wanaishi uzunguni ambapo wengi wanapaona kwenye series tu, vijana wanajifanya kujua kila kitu. Wazazi hawawafundishi watoto ipasavyo, watoto wanafumdishwa lakini hawasikii...! Kuzalia home ni aibu kwa wazazi..hakuna mzazi anayefurahishwa kuona binti analeta ujauzito ndani kabla hajaolewa. Ni aibu tupu..!

Nenda kwa wamwera ndio utajua kua mtoto kupata mtoto kwao ni fahari. Nilifanya kazi huko, nilikua kituko maana nilikua na miaka 25 sina mtoto.

Wanakuuliza "eti kusubiri kumpata bwana(mume) wa kuoa?, hii mabwana wenyewe dada wako wapi?
Huko mama anaingia leba Nov, mwezi Dec anamsindikiza mwanae leba.

Wakati uchagani hata uwe na 40yrs ni marufuku na aibu kuzaa bila ndoa.
Kwahiyo inategemea na maeneo.
 
......malezi yanachangia kwa kiasi kikubwa.
Mzazi ukimfundisha mtoto angali akiwa mdogo maadili mazuri awe wa kike au wa kiume hawawezi kubebeshana mimba ovyo na kuachia mzazi wake alee mtoto.

Usiongee ukamaliza maneno Dada please... Sema kikombe icho kikupitie mbali.
 
Unajua mnapoonge hebu jaribuni kurudi nyuma na kuuangalia mfumo wa maisha ulivyo....
Maadili yameshuka na hatuna Miiko...so lazima tujue chanzo cha mimba nini?
Chanzo cha mimba ni watu kushiriki ngono sasa ni nani ambaye akushiriki ngono wakat bado anaishi kwa baba...jibu ni hakuna..
Haya ndio maisha tuliyo chagua maana tunabaliki mahusiano ya kimapenz ya wadogo zetu bila kujali tunasubir kinuke ndio tuanze kulaumu.
Mfano halisi ninao.
Kuna msichana jiran hapa alikuwa na huusiano na kijana mmoja lakini ilikuwa inajulikana na wazaz wake walikuwa wanajua sasa juz kapata mimba ndio wanaanza kumlaumu.
Nakumbuka mie nmeanza kuwa na girlfriend tokea primary bt nmeaanza kushiriki sex form 2 na wote tulikuwa na mahusiano darasani na usipokuwa na mpenz utaonekana sio mjanja na kuna some kids walikuwa victim wa mimba ila maisha yaliendelea tu
 
Unajua mnapoonge hebu jaribuni kurudi nyuma na kuuangalia mfumo wa maisha ulivyo....
Maadili yameshuka na hatuna Miiko...so lazima tujue chanzo cha mimba nini?
Chanzo cha mimba ni watu kushiriki ngono sasa ni nani ambaye akushiriki ngono wakat bado anaishi kwa baba...jibu ni hakuna..
Haya ndio maisha tuliyo chagua maana tunabaliki mahusiano ya kimapenz ya wadogo zetu bila kujali tunasubir kinuke ndio tuanze kulaumu.
Mfano halisi ninao.
Kuna msichana jiran hapa alikuwa na huusiano na kijana mmoja lakini ilikuwa inajulikana na wazaz wake walikuwa wanajua sasa juz kapata mimba ndio wanaanza kumlaumu.
Nakumbuka mie nmeanza kuwa na girlfriend tokea primary bt nmeaanza kushiriki sex form 2 na wote tulikuwa na mahusiano darasani na usipokuwa na mpenz utaonekana sio mjanja na kuna some kids walikuwa victim wa mimba ila maisha yaliendelea tu

Sio huko tu, hata hapa jf kuna watu wanavunja moyo vijana na kuwafanya wajione hawawezi kuishi bila mahusiano kabla ya ndoa!
Unakuta mtu anasema kuwa alianzamapenzi akiwa chekechea au primary, kwa kijana aliyehitimu chuo kikuu na hakuwahi kuingia kwenye mahusiano lazima ajione kuwa ana kasoro.
 
na huyo mwanaume anayempa mimba binti ambae anakaa kwa wazazi tafsiri yake nini......?

hili jambo liangaliwe kwa pande mbili....hata wanaume pia hamko makini kuhakikisha haumpi binti mimba......na pia ikitokea hvyo wanakuwa hawako tayari kubeba majukumu......
 
Tatizo hamna hofu ya MUNGU hivi sasa kijana/binti akitulia na kufuata njia iliyo njema huwa anaonwa mjinga/mshamba na ana matatizo.Hapa JF idadi kubwa ya watu hutoa thread za kuhamasisha uzinzi na jambo hilo huabudiwa sana...kama mnaona kuwa kicheche na kuchepuka ndio deal endeleeni tu kupigwa mimba mpaka mkome hivi ni nani asiyejua kwamba anatakiwa awe na maadili mema,mbona mnayapuuza na hamyafuati halafu mnalalamikia wazazi nyambafu yaani ngono na ufuska ufanye wewe ukijaza/ukijazwa mimba eti wazazi ndo wamesababisha kwani babako ndo amekujaza mimba hebu kuweni na akili zenu msipende kushikwa kichwa bali kuweni na misimamo yenu sio kupelekwapelekwa tu...mkiambiwa mtulie mnaanza kutoa maneno ya kebehi eti nitulie nna matatizo gani/vitu vizuri unakula na mwenzio nyambafu halafu mnaanza lalamika baba/mama ndo kasababisha yote haya,ina maana baba yako akikwambie uue utaua kuwa na msimamo wako kwa kujichagulia mambo yaliyo mema na ya maadili.Mrudieni na kumcha MUNGU acheni kutukuza uovu bali chukieni dhambi.
 
Nenda kwa wamwera ndio utajua kua mtoto kupata mtoto kwao ni fahari. Nilifanya kazi huko, nilikua kituko maana nilikua na miaka 25 sina mtoto.

Wanakuuliza "eti kusubiri kumpata bwana(mume) wa kuoa?, hii mabwana wenyewe dada wako wapi?
Huko mama anaingia leba Nov, mwezi Dec anamsindikiza mwanae leba.

Wakati uchagani hata uwe na 40yrs ni marufuku na aibu kuzaa bila ndoa.
Kwahiyo inategemea na maeneo.

kule noma mkuu.
Nilienda nikakuta watoto wa shule karibia 70% wanawatoto ikabidi warudishwe shule tu.
Wakitoka shule wanarudi kunyonyesha, inashangaza sana.
Mimi wananiambia watoto mali ati nizae, nikawaambia bado nasoma wanashangaa sana.
Nikawaambia nikitaka kuzaa ntakuja huku maana yaelekea wanaume wa kule wanapenda sana kavu aisee.
Kila nyumba ina mtoto au watoto walozalia nyumbani halafu ni kitu ya kawaida na hata mzazi hashtuki.
Watoto wa aunty yangu woote wamepata watoto, wengine wawili kabisa wakati mie hata mpango sina.
 
Back
Top Bottom