Nini umuhimu wa ziara ya Rais Samia Ufaransa?

Nini umuhimu wa ziara ya Rais Samia Ufaransa?

Huu ndio upeo wa elimu ya Watanzania! Eti puppets wa Magharibi hawawezi kufanya chochote Tanzania! Huyo anayesema hivyo hajui hata Tanzania inapata asilimia ngapi katika dhahabu yake inayoibiwa. Na jee, Tanzania inatoa kiasi gani cha dhahabu kwa mwaka? Hata Samia hajui.
Capt Ibraim Traore wa Burkina Fasso amewafukuza wachimbaji wote wa kigeni nchini mwake: Wafaransa, Warusi, Wa Canada....kwa kugundua nchi yake inapoteza dola milioni 16 kwa mwezi kutokana na mchezo wa watu hawa. Milioni 16 ni zaidi ya bajeti ya mwaka ya Wizarara ya Elimu ya Burkina Fasso (nadhani hata Tanzania)! Moja ya mbinu ni pamoja na kusafisha dhahabu nje ya nchi (ambayo bado inaendelea Tanzania), kughushi uzito wa mzigo na kukwepa kodi. Yote haya yanaenderlea Tanzania, hadi Umoja wa Mataifa hivi karibuni umetoa wito kwa Tanzania kuweka mkazo zaidi katika kudhibiti utajiri wake wa madini! Halafu wewe (nadhani chawa au mtendaji) waja hapa kupiga porojo!
Hebu jaribu tu kuiuliza serikali: tunatoa tani ngapi za dhahabu (tu) kwa mwaka? Katika dhahabu hiyo, kiasi gani tunakiweka hifadhi ili kuzaziti sarafu yetu? Kisha uje uandike hapa!
kabla ya hayo maporojo na mastori meeeengi lazima kibaraka adhibitiwe na kukabiliwa vizuri. hilo ni jambo la maana na muhimu zaidi la mwanzo 🐒

umeongea vizur sana kuhusu Burkina Faso....

Na Ukweli wa mambo ni kwamba Capt.Ibra, kiongozi kijana makini sana wa Burkina Faso, amewafukuza mabwenyenye wa ufaransa waliokaribishwa na vibaraka wao ambao walikua watawala wa awali, kitu ambacho hapa Tz, huyo kibaraka na mamluki wake nadhani hata wewe una sura na tabia za kimercenary hatutakubali mfanye chochote au mjipenyeze kivyovyote vile humu nchini 🐒

hilo haitawezekana hata kidogo 🐒
 
Wasiwasi wetu asijekuwauzia wafaransa maeneo yetu kama alivyowauzia waarabu kule ngorongoro na kuwafukuza watu wetu
 
Huu ndio upeo wa elimu ya Watanzania! Eti puppets wa Magharibi hawawezi kufanya chochote Tanzania! Huyo anayesema hivyo hajui hata Tanzania inapata asilimia ngapi katika dhahabu yake inayoibiwa. Na jee, Tanzania inatoa kiasi gani cha dhahabu kwa mwaka? Hata Samia hajui.
Capt Ibraim Traore wa Burkina Fasso amewafukuza wachimbaji wote wa kigeni nchini mwake: Wafaransa, Warusi, Wa Canada....kwa kugundua nchi yake inapoteza dola milioni 16 kwa mwezi kutokana na mchezo wa watu hawa. Milioni 16 ni zaidi ya bajeti ya mwaka ya Wizarara ya Elimu ya Burkina Fasso (nadhani hata Tanzania)! Moja ya mbinu ni pamoja na kusafisha dhahabu nje ya nchi (ambayo bado inaendelea Tanzania), kughushi uzito wa mzigo na kukwepa kodi. Yote haya yanaenderlea Tanzania, hadi Umoja wa Mataifa hivi karibuni umetoa wito kwa Tanzania kuweka mkazo zaidi katika kudhibiti utajiri wake wa madini! Halafu wewe (nadhani chawa au mtendaji) waja hapa kupiga porojo!
Hebu jaribu tu kuiuliza serikali: tunatoa tani ngapi za dhahabu (tu) kwa mwaka? Katika dhahabu hiyo, kiasi gani tunakiweka hifadhi ili kuzaziti sarafu yetu? Kisha uje uandike hapa!
Wafaransa ndiyo wachafu sana katika hiyo michezo.
 
Ninavyojua ombaomba ndio wanaozunguka na matajiri wamekaa makwao
 
Lakini hizi neema hazijawahi kuwa msaada kwa wa TZ wengi, ni jambo jema lakini
Tunayo Uranium ambayo Macron amenyang’anywa na Putin huko West Africa !
Labda Macron anataka kubadili gia angani !

Ngoja tusubiri tuone labda Neema inakuja ! 🙏
 
Tunayo Uranium ambayo Macron amenyang’anywa na Putin huko West Africa !
Labda Macron anataka kubadili gia angani !

Ngoja tusubiri tuone labda Neema inakuja ! 🙏
Tena msimhusishe Macron na hii safari. SAMIA KAENDA HUKO sababu ya Taifa gas ya Rostam.
 
Ni ile ndoto ya mtu ya kutimiza list ya nchi atakazotembelea pale akipata fursa,pesa,madaraka. A.k.a to do list
 
Kile kindege ninatamani kipotee angani kesho.Very expensive ile ndege ikitumiwa.
 
Tulia watu wapate pesa za semina kuelimisha jamii umuhimu wa nishati safi ya kupikia. Ww unaona nakuita kujenga vijengo vyangu unafikiri pesa inapatikana wapi.
 
Wazalendo wakipatikana wanapigwa vita vya wazi na vya chini kwa chini ili wapotee ulingoni !!

Uzalendo wa kwanza ni kudai Katiba mpya bora !!

Itakayozuia madudu yooooteee !!

Sio Katiba mpya tu !
Bali iwe ni Katiba mpya BORA ! 🙏🙏
Umeandika point sn
 
Wazalendo wakipatikana wanapigwa vita vya wazi na vya chini kwa chini ili wapotee ulingoni !!

Uzalendo wa kwanza ni kudai Katiba mpya bora !!

Itakayozuia madudu yooooteee !!

Sio Katiba mpya tu !
Bali iwe ni Katiba mpya BORA ! 🙏🙏
Umeandika point sn
 
Tulia watu wapate pesa za semina kuelimisha jamii umuhimu wa nishati safi ya kupikia. Ww unaona nakuita kujenga vijengo vyangu unafikiri pesa inapatikana wapi.
Mkuu tusiwe na malengo mafupi katika maendeleo ya Taifa hili pendwa.
 
Back
Top Bottom