Aisee . Okk .Ukiwa na gari mjini hapa huwezi kukosa hela labda uwe mtu wa kujiona. Nunua gari sajili namba za biashara, kisha jisajili bolt n ufanye kazi muda wa ziada na weeknd. Kama utaweza kukomaa usiku hela ni nyingi mno hivyo itakua ni gari ya kutembelea na itaweza kukuingizia kipato cha ziada. Huwezi kosa laki+ kwa week na gari itajihudumia.
Mnhh .. mkuu.Mimi nakuambia hivi; kama gari itakuwa lazima, labda kutokana na nature ya shughuli zako za kika siku, kama vile kuwahi kazini, biashara, nk, hapo nunua gari ya kiwango chochote kile. Lakini endapo unataka kununua gari kwa ajili ya show off, achana nayo, ni bora ukaiwekeza hiyo hela ili ujiingizie faida kuliko kununua gari ambayo itahitaji kuihudumia! Kulingana na maelezo yako, inaonekana hela yenyewe haizidi shs 8000000/=, ni bora ukaiingiza kwenye mzunguko ili baadae mambo yakikaa vizuri, uje ununue chombo ya uhakika; kama Harrier, Vanguard, X-Trail (SVU cars), nk, kuliko sasa ukiamua kununua, hautakuwa na option zaidi ya kununua Vitz!
Biashara yoyote haikosi risk!Mnhh .. mkuu.
Pata potea sio poa.
Mzunguko ndo huo.
Duh.. !Hata iyo bajaji labda kama utaendesha mwenyewe ila ukijichanganya kuwapa hawa vijana wanaovaa jinsi za kubana kama dada zao utakula hasara tu. Ushauri wangu kama una muda fanya biashara utakayoweza kuismamia mwenyewe mguu kwa mguu angalao kwa hatua za mwanzo
Bajaji inagonga adi tisa🤣🤣 Kwa mikoan hukuDamnwtf? Yani Bajaj ishafika million 7 wakati nilipoondoka bongo ilikuwa laki tisa!
Kwa hatua za mwanzo ni hatari sana kukaa mbali na biashara hata umpe rafiki au ndugu atakupiga tu. Ushauri wangu tafuta chimbo fungua car wash ya kijanja janja kidogo magari, bajaji, pikipiki, kirikuu vyote vinaoshwa alafu usicheze mbali ukishajua mzunguko upoje unaweza kuwapangia hesabu vijana alafu we unapita kuchukua hesabu jioni au kwa muda mliokubalianaDuh.. !
Hapo kwa mguu kwa mguu ndo ishu..
Au Suzuki swiftMimi nakuambia hivi; kama gari itakuwa lazima, labda kutokana na nature ya shughuli zako za kika siku, kama vile kuwahi kazini, biashara, nk, hapo nunua gari ya kiwango chochote kile. Lakini endapo unataka kununua gari kwa ajili ya show off, achana nayo, ni bora ukaiwekeza hiyo hela ili ujiingizie faida kuliko kununua gari ambayo itahitaji kuihudumia! Kulingana na maelezo yako, inaonekana hela yenyewe haizidi shs 8000000/=, ni bora ukaiingiza kwenye mzunguko ili baadae mambo yakikaa vizuri, uje ununue chombo ya uhakika; kama Harrier, Vanguard, X-Trail (SVU cars), nk, kuliko sasa ukiamua kununua, hautakuwa na option zaidi ya kununua Vitz!
Mwaka gani?Damnwtf? Yani Bajaj ishafika million 7 wakati nilipoondoka bongo ilikuwa laki tisa!
Maana yake asilale?Ukiwa na gari mjini hapa huwezi kukosa hela labda uwe mtu wa kujiona. Nunua gari sajili namba za biashara, kisha jisajili bolt n ufanye kazi muda wa ziada na weeknd. Kama utaweza kukomaa usiku hela ni nyingi mno hivyo itakua ni gari ya kutembelea na itaweza kukuingizia kipato cha ziada. Huwezi kosa laki+ kwa week na gari itajihudumia.
Jenga nyumba uwe mtu.Gari ni muhimu... Ila haliingizi chochote. Zaidi ya kukumaliza tu.
Bajaji ikipiga mishe vizuri kwa wiki naweza kuwa naweka kibindoni 150K na dereva anajilipa vizuri.
Ushauri wenu.. MONEY IN A BANK.
Upo mkoa gani? Check masoko tusuply Kwa bei nafuu kuliko hiyo, wanawapiga sana.Bajaji inagonga adi tisa🤣🤣 Kwa mikoan huku