Noma sanaHakika sitasahu Hii kitu ,Nilijiamini Mimi Mwenywe Nikamuamini Na Huyo Mwanamke,Nikashiriki nae Tendo bila ya kutumia Kinga...
Polee sanaa MkuuDuuuuh. Me nlitumia condom katkat ya mechi condom ziliisha. (6pcs)
Nkasema bora nile Tigooo cz hakuna Gono wala UTI. Kumbe nlikua najidanganya, Baada ya siku 2 nlianza kukojoa Damu mwanzo mwsho. Nlitimia Azuma Dose 2 mfululizo kwa siku 6.