Niombeeni nimechaguliwa kwenda Congo kuwaondoa m23 kundi letu linaondoka Jumanne

Niombeeni nimechaguliwa kwenda Congo kuwaondoa m23 kundi letu linaondoka Jumanne

Wakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Tutaonana huko huko!
 
Wakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Mkuu unaonaje ukiniunganisha na Shemeji niwe namuangalia kipindi haupo ili hata lolote likitokea huko basi asibaki mpweke!
 
Dah kama wewe ni askari unapaswa kuchukuliwa hatua za kinidhamu na hufai kwenye hiyo mission.

Unapochaguliwa kwenda kwenye mission fulani haipendezi kutanganza kila mahala maana adui pia yupo kila mahala.

Haya hao M23 wanajua sasa mnakwenda majina yawaendaji yametoka.

Vita sio lazima iwe front line tu, inaweza kuanzia huku huku mlipo.
 
Sawa ila hapa sio sehemu ya wewe kusema hayo
Waambie wanufaika wako
 
Wakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Hahahahaha 121.
 
Back
Top Bottom