Nyamwi255
JF-Expert Member
- Dec 2, 2022
- 4,848
- 12,776
Huyu mgai gai tu walochaguliwa wamejikalia zao kimyaMkuu wa kikosi amemruhusu atangaze siku ya kuondoka?
Haya mambo huwa ni siri, unapotangaza unamfanya adui ajipange, au akufanyie ambush.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mgai gai tu walochaguliwa wamejikalia zao kimyaMkuu wa kikosi amemruhusu atangaze siku ya kuondoka?
Haya mambo huwa ni siri, unapotangaza unamfanya adui ajipange, au akufanyie ambush.
Laana hizo😅Wait...tukuombee kwa nani sio wewe ulisema umegundua MUNGU na shetani hawapo
Tutaonana huko huko!Wakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
simsingizii alisema mwenyewe mkuu [emoji3]Laana hizo
Waliopitia hii kazi wanaelewa kwanini nimesema hivyo na kutaja hiyo sikuKama operation ilikuwa ya siri sasa umeiweka hapa dhwahiri M23 wanaona punguzeni sifa kwenye mambo mazito ya usalama wako!
Karma is bitch🤣🤣simsingizii alisema mwenyewe mkuu [emoji3]
Mkuu unaonaje ukiniunganisha na Shemeji niwe namuangalia kipindi haupo ili hata lolote likitokea huko basi asibaki mpweke!Wakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Mkuu siyo kwa ubaya lakini ,,,mbona nilisikiaga hii ishu kama wanaombaga kwenda au yule ndugu yangu alinidanganya 🤔🤔🤔🤔tumepewa habari mda huu mkuu jina langu lipo
Hapa ni nyumbaniKuna haja ya kuja kuaga huku JF.
Una mihemko mkuu
We kazi yako na Lucas ni kutuimbia mangonjera!Sio kazi yangu
Hahahahaha 121.Wakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Mafanikio sio ngonjeraWe kazi yako na Lucas ni kutuimbia mangonjera!