Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuWatu tushaenda Lebanon tukarudi salama,sembuse congo?
Sawa mkuuMungu akutangulie na kukulinda katika kutekeleza majukumu yako
Sawa mkuuKIla la kheri kamanda!
SawaCHAI 🍵 🍵 🍵
Buriani Kamanda. KapambaneSawa mkuu
ProtocolsWakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Court Marshall inakuhusu. Tunakuombea urudi salama. Upate adhabu yako ya kuvujisha taarifa za kijeshi🏃♂️🏃♂️Wakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Wachen8 kukwepa majukumu hyo ndio kaz aliochagua kwani bwana nyuki walimu nk hazikuwepo wakati anataka watu wamchezee aingie huko si ndio hao wanapiga watu kwa vle wamepak vibaya hzo ni job categories apambanie huko halafu vita ikipigwa usilolijua wa kwanza ni ww kushika silaha wao wako makambini kwao rudi Libya kongo palestina nkUsikejeli ivyo walinzi wa taifa lako mkuu. Hiyo kazi halipwi ivi unaweza ukamlipa mtu kwa kuutoa uhai wake ili tu wewe ulale na mkeo vizuri,Kuna mambo mengine sio ya kubeza. Mbona jamaa akatuaga vizuri raia wake amekosa nini
Mungu akulinde, urudi salama🙏🤲Wakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
INAWEZEKANA ikawa kweli hii .TAPETA
Ni msemo wa zamani,,Tulifundishwaga kwamba mtu anayekwenda vitani huwa anaaga kwa kusema buriani..!!
DuhUngesema mapema tungeonana nikupe "code" moja nzuri sana kutoka Būbale Ntuzu. Yaani hata kombania yako yote ingekuwa ambushed na kuangamizwa wewe ungebaki.
Kwa sasa mtegemee Mungu. Sali kila siku. Soma Neno kila inapowezekana na stay positive. Kila la heri!