Nionesheni bodaboda aliyeagiza gari Japan au China kwa kipato cha bodaboda niache kazi ya utumishi wa umma ndani ya saa 24

Nionesheni bodaboda aliyeagiza gari Japan au China kwa kipato cha bodaboda niache kazi ya utumishi wa umma ndani ya saa 24

Hii sasa ni too much

Unamfananishaje mtu anayekufa kama nzi hapa jijini Dar es Salaam na mtumishi wa umma?

Unamfaninishaje bodaboda ambaye akipata ajali kubwa tu anakimbizwa Kijijini kwa mama yake akafie huko na mtumishi wa umma ambaye ana bima ya watu 6?

Mtu akistaafu anakunja mpaka milioni mia moja leo hii unamfananisha na Bodaboda ambaye hata nywele kuchana ni mtihani.

Nionesheni bodaboda mwenye nyumba angalau ya milioni 20 ambayo Kajenga kwa kazi ya kubeba watu?

Sasa hivi muda wa kazi ukipita ofisi za umma zikiwemo shule za msingi Dar es salaam utakutana na gari namba C,D na E nyingi za walimu na hazijawahi kukosa mafuta hata siku moja.

Na service zinafanyiwa kwa wakati. Bodaboda akiharibikiwa cylinder head ya 35 anahangahika kama kaibiwa figo
Turudi kwenye Socialism nadhan tatzo ni system ya gvt na utawala ,lack of equal access of resources to all people
 
Shenzi taipu! Huu uzi wako ndo uzi bora wa mwaka.

Naomba waambie hao bodaboda tuliowaajiri kuwa wawe na adabu. Nipo nafanya mikakati ya kuagiza premio kali kabisa toka Japan

Form za mkopo walipitisha tayari?
 
Hii sasa ni too much

Unamfananishaje mtu anayekufa kama nzi hapa jijini Dar es Salaam na mtumishi wa umma?

Unamfaninishaje bodaboda ambaye akipata ajali kubwa tu anakimbizwa Kijijini kwa mama yake akafie huko na mtumishi wa umma ambaye ana bima ya watu 6?

Mtu akistaafu anakunja mpaka milioni mia moja leo hii unamfananisha na Bodaboda ambaye hata nywele kuchana ni mtihani.

Nionesheni bodaboda mwenye nyumba angalau ya milioni 20 ambayo Kajenga kwa kazi ya kubeba watu?

Sasa hivi muda wa kazi ukipita ofisi za umma zikiwemo shule za msingi Dar es salaam utakutana na gari namba C,D na E nyingi za walimu na hazijawahi kukosa mafuta hata siku moja.

Na service zinafanyiwa kwa wakati. Bodaboda akiharibikiwa cylinder head ya 35 anahangahika kama kaibiwa figo

Ukimuona bodaboda ana maendeleo basi huyo alikuwa kwenye transition tu ,alipita hapo wakati akisubiria michongo itiki ,nilishwahi kumuona jamaa sehemu alikuwa amechoka sana ,alihamia kwake nyumba bati kaezeka nusu ,akaanza bodaboda alikuwa anaifanyia sehemu tofauti na kwake.

Baada ya muda akaikarabati nyumba yake fresh,akamalizia bati nyumba nzima ,akaipiga rangi,akaweka PVC ,akanunua na gari ila bodaboda wenzake wakimuona ili wajifariji ndiyo utasikia jamaa alikuwa bodaboda lakini alikuwa anasikilizia mchongo na ulivyotick akaachana nayo.
 
Hii sasa ni too much

Unamfananishaje mtu anayekufa kama nzi hapa jijini Dar es Salaam na mtumishi wa umma?

Unamfaninishaje bodaboda ambaye akipata ajali kubwa tu anakimbizwa Kijijini kwa mama yake akafie huko na mtumishi wa umma ambaye ana bima ya watu 6?

