Niokoeni jamani nimeanza kumpenda Mzigua90

Niokoeni jamani nimeanza kumpenda Mzigua90

Ngoja nijaribu basi..Wewe ulivyo gaidi..Mtu atapigwa pesa na kulishwa bloku kila sehemu
IMG_20180129_150140_792.jpg


Mpendwa nakuona nakuona
😀😀😀😀😀
 
Hivi kwanini sisi Wanaume Tunapenda Penda Hovyo Watu Tusio Wajua? Wewe Limtu Hulijui Hujawahi Liona Wala Kulisikia Sauti Afu Unajikuta Tu Unalipenda Khaaaa! Utapenda Majini Mzee Baba.
Mbona una mvunja moyo Mzee Baba[emoji38] [emoji38]
 
Ndondondo si churururu ! Ndivyo ilikuwa nianza kwa kupenda michango yake iliyopevuka iliyosheheni mapenzi ya kweli na nia ya utulivu uso kifani,Taratibu dozi ikaanza kuniingia lahaula la kwata nikajaa nikawa bingwa wa kufuatilia post zake kuliko hata navyofuatilia za mshana jr ,deo msando na gudume .

Najileta kwenu waungwana mninusuru kwani nishaona dalili kuwa mzigua90 ataninyanyasa sana kwani mtizamo wake juu ya mahusiano ni hasi na ni dhahiri ni mtu mtemi asieshaurika, na ukiweka na kauzigua (Tanga ndo yalikozaliwa) mimi mnyalu wa watu najiona nikiuza kiwanja cha urithi.

Nafwaa wajameni.
Huyo Mzigua90 utapata kilema cha kudumu. Mtuachie tu sie
 
Mahari ikiwa poa... utanisamehe... ntaichukua. Asipokuridhisha usijali babu yako nipo nitajua cha kufanya kumaliza kiu yako.

Nshakuwekea link hebu kachangamkie hiyo deal
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2].
 
Sielewagi mwanaume kuogopa mwanamke wakati ndo wanatakiwa kutongoza.
Unajua uoga huwa unajijenga kiimani zaidi yaani kabla huja mtongoza unajipa majibu ya kuwa hawezi kunikubalia na hapo usha jiwekea jibu moyoni kuwa hawezi kuwa wangu

Na hii ndo inatunyima kupata warembo tunao penda kuwa nao
 
Back
Top Bottom