Hata hio 7 upati,unazijua tozo wewe,bila 8 ujavuta bajajDamnwtf? Yani Bajaj ishafika million 7 wakati nilipoondoka bongo ilikuwa laki tisa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hio 7 upati,unazijua tozo wewe,bila 8 ujavuta bajajDamnwtf? Yani Bajaj ishafika million 7 wakati nilipoondoka bongo ilikuwa laki tisa!
Usikariri Mkuu Au Unazungumzia Mwalimu Gani?Mwalimu hana pesa ya kuhudumia gari mkuu.. labda awe amejiwekeza vizuri..
Watu wananunua magari wanayaacha home.
Bajaji biashra gani hyo mkuu bila kudrive ww au kumpata dereav anayejitambua ipo siku utapiga mayoweNaona mkuu unakuja na negative views vile ww ilivyokufanya!!
Huyu atakiwa ni traffic, anataka ununue Toyo waendeleee kuchukua TozoNunua toyo achana na bajaji...
Hapana mkuu.. toyo ina uhakika wa hesabu ya 20k kwa siku kuliko bajajiHuyu atakiwa ni traffic, anataka ununue Toyo waendeleee kuchukua Tozo
Walevi bwana utawaona tuuuDamnwtf? Yani Bajaj ishafika million 7 wakati nilipoondoka bongo ilikuwa laki tisa!
140K amepiga hesabu vibaya kwa siku ni 20K mimi wanaleta baada kila siku kumi 200K.Bajaji zilivyojaa ikupe 150?
Tsh 8,000,000/= imenyooka kama ruler,wiki iliyopita zilipanda 8.2millDamnwtf? Yani Bajaj ishafika million 7 wakati nilipoondoka bongo ilikuwa laki tisa!
Kumbe bado rahis tu kama dollars 2500-3000 hivikwa moja. Nataka kuzichukua/kuzinunua hizo bajaj kama mia tano kwa mkupuo.Tsh 8,000,000/= imenyooka kama ruler,wiki iliyopita zilipanda 8.2mill
Stress ChallengerKumbe bado rahis tu kama dollars 2500-3000 hivikwa moja. Nataka kuzichukua/kuzinunua hizo bajaj kama mia tano kwa mkupuo.
Bajaj N Hadi 8.3 kwa ArushaBiashara ya transportation inawafaa zaidi watu wenye chombo zaidi ya kimoja.
Simshauri mtu kuingiza million 7.5 yake Kwa ajili ya bajaji moja.
Ni bora hata pikipiki ukaisajili Ubber unaingia mkataba na driver.
Mkuu nipe hiyo gari kwa mkataba, hutojutiaNilinunua IST kuifanya Uber/Bolt nilichokutana nacho mwaka wa nne huu naiendesha Mwenyewe kwenye shughuli zangu. Biashara ya transport madereva ni pasua kichwa inatakiwa mmiliki uwe pasua kichwa zaidi yao ndiyo utatoboa
Uliondoka 1990 nini mkuu?Damnwtf? Yani Bajaj ishafika million 7 wakati nilipoondoka bongo ilikuwa laki tisa!
Mbona majibu unayo?Gari ni muhimu... Ila haliingizi chochote. Zaidi ya kukumaliza tu.
Bajaji ikipiga mishe vizuri kwa wiki naweza kuwa naweka kibindoni 150K na dereva anajilipa vizuri.
Ushauri wenu.. MONEY IN A BANK.