Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
M23 tuna sniper wakutosha hivyo mjipange kisawa sawaKamanda zingatia mafunzo yote ,tembea kwa ku crawl please.yaani zingatia maelekezo yote, kofia iwe kichwani si mnapewa na bullet proof , Ila hao 23M mbona wamekuwa gumzo ivyo pamoja na kuwepo na vikosi kibao bado tu hawasikii watoke huko, ama ni project ya UN or usa
Wakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Mwenye mamlaka ya kutokuolewa mke wangu ni Mimi tu. Wengine wake Zenu shart wapigwe machine soon tu ukikata motoUkifa mkeo aolewe au asiolowe Nikifa MkeWangu Asiolewe
Mkuu kila la kheri. Ila na bro wangu nimununuzi mzuri wa dhahabu hana njaa ukirudi ni pm usipo rudi tutaonana tu.hapa duniani tunapitaWakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Kila la kheri kwenye majukumu Yako ya kulinda amani Congo Mungu akutangulie, weka nadhiri ukirudi salama ulinde katiba ya JMT. Nimeongea kikubwaWakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
kila la heri mtaalamu. you're made for that. nakutakia kila heri. utarudi salama.Wakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Naelewa ninachokiuliza mkuuUnamuuliza maswali ambayo hayamuhusu kabisa ! Kazi ya JWTZ ni kulinda nchi na mipaka yake. Mambo ya usalama wa raia na mali zao ni kazi ya jeshi la polisi.
Adhabu yake ni KIFO akipatikanaUrudi salama.Mungu akutangulie. Ila ukiona hali ni mbaya kimbia 😜
Niliwaza kama weweHivi kwanini Vijana wamegoma kuacha bangi, hawajui mwishowe zinafanya mtu kua kichaa kabisa?
Nenda ukashenyetwe🤣🤣🤣Wakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Aisee umenisaidia kitu muhimu sana. Ningejua kuwa muhusika ni yule kafiri asiyeamini uwepo wa Mungu ningempotezea mapema! Anyway nasema akienda huko lolote limkute mtu asiyeamini Mungu sioni kama ana maana Wala thamani yoyote katika jamii ya watu waliostaarabika.Mkuu ungetupa maelekezo zaidi tukuombe kwa nani, ikiwa huamini uwepo wa Mungu wala shetani 👇🏻
Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli
Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zindukeni dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha...www.jamiiforums.com
Jamaa alishaleta mada hapa jukwaani akidai hakuna Mungu kwahiyo anataka tumuombee kupitia mizimu ya kwao!Mungu akawe nawe, usiache kufanya ibada kwa Mungu wako unapopata wasaa