Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Kamanda zingatia mafunzo yote ,tembea kwa ku crawl please.yaani zingatia maelekezo yote, kofia iwe kichwani si mnapewa na bullet proof , Ila hao 23M mbona wamekuwa gumzo ivyo pamoja na kuwepo na vikosi kibao bado tu hawasikii watoke huko, ama ni project ya UN or usa