The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Mbona hauwi specific? Yani sumu iwekwe kwenye maziwa kisha hiyo sumu isimdhuru?Hakuna lolote litalalompata huyo atakayekunywa hayo maziwa
Mtoa mada ndo ajibu sasaMbona hauwi specific? Yani sumu iwekwe kwenye maziwa kisha hiyo sumu isimdhuru?
Kwani unaongelea sumu aina ipi? Coz kuna sumu hata unywe debe la maziwa lazima ikuondoe.
Inategemea ni sumu ya aina gani na maziwa ya aina gani...Habari za wakati huu ndugu zangu wana jamii, naomba kuuliza ni nini kitatokea endapo mtu atakunywa maziwa ambayo ndani yake yametiliwa sumu, ukizingatia maziwa huwa tunayatumia kumpa mtu aliye kula sumu kabla ya kumpeleka hospitali kwa matibabu zaidi
Hapo sawa nilidhani umekunywa weweHakuna chochote nimewaza tu hili jambo nikaona wacha niulize jf kisima cha maarifa
Mimi Najitolea Maziwa Kwa Muhusika Na MashahidiMi niwe mchanganya sumu bro
Like charges repel while unlike charges attract,Habari za wakati huu ndugu zangu wana jamii, naomba kuuliza ni nini kitatokea endapo mtu atakunywa maziwa ambayo ndani yake yametiliwa sumu, ukizingatia maziwa huwa tunayatumia kumpa mtu aliye kula sumu kabla ya kumpeleka hospitali kwa matibabu zaidi
Kunywa maziwa ambayo tayari yametiliwa sumu ni hatari sana kwa afya. Ingawa maziwa mara nyingine hutumika kama njia ya dharura kusaidia kupunguza athari za sumu fulani, si kila aina ya sumu itazuiliwa au kufyonzwa na maziwa. Ikiwa maziwa yenyewe yamechafuliwa na sumu, basi:Habari za wakati huu ndugu zangu wana jamii, naomba kuuliza ni nini kitatokea endapo mtu atakunywa maziwa ambayo ndani yake yametiliwa sumu, ukizingatia maziwa huwa tunayatumia kumpa mtu aliye kula sumu kabla ya kumpeleka hospitali kwa matibabu zaidi