Niombeeni nimechaguliwa kwenda Congo kuwaondoa m23 kundi letu linaondoka Jumanne

Niombeeni nimechaguliwa kwenda Congo kuwaondoa m23 kundi letu linaondoka Jumanne

Kamanda zingatia mafunzo yote ,tembea kwa ku crawl please.yaani zingatia maelekezo yote, kofia iwe kichwani si mnapewa na bullet proof , Ila hao 23M mbona wamekuwa gumzo ivyo pamoja na kuwepo na vikosi kibao bado tu hawasikii watoke huko, ama ni project ya UN or usa
 
Wakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Wanajeshi hawana nidhamu ya hovyo kuongea ongea hovyo mitandaoni
 
Kamanda zingatia mafunzo yote ,tembea kwa ku crawl please.yaani zingatia maelekezo yote, kofia iwe kichwani si mnapewa na bullet proof , Ila hao 23M mbona wamekuwa gumzo ivyo pamoja na kuwepo na vikosi kibao bado tu hawasikii watoke huko, ama ni project ya UN or usa
Sawa mkuu
 
Am sure you'll come back and join us in this forum again, vaa sura ya kazi , don't think about uraiani, pata mzuka kamanda ,
 
Wakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Bro futa ujumbe wako kwani ni siri za jeshi
 
Usikejeli ivyo walinzi wa taifa lako mkuu. Hiyo kazi halipwi ivi unaweza ukamlipa mtu kwa kuutoa uhai wake ili tu wewe ulale na mkeo vizuri,Kuna mambo mengine sio ya kubeza. Mbona jamaa akatuaga vizuri raia wake amekosa nini
Pia mleta mada kafanya utani maana Kuna Uzi wake wa awali juu ya swala hilo hilo, sio afande huyo.
 
Pia I don't think ni suala jema kulisema hapa kamanda wangu waniangusha kabisa, raia hawajui tunayopitia wao wanabakia kulana kimasihara na kujua kuwa Maisha ama amani yao inalindwa na damu za wengine, take proud of your career please. Sali Kila wakati, God is under control of everything, wengine wanafia kwenye maku, magonjwa, ajali, kuiba, wengine wanafumaniwa, wameenda kuiba Bali wewe you'll survive to defend hao raia wanaoonewa
 
Indian tea
Good evening everybody!
(In Indian English slang)
 

Attachments

  • downloadfile-5.jpg
    downloadfile-5.jpg
    54.2 KB · Views: 3
Back
Top Bottom