KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Ukiweza kujibu hili swali utapata jibu lakoHii ni changamoto yangu kwako Leo. Jipime.
Je una mafanikio au una maendeleo?
Je Kati ya mafanikio na maendeleo yako ni kipi kinakupa furaha?
Kuwa Na Yesu sio mafanikio, wala sio maendeleo. Kuwa na Yesu ni kuwa na amani ya moyo tu. Ndio maana tunasema nikimpata Yesu nimepata vyote, kwani katika vyote tunavyivitafuta ni amani ya moyoUkiweza kujibu hili swali utapata jibu lako
Je ukiwa na yesu ni mafanikio au maendeleo.
Wengi tuna maendeleo na sio mafanikioHii ni changamoto yangu kwako Leo. Jipime.
Je una mafanikio au una maendeleo?
Je Kati ya mafanikio na maendeleo yako ni kipi kinakupa furaha?
Kuwa Na Yesu sio mafanikio, wala sio maendeleo. Kuwa na Yesu ni kuwa na amani ya moyo tu. Ndio maana tunasema nikimpata Yesu nimepata vyote, kwani katika vyote tunavyivitafuta ni amani ya moyo
[/QSafi kabisa ....Kwa kauli Yako "Nikimpata yesu nimepata vyote" sio mafanikio hayo au sio maendeleo hayo.Kuwa Na Yesu sio mafanikio, wala sio maendeleo. Kuwa na Yesu ni kuwa na amani ya moyo tu. Ndio maana tunasema nikimpata Yesu nimepata vyote, kwani katika vyote tunavyivitafuta ni amani ya moyo
Maendeleo ni mchakato wa muda mrefu unaolenga kuboresha hali kwa ujumla.Hii ni changamoto yangu kwako Leo. Jipime.
Je una mafanikio au una maendeleo?
Je Kati ya mafanikio na maendeleo yako ni kipi kinakupa furaha?
Basi uko vizuriπππNinavyo vyote
Mafanikio ni pale unapoweza kuchukuwa livu ya mwezi mmoja na kazi zako zikajiendesha bila wewe kuwepo na wala kuuliza au kuulizwa chochote kuhusu kazi hizo.Hii ni changamoto yangu kwako Leo. Jipime.
Je una mafanikio au una maendeleo?
Je Kati ya mafanikio na maendeleo yako ni kipi kinakupa furaha?
Nipigie makofi πΉBasi uko vizuriπππ
Ufafanuzi mzuriMafanikio ni pale unapoweza kuchukuwa livu ya mwezi mmoja na kazi zako zikajiendesha bila wewe kuwepo na wala kuuliza au kuulizwa chochote kuhusu kazi hizo.
Maendeleo ni pale jana ulikuwa huna tofari, leo ukawa na tofari moja, kesho ukawa na uwezo wa kufikiria kuongeza lingine kuongeza na kesho kutwa unafikiria kuongeza mawili kwa pamoja.
Upo hapo uliupo?
ππππNipigie makofi πΉ
Ejhooooooooo. Jubha tufwileAhahaha tupo tupo tuu dadeki
Je una maendeleo au una mafanikio? Kipi kinakuoa furaha zaidi?Mafanikio ni pale unapoweza kuchukuwa livu ya mwezi mmoja na kazi zako zikajiendesha bila wewe kuwepo na wala kuuliza au kuulizwa chochote kuhusu kazi hizo.
Maendeleo ni pale jana ulikuwa huna tofari, leo ukawa na tofari moja, kesho ukawa na uwezo wa kufikiria kuongeza lingine na kesho kutwa unafikiria kuongeza mawili kwa pamoja.
Upo hapo ulipo?
Asante bro, Mungu atakufanyia wepesi ka tika vyiteNaona mimi niko between, sipo kwenye maendeleo wala mafanikio