Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafaransa siwapendi kisawasawa!Hao wana tabia za Ufitini !
Ngoja tuone. !
Shopping Dubai, bata Paris ..
[/QUO Mkuu hapo Paris kwa shoppin ndio kwenyewe sasa vitu Og kabisa,huko dubai mpaka malonya ya mchina unayakuta.
Safari nyingine ni za kumtuma Biteko.Hata hyo sa100 mwenyewe haelewi umuhimu wa hiyo safari, wahuni sio watu wazuri kabisa!
Sidhani kama anaruhusiwa kutoka eacSafari nyingine ni za kumtuma Biteko.
Kivipi. ??!Kitu kilichofanyika Mali na Burkina Faso kimeudhi waafrika wengi.
Who is Paka ?!Mikutano kama hii bila M7 na paka ni makongamano tu
Rais Samia huyoo?
Sasa hivi kaenda Ufaransa!
Ufaransa, chini ya Macron, sasa hivi kimataifa haivumi upepo mzuri. Matukio ya uhusiano wa Ufaransa na nchi za Afrika Magharibi, kama Niger, Mali, Burkina Faso na nchi nyingine siyo mzuri kabisa.
Nchi hizo za wenzetu zime experience ushenzi wa ukoloni mamboleo wa dola la kifaransa. Uchumi wa nchi hizo ulidhibitiwa na ufaransa kiasi kwamba walikuwa wakinyonywa mchana kweupe. Sasa wamewafukuza physically wafaransa wote toka nchini mwao.
Katika mazingira hayo lazima tujiulize, Mama Samia anafuata nini huko Ufaransa, na atatendewa nini tofauti na nchi za Afrika Magharibi?
Mmh !Wasiwasi wetu asijekuwauzia wafaransa maeneo yetu kama alivyowauzia waarabu kule ngorongoro na kuwafukuza watu wetu
##polepole kataa wahuni ## ??!!Hata hyo sa100 mwenyewe haelewi umuhimu wa hiyo safari, wahuni sio watu wazuri kabisa!