Mtu akistaafu anakunja mpaka milioni mia moja leo hii unamfananisha na Bodaboda ambaye hata nywele kuchana ni mtihani.

Nionesheni bodaboda mwenye nyumba angalau ya milioni 20 ambayo Kajenga kwa kazi ya kubeba watu?

Sasa hivi muda wa kazi ukipita ofisi za umma zikiwemo shule za msingi Dar es salaam utakutana na gari namba C,D na E nyingi za walimu na hazijawahi kukosa mafuta hata siku moja.

Na service zinafanyiwa kwa wakati. Bodaboda akiharibikiwa cylinder head ya 35 anahangahika kama kaibiwa figo
Ni ujinga kuwaza kuwa gari ndo maisha ya juu wakati pikipiki pia ni chombo cha usafiri. Waziri mkuu wa uingereza hana gari wala bodaboda hutumia baiskeli tu. Unamzidi nini wewe mwenye ist ya mkopo
 
Sasa nyinyi ambao hamtaki wafanye bodaboda mtawapa kazi gani za kufanya?....

Siasa bwana [emoji16]
 
Hii sasa ni too much

Unamfananishaje mtu anayekufa kama nzi hapa jijini Dar es Salaam na mtumishi wa umma?

Unamfaninishaje bodaboda ambaye akipata ajali kubwa tu anakimbizwa Kijijini kwa mama yake akafie huko na mtumishi wa umma ambaye ana bima ya watu 6?

Mtu akistaafu anakunja mpaka milioni mia moja leo hii unamfananisha na Bodaboda ambaye hata nywele kuchana ni mtihani.

Nionesheni bodaboda mwenye nyumba angalau ya milioni 20 ambayo Kajenga kwa kazi ya kubeba watu?

Sasa hivi muda wa kazi ukipita ofisi za umma zikiwemo shule za msingi Dar es salaam utakutana na gari namba C,D na E nyingi za walimu na hazijawahi kukosa mafuta hata siku moja.

Na service zinafanyiwa kwa wakati. Bodaboda akiharibikiwa cylinder head ya 35 anahangahika kama kaibiwa figo
Ukweli kuhusu Bodaboda ni hivi Bodaboda Mabosi zao ni Walimu karibu VIJIWE vingi unavyoviona huku katika Jamii wale waendeshaji Wamepewa Mikataba na Waalimu .Na Mara nyingi Mikataba inawashinda Kabisa Mwalimu anachukua boda yake. Hivyo msipende kufananisha kwa shangwe la kipuuzi .Mwalimu akienda bank kukopa Pesa anapewa Pesa ya kununua Pikipiki 6 hadi 10 .Leo hii ukafananishe Bodaboda ambaye hata akiumwa hela haiingii anaweza kufa hata Njaa.
Mwalimu yule anayeanza kazi tu anao uwezo wa kununua Pikipiki 6 na kutoa Ajira Hadi za Bodaboda 6 kwa Mwaka .

Usifananishe Laana na kazi za Utumishi wa Umma .Nenda katembelee Walimu nyumbani kwao halafu katembelee Bodaboda kwao ndiyo utarudi kusema Bodaboda ni Laana.

Kuna Mtu kasema boda anaingiza 35,000/= tukio Kama Hilo ndani ya Mwaka linaweza kutokea kwa Mwaka Mara Moja au mbili tu na hapo umejiumiza hasa bila hata kulala .

Bodaboda baada tu ya Kupeleka hesabu kwa Bosi anabaki na 7000 au 5000 kumbuka anayo familia na anayo Matumizi binafsi kumbuka anatakiwa kununua Mafuta ya hiyo Boda .

Kwakua hakuna Ajira ndiyo maana tunafanya Ila HAKUNA Maisha kwenye Bodaboda.

HAKUNA kijana anayeweza nunua Bodaboda kwa Pesa yake maana Lazima Pesa ya kununua Boda ni kuanzia 2,000,000/= na 2,700,000/= kijana hapa kitaa anaitoa wapi?.

Hakika nawaambieni Karibu Bodaboda zote unazoziona ni Mali za Watumishi wa Umma Kama unabisha waulize wenyewe Bodaboda
 
Waache upuuzi, hao boda boda wananipeleka job daily
Zamani watu walikuwa wanatumia baiskeli kama daladala, in fact Tabora mpaka leo baiskeli bado zinabeba watu, lakini hiyo hawafanyi wasiwe masikini...
 
Ni kweli mkuu Ila umetumia maneno magumu sana😃
 
Namm nooneshwe mwalimu au afisa wa juu wa serekalin aliaagiza gari jipya kutoka Japan ,

Wengi wenu mnaendesha magari used
Wakt boda boda wote Wana vyuma vipya

Hi Kaz siyo laana narudia siyo laana Ni Kaz Ni ofc za watu na familia zao waheshimiwe Hawa watu na waawezeshwe

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hawa boda ambao tunawapa mikataba ndio unaowaongelea?
 
Ukweli kuhusu Bodaboda ni hivi Bodaboda Mabosi zao ni Walimu karibu VIJIWE vingi unavyoviona huku katika Jamii wale waendeshaji Wamepewa Mikataba na Waalimu .Na Mara nyingi Mikataba inawashinda Kabisa Mwalimu anachukua boda yake. Hivyo msipende kufananisha kwa shangwe la kipuuzi .Mwalimu akienda bank kukopa Pesa anapewa Pesa ya kununua Pikipiki 6 hadi 10 .Leo hii ukafananishe Bodaboda ambaye hata akiumwa hela haiingii anaweza kufa hata Njaa.
Mwalimu yule anayeanza kazi tu anao uwezo wa kununua Pikipiki 6 na kutoa Ajira Hadi za Bodaboda 6 kwa Mwaka .

Usifananishe Laana na kazi za Utumishi wa Umma .Nenda katembelee Walimu nyumbani kwao halafu katembelee Bodaboda kwao ndiyo utarudi kusema Bodaboda ni Laana.

Kuna Mtu kasema boda anaingiza 35,000/= tukio Kama Hilo ndani ya Mwaka linaweza kutokea kwa Mwaka Mara Moja au mbili tu na hapo umejiumiza hasa bila hata kulala .

Bodaboda baada tu ya Kupeleka hesabu kwa Bosi anabaki na 7000 au 5000 kumbuka anayo familia na anayo Matumizi binafsi kumbuka anatakiwa kununua Mafuta ya hiyo Boda .

Kwakua hakuna Ajira ndiyo maana tunafanya Ila HAKUNA Maisha kwenye Bodaboda.

HAKUNA kijana anayeweza nunua Bodaboda kwa Pesa yake maana Lazima Pesa ya kununua Boda ni kuanzia 2,000,000/= na 2,700,000/= kijana hapa kitaa anaitoa wapi?.

Hakika nawaambieni Karibu Bodaboda zote unazoziona ni Mali za Watumishi wa Umma Kama unabisha waulize wenyewe Bodaboda
Bi mkubwa wangu ticha somewhere anazo hizo Bodaboda 4 kawapa mikataba ndio mbishe zake na harakati zake zingine za hapa na pale.
 
Nilichogundua kwa madereva bodaboda ni kua, hawafikirii juu ya kupanua biashara yao, ndio wanapata pesa nyingi sana kwa siku, lakini ile akili ya kua watumwa tu wa maboss ndio inawakost. utakuta mtu akimaliza mkataba anauza na kuenda kutafuta nyingine ya mkataba. Yaani hawezi miliki pikipiki yake binafsi
 
Kama kipato chako hakivuki milioni 23 (USD 10000) kwa mwaka jua kwamba wewe bado ni maskini tena fukara. Watumishi wa umma karibