Nini tafsiri ya mabinti kuzaa wakiwa bado wapo kwa wazazi?

Nini tafsiri ya mabinti kuzaa wakiwa bado wapo kwa wazazi?

Tamaa za vitu vidogo ndizo zinazowaponza na mambo yanapoharibika wanakimbilia kusema nikastukia nina ujauzito tayari
 
Wazazi wengine wanawapush watoto wao wawapatie wajukuu waone uzao wa watoto wao kabla hawajafa! Binti miaka 28 hajaolewa bado afanyaje? Asizae kwa kusubiri waoaji wa kutoka wapi kama vijana wote wa leo mpango ni 'hit n run'?
 
Kuna wazazi wa makabila fulan fulani wako soft...wazazi wa kihaya au kinyambo ukizaa unatimuliwa...no discussion...
Hiyo inasaidia mabinti zao kutokuzalia home...ni very rare kwa haya makabila mtoto kuzalia home...maana unajua matokeo yake...hakuna mjadala...
 
Hiv kip bora. Kuzaa au kutoa but ili uendelee kuonekana pure n inocent??
 
Vyote vibaya...
Kizuri ni kuzaa mwenye ndoa...

Bas na tuanze kwa kukemea uzinzi kwanza. Watu wasubiri had hapo watakapohalalishiwa.
..(lakin from my own point of view bora kuzaa once ndo ushaipata hiyo mimba. Jaman kuna watu ni wataalamu wa kutoa. Af wazaz na ndg wanakaa wanajisifu kuwa binti yetu hajazalia nje ya ndoa...so annoying!
 
Mimi ni mwanamke ila wanawake wenzangu wengine sio...wana apply PMU (Pata Mimba Uolewe).....wanategesha kusudI...matokeo yake ndio hayo...unabwagwaa anaenda olewa mwingine...mwanaume hajakwambia umzalie...kwanini usiwe makini na siku zako...au ndo utamu unakolea..hell no....wanaume sometym tunawaona wabaya vingine twajitakia..kwanini akubali sex bila condom

Dada umenena. Kwa kweli huwa ata me nashangaa inakuaje mtu ukubali kunanalii while ukiwa kwenye danger days? Kwa kweli labda ni utamu kukolewa. Worse enough unakuta mwanaume huishi nae, why kukipeleka siku za hatari???? Heee.:what:...yan huwa sipatag majibu napojiuliza hili???
 
Dada umenena. Kwa kweli huwa ata me nashangaa inakuaje mtu ukubali kunanalii while ukiwa kwenye danger days? Kwa kweli labda ni utamu kukolewa. Worse enough unakuta mwanaume huishi nae, why kukipeleka siku za hatari???? Heee.:what:...yan huwa sipatag majibu napojiuliza hili???

Ni ujingaaa..mbaya zaidi...ukipata mimba unatoswa..kuna watu unakuta wanasema kbs yule lzm ni mtrap..najitegesha mimba. Ufala huu
 
Hivi kwanini tunapoingelea maadili kwenye suala la ngono wanaotajwa ni wanawake tu?
Najiuliza hivi wanaume wangekua ndio wabeba ujauzito kusingekua na kutoa mimba wala kuzalia nyumbani?

Hata wazazi wenye watoto wa kiume pia wanatakiwa kuwapa watoto wao elimu ya afya ya uzazi ili kuzuia hizi mimba zisizotarajiwa.
 
Hivi kwanini tunapoingelea maadili kwenye suala la ngono wanaotajwa ni wanawake tu?
Najiuliza hivi wanaume wangekua ndio wabeba ujauzito kusingekua na kutoa mimba wala kuzalia nyumbani?

Hata wazazi wenye watoto wa kiume pia wanatakiwa kuwapa watoto wao elimu ya afya ya uzazi ili kuzuia hizi mimba zisizotarajiwa.

Tunamlenga zaidi mwanamke maana yeye huathirika zaidi. Na suala lingine ni bora uzae kuliko kutoa maana binti huchoka zaidi anapotoa na hii ni kuua fikiria mama yako angekuua ingekuaje?
 
Na suala lingine ni bora uzae kuliko kutoa maana binti huchoka zaidi anapotoa na hii ni kuua fikiria mama yako angekuua ingekuaje?

Huko juu nimekuelewa ila suala la kutoa mimba na kumfikiria mama yangu limekujaje? Mbona umekua specific as if ni personal??
 
Hivi kwanini tunapoingelea maadili kwenye suala la ngono wanaotajwa ni wanawake tu?
Najiuliza hivi wanaume wangekua ndio wabeba ujauzito kusingekua na kutoa mimba wala kuzalia nyumbani?

Hata wazazi wenye watoto wa kiume pia wanatakiwa kuwapa watoto wao elimu ya afya ya uzazi ili kuzuia hizi mimba zisizotarajiwa.

kwahyo kinachokukera ww ni kuwa kwann tunawasema wanawake si ndiyo?

Bado mawazo yako yanabase kwenye usawa tu. Lakn huangalii katk hili janga nani muathirika zaidi,.
Na huangalii ni nani mwenye kushuka thaman pindi hili janga la mimba linapotokea.

Huo usawa uliojengeka kichwan mwako hutasaidia lolote hasa kwa tatizo kama hili la mimba bali ww mwanamke ndiyo unatakiwa ujilinde , huwez kusema mtu mwingne aje ailinde mali yako wakat ww mwenyew mwenye mali hujali unaigawa tu.
 
kwahyo kinachokukera ww ni kuwa kwann tunawasema wanawake si ndiyo?

Bado mawazo yako yanabase kwenye usawa tu. Lakn huangalii katk hili janga nani muathirika zaidi,.
Na huangalii ni nani mwenye kushuka thaman pindi hili janga la mimba linapotokea.

Huo usawa uliojengeka kichwan mwako hutasaidia lolote hasa kwa tatizo kama hili la mimba bali ww mwanamke ndiyo unatakiwa ujilinde , huwez kusema mtu mwingne aje ailinde mali yako wakat ww mwenyew mwenye mali hujali unaigawa tu.

Usidhani kila mwanamke yupo kwenye hatari ya hilo janga.
Sio wote humu ni mabinti wadogo. Nilishavuka huko kitambo, wewe upo upande wa vijana wadogo wakati mimi nipo upande wa wazazi/ walezi.
Siwezi kunyamaza kwa mtoto wangu wa kiume eti kwa vile yeye hashuki thamani au haimuathiri.
Na lazima ujue kua hatuwezi kufanana mtazamo, kwangu hata mtoto wa kiume kuwa baba kwenye umri mdogo itanigusa.
Usilazimishe niwe na mtazamo wako wala kupinga mawazo yangu haibadilishi kitu.
 
Usidhani kila mwanamke yupo kwenye hatari ya hilo janga.
Sio wote humu ni mabinti wadogo. Nilishavuka huko kitambo, wewe upo upande wa vijana wadogo wakati mimi nipo upande wa wazazi/ walezi.
Siwezi kunyamaza kwa mtoto wangu wa kiume eti kwa vile yeye hashuki thamani au haimuathiri.
Na lazima ujue kua hatuwezi kufanana mtazamo, kwangu hata mtoto wa kiume kuwa baba kwenye umri mdogo itanigusa.
Usilazimishe niwe na mtazamo wako wala kupinga mawazo yangu haibadilishi kitu.

nafikir umenielewa vbaya au hujanipata kabisa.
Nmetumia kukusema ww kama muwakilishi wa wanawake ila sina maana ya kuwa ww ndio unapata hyo mimba.

Muathirika ndio anatakiwa achukue tahadhar zaidi. Asisubir kuhurumiwa na mtu ambaye sio mhanga wa hili janga.

Hata kama utapinga lakn ukweli unabaki palepale,, wanawake hasa hawa wakizazi cha kikwete na rafiki yake diamond hawako makin hata kidogo.

Ukiwalaumu wanaume utakuwa unajisumbua tu.
 
Lakini wadau nina mashaka na hii hali utakuta ndo mara ya kwanza ukijaribu kuingiza kavu mdada hastuki yea anaisubiria tu iingie nimejaribu kwa baadhi yao sijui ni aibu ,but mara zote hua natumia ndom kwa hali hiyo watapata sana mimba maana wanaume wengine wana roho ngumu
 
Kuzaa mapema kabla ya ndoa na hata katika umri mdogo n kuendekeza ngono ziczo salama.kuzaa na kuwaachia wazazi jukumu kulea wajukuu n sababu nyingne kwan wanakua hawaoni uzito na maumivu ya kulea
 
Kawaida tu sema inaonekana jambo la ajabu kwasababu ya mazoea na tamaduni lakin ni jambo la kawaida sana. Mbona wanaume nao wapo wanaonazalisha wanawake kisha wanaume hao wanaachiwa watoto wadogo ambao wanakuja kuwa mzigo kwa wazee vilevile ila hawasemwi?
 
Back
Top Bottom