Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Izo naona 16 hivi ukitaka from JP.Mazda verisa ntapata Kwa bei gani wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Izo naona 16 hivi ukitaka from JP.Mazda verisa ntapata Kwa bei gani wakuu
Ndio mkuuHii ya 2015-2016 ~35m Hadi Kodi ya tra apo ama
Sawa sawaIzo naona 16 hivi ukitaka from JP.
Labda ni dalali ananunua na kuuzaNimegundua baadhi ya member huwa WANAJAMBISHA wakijifanya wananunua magari kumbe ni wazushi Tu...
Kuna member mmoja kilasiku kazi yake kuulizia magari kumbe ni mzushi Tu hata Jana amewachosha watu na Subaru au outlander..
Wiki iliyopita alikuwa anaulizia gari la budget ya million 4 wakati miezi miwili ya nyuma alikuwa anahitaj discovery 4
Hahahaha 😆 😆 😆 😆 😆Labda ni dalali ananunua na kuuza
Wanaonunua Autobiography hawahitaji ushauri tunaoshariana ni wateja wa Passo..Nunua Range ROver Autobiography.
Hahahaha 😆 😆 😆 😆 😆 😆Wanaonunua Autobiography hawahitaji ushauri tunaoshariana ni wateja wa Passo..
Hata mimiNinaweka kambi hapa kujifunza, ngoja wajuzi waje.
Unafaa sanaMi nitakua bias kwa CX-5!
Ila ungejitahidi upate ya 2015-2016 walifanya face-lift kidogo walibadirisha muonekano wa ndani na nje.
Baadhi ya mabadiriko ni updates ndogo ndogo za nje mfano grille, road noise ambayo ni kilio cha Mazda miaka mingi wamepunguza, waliimprove infotainment system especially issue ya kuconnect Bluetooth na kuongeza knob (controller), waliongeza sport mode, LED lights mbele na nyuma kutoka halogen.
View attachment 3075775View attachment 3075776View attachment 3075778View attachment 3075779View attachment 3075780View attachment 3075782
Izo picha angalia before facelift (2014 kurudi nyuma) na after facelift (2015&16)
Features za ziada utakazo enjoy kwa Mazda:
Adaptive Cruise Control
Smart City Brake Support
Blind Spot Alert
Heads Up Display
Faida za CX5
Iko na smooth ride
Very fuel efficient
Comfortable
Spacious
Hasara kidogo
Complications kidogo za DPF
Rangi kuchubuka
Tips:
Usinunue Mazda ambazo haina logo pale mbele.. kuna uwezekano ilipata ajali. Ile logo ya mbele sio tu logo bali pia ina sensors na radar kwaajili ya SCBS na Adaptive Cruise Control.View attachment 3075789
Na mwisho kwangu kuna packages nyingi, nunua packages ya XD L ndio ipo full loaded.
Tunaomba picha ya 2017Budget yako.
Kama upo chini ya 30m 2012-2014
Am kama unaweza kusogea hadi 35m 2015 na 2016
Kama unaweza kwenda Mil 40 chukua 2017 aisee
Watu mna Maneno😂Hizo gari zote ulizotaja unasimamishwa na trafiki,chukua gari ya kuogopwa na traffic
Ipi nzur Mazda ya 4WD au 2WD na angalau iwe na km ngap mfano. . Kwa budget ya mfuko wangu naangukia ya 2014Ndio mkuu
Habari kaka.
Mfano mtu anakuomba ushauri anataka achukue gari mojawapo kati ya hizi chini, utashauri ipi.
Ukiangalia list ya hizi gari bila shaka unapata picha mtu huyo ana kipato cha kati. Hanunui gari anayotamani, bali atayoweza kuimudu. Ushauri wako?
Halafu kuna page nilikua napita (Kimomwe motors) wameandika kuwa "sheria za nchi tunaagiza magari yenye umri wa miaka nane tu" maana yake kuanzia 2016 kupanda juu. Hii imekaaje kiongozi? Ama ndio sababu unamhimiza mshikaji hapo juu aagize Mazda ya mwaka 2015?
1. Ractis new model (mwaka sijui)
View attachment 3076385
2. Passo 2011
View attachment 3076411
3. Passo 2008
View attachment 3076427
4. Runx (mwaka sijui)
View attachment 3076433
Kama 4wheel yake ni ile unaiweka mwenyewe pale unapoihitaji, nunua ya 4wheel ila kama ni ile ya 4wheel muda wote, nafikiri 2wheel itakuwa nzuri. kuhusu KMS, chukua chini ya laki moja.Ipi nzur Mazda ya 4WD au 2WD na angalau iwe na km ngap mfano. . Kwa budget ya mfuko wangu naangukia ya 2014
Hili nalo mkalitizame.Nimegundua baadhi ya member huwa WANAJAMBISHA wakijifanya wananunua magari kumbe ni wazushi Tu...
Kuna member mmoja kilasiku kazi yake kuulizia magari kumbe ni mzushi Tu hata Jana amewachosha watu na Subaru au outlander..
Wiki iliyopita alikuwa anaulizia gari la budget ya million 4 wakati miezi miwili ya nyuma alikuwa anahitaj discovery 4
Achana na gariWakuu naleta kwenu wataalamu wa magari ninunue gari ipi Kati ya hizo hapo au nje ya hizo gari nilizotaja bajeti ya yangu ni 25-27m
Mchawi wewe , mtu anaomba ushauri hapa wa gari ya kutembea ,unaleta habari za gari z matajiliWanaonunua Autobiography hawahitaji ushauri tunaoshariana ni wateja wa Passo..