NABII MTARAJIWA
JF-Expert Member
- Sep 11, 2024
- 425
- 609
Mungu awatetee!Wakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Asante sanaKuwa hodari na moyo wa ushujaa BWANA atakuongoza katika kila jambo litakalo kuja mbele yako na utarudi salama uje utupe mrejesho kamanda
Hivi kwanini Vijana wamegoma kuacha bangi, hawajui mwishowe zinafanya mtu kua kichaa kabisa?Wakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Asante mtumishiMungu awatetee!
Sawa mkuuKila la kheri kamanda,urudi salama na mfanikiwe na mission yenu
Uchaguzi wa TAMISEMIWakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Na wewe uende ukabebe angalau magaloni ya maji ya kunywaHao si tunawalioa salary Kwa kazi hiyo na nafasi za Jeshi zikitoka.watu si wanagombaniaga?
Hiyo ndio kazi waliyochagua.
Sio kazi yanguNa wewe uende ukabebe angalau magaloni ya maji ya kunywa
Usikejeli ivyo walinzi wa taifa lako mkuu. Hiyo kazi halipwi ivi unaweza ukamlipa mtu kwa kuutoa uhai wake ili tu wewe ulale na mkeo vizuri,Kuna mambo mengine sio ya kubeza. Mbona jamaa akatuaga vizuri raia wake amekosa niniYaani uombewe wakati unalipwa mshahara Kwa kazi hiyo? Tena Kuna posho Kwa akili ya kazi hiyo maalum...hebu kapambane huko acha kulialia
Sawa mkuuVita hubadilisha tabia,maisha ya mhusika ukirudi mtaani watu wanaweza kuona umekuwa chizi. Wengine watakuona umekuwa katili lakini kiukweli vita ina badilisha akili kabisa.
Ukishauwa huko huku nyumbani kuuwa mtu itakuwa rahisi sana tu, hii comment utaikumbuka ukirudi salama.
Nakutakia safari njema na kazi njema urudi nyumbani salama.
Kama operation ilikuwa ya siri sasa umeiweka hapa dhwahiri M23 wanaona punguzeni sifa kwenye mambo mazito ya usalama wako!Wakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Nope code mkuu ni serious ishuUngesema mapema tungeonana nikupe "code" moja nzuri sana kutoka Būbale Ntuzu. Yaani hata kombania yako yote ingekuwa ambushed na kuangamizwa wewe ungebaki.
Kwa sasa mtegemee Mungu. Sali kila siku. Soma Neno kila inapowezekana na stay positive. Kila la heri!
Jf forum bana ukute hata jkt hakupitia anatupanga tu🤣🤣Kama operation ilikuwa ya siri sasa umeiweka hapa dhwahiri M23 wanaona punguzeni sifa kwenye mambo mazito ya usalama wako!
Sawa mkuuJf forum bana ukute hata jkt hakupitia anatupanga tu🤣🤣