Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
First gen unapata ila kabla ya facelift.. facelift ya 2015 ndio itabidi uongeze ata 2-3 hivi Mil.Hv cx 5 unaipta kwa mil 27?
Hii hapa ameweka tajiri ni 2nd generation. Hii ipo nje kabisa ya budget ya mtoa mada.
Ya 2012 au 2013 anaweza kupata kwa budget hiyo 2.2 diesel hizi za 2016 kuja juu kodi pekee zinaanzia 16m na ushee TRA pekee.Hii hapa ameweka tajiri ni 2nd generation. Hii ipo nje kabisa ya budget ya mtoa mada.
First gen unapata ila kabla ya facelift.. facelift ya 2015 ndio itabidi uongeze ata 2-3 hivi Mil.
Sure mkuu. Hii 2nd gen bila 40+ sidhani.Ya 2012 au 2013 anaweza kupata kwa budget hiyo 2.2 diesel hizi za 2016 kuja juu kodi pekee zinaanzia 16m na ushee TRA pekee.
Budget yako.Gar ya mwaka gani nzuri
Mambo ya humu ndivyo yalivyo,kesho utamkuta kwny ule uzi wa kugombea vocha ya buku.Nimegundua baadhi ya member huwa WANAJAMBISHA wakijifanya wananunua magari kumbe ni wazushi Tu...
Kuna member mmoja kilasiku kazi yake kuulizia magari kumbe ni mzushi Tu hata Jana amewachosha watu na Subaru au outlander..
Wiki iliyopita alikuwa anaulizia gari la budget ya million 4 wakati miezi miwili ya nyuma alikuwa anahitaj discovery 4
Wanaokuja inbox kutaka hizo gari za SA kumbe yupo zake chini ya mbuyu hana hata mpango unaweza kuwa serious wakati anajua anakupotezea muda tu..Nimegundua baadhi ya member huwa WANAJAMBISHA wakijifanya wananunua magari kumbe ni wazushi Tu...
Kuna member mmoja kilasiku kazi yake kuulizia magari kumbe ni mzushi Tu hata Jana amewachosha watu na Subaru au outlander..
Wiki iliyopita alikuwa anaulizia gari la budget ya million 4 wakati miezi miwili ya nyuma alikuwa anahitaj discovery 4
Hii ya 2015-2016 ~35m Hadi Kodi ya tra apo amaBudget yako.
Kama upo chini ya 30m 2012-2014
Am kama unaweza kusogea hadi 35m 2015 na 2016
Kama unaweza kwenda Mil 40 chukua 2017 aisee
mimi ningenunua mazda hapo. xtrail achana nayo aisee yale yana shida yake kwa tz hii sijui ni magari au mafundi wote ila ni shida mkuu.Wakuu naleta kwenu wataalamu wa magari ninunue gari ipi Kati ya hizo hapo au nje ya hizo gari nilizotaja bajeti ya yangu ni 25-27m
Nichukue Mazda yamwaka Gani ndo Iko poamimi ningenunua mazda hapo. xtrail achana nayo aisee yale yana shida yake kwa tz hii sijui ni magari au mafundi wote ila ni shida mkuu.
mkuu siwezi kukupa exact details kwa sababu sijaimiliki ila nikiwa na mafundi wanazisifia maana nina nissan moja inanipasua kichwa sijui ni gari au ni mafundi lakini acha tu.Nichukue Mazda yamwaka Gani ndo Iko poa
Ana milioni 25 Kaka siyo milioni 500 umemsoma vibayaNunua Range ROver Autobiography.
Habari kaka.Budget yako.
Kama upo chini ya 30m 2012-2014
Am kama unaweza kusogea hadi 35m 2015 na 2016
Kama unaweza kwenda Mil 40 chukua 2017 aisee
Wanaokuja inbox kutaka hizo gari za SA kumbe yupo zake chini ya mbuyu hana hata mpango unaweza kuwa serious wakati anajua anakupotezea muda tu..
Mkuu, nimekusoma.Habari kaka.
Mfano mtu anakuomba ushauri anataka achukue gari mojawapo kati ya hizi chini, utashauri ipi.
Ukiangalia list ya hizi gari bila shaka unapata picha mtu huyo ana kipato cha kati. Hanunui gari anayotamani, bali atayoweza kuimudu. Ushauri wako?
Halafu kuna page nilikua napita (Kimomwe motors) wameandika kuwa "sheria za nchi tunaagiza magari yenye umri wa miaka nane tu" maana yake kuanzia 2016 kupanda juu. Hii imekaaje kiongozi? Ama ndio sababu unamhimiza mshikaji hapo juu aagize Mazda ya mwaka 2015?
1. Ractis new model (mwaka sijui)
View attachment 3076385
2. Passo 2011
View attachment 3076411
3. Passo 2008
View attachment 3076427
4. Runx (mwaka sijui)
View attachment 3076433