Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,213
- 13,253
Kwaio unataka kuniambia mzazi akiona mwanae ni mjamzito ampeleke kutoa??? Vile mtoto akinyea kiganja......... Hizo habar hata maadili yawe ndoo zima akili ya mtoto hapo......
nafikir hujamwelewa huyo Eli79 anamaanisha watoto hawajengwi kimaadili badala yake wanaendekezwa kwa tamaduni za kizungu kitu ambacho watoto hukosa maadili mema, hebu imagine mtoto anakuja amevaa kinguo hicho kimebana na mzaz anasifia, mtoto anamleta mvulana eti huyu ni boyfriend wangu na mzaz anachekelea tu, mtoto mda wote yeye club mzaz anakenua tu.
Hapo unafikir matokeo yake ni nn?
Last edited by a moderator: