Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnawaondoa M23 nyumbani kwao ili waende wapi?Wakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Zama zimebadilikaHatuna soja anayeaga mitandaoni kwenda mission.
Umeamua kujifurahisha tu.
Ujinga mzigo sana, acha Sifa, jeshi Lina miiko yake ambayo wewe tayari huijui.
Hakuna Cha zama wala Nini, mwanajeshi unapoingia mitandaoni na kujibainisha unaenda wapi tayari unampa adui pa kuanzia.Zama zimebadilika
Ofcourse hakupaswa kusema, lakini wengi wanasema siku hizi, haimaanishi sio kweli.Hakuna Cha zama wala Nini, mwanajeshi unapoingia mitandaoni na kujibainisha unaenda wapi tayari unampa adui pa kuanzia.
Ni ngumu kunielewa boss!
Huyu mpenda Kiki tu kijana hovyoWait...tukuombee kwa nani sio wewe ulisema umegundua MUNGU na shetani hawapo
Miaka hiyo jkt 823kj msange ng'ong'ona uko ndani ndani ..Wameshazoea kupiga raia wasio na bunduki. Hawa watu ukikosea hata njia ukaingia kwenye eneo ambalo hawataki, utarukishwa kichura, kujaza mapipa kwa visoda n.k Hawana msamaha
Wamesikia kuna bunduki huko, ameishiwa nguvu. Mm hata siwezi kupoteza muda maana hufunga hadi mitaa kuchapa watu ovyo kisa kuna mwanajeshi mmoja amepigwa.
M23 pia wapo humu umekwisha na umetoa siri ya kambi!!Wakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Wakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
kwani hapa tunaongea kama serikali au kama jamii yenye uelewa ya yale yanayoendelea nchini Sakasaka MaoSerikali inayo majibu.
sio jibu zuri kwa jamii forum yenye members waliostaarabika,mama mzazi anahuskaje hapo GENTAMYCINE ?Aliyekuzaa (Mama yako Mzazi) anajua zaidi nenda Kamuulize tafadhali.
Nyerere alisema... 'Vijana sina cha kuwapa ila ni ahsante'.kwani hapa tunaongea kama serikali au kama jamii yenye uelewa ya yale yanayoendelea nchini Sakasaka Mao
Labda amiri jeshi mkuu aondoe jina lake kwenye list, soldier gani anakuwa muoga hadi kuja kutafuta huruma mitandaoni.Wait...tukuombee kwa nani sio wewe ulisema umegundua MUNGU na shetani hawapo