Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heading yako umeuliza swali, kwenye thread umejijibu mwenyewe, Sasa tukusaidie nini tena?Gari ni muhimu... Ila haliingizi chochote. Zaidi ya kukumaliza tu.
Bajaji ikipiga mishe vizuri kwa wiki naweza kuwa naweka kibindoni 150K na dereva anajilipa vizuri.
Ushauri wenu.. MONEY IN A BANK.
Mwalimu hana pesa ya kuhudumia gari mkuu.. labda awe amejiwekeza vizuri..Kama za kuhudumia hiyo gari zipo nunua bob
Docta Matola PHD...😂😂Heading yako umeuliza swali, kwenye thread umejijibu mwenyewe, Sasa tukusaidie nini tena?
Biashara ya transportation inawafaa zaidi watu wenye chombo zaidi ya kimoja.Docta Matola PHD...😂😂
TOA USHAURI..
Akiiishiwa pesa ya wese au kubadili engine oil na filter aende kwa majirani au vipi?Nunua gari mkuu majirani uwakomeshe na totozi za mjini[emoji23][emoji23]
Gari litakuingizia faida pia kwani huwezi kulifanya bolt, au unadhani bajaji peke ake ndo inaingiza choro.Gari ni muhimu... Ila haliingizi chochote. Zaidi ya kukumaliza tu.
Bajaji ikipiga mishe vizuri kwa wiki naweza kuwa naweka kibindoni 150K na dereva anajilipa vizuri.
Ushauri wenu.. MONEY IN A BANK.
Damnwtf? Yani Bajaj ishafika million 7 wakati nilipoondoka bongo ilikuwa laki tisa!Biashara ya transportation inawafaa zaidi watu wenye chombo zaidi ya kimoja.
Simshauri mtu kuingiza million 7.5 yake Kwa ajili ya bajaji moja.
Ni bora hata pikipiki ukaisajili Ubber unaingia mkataba na driver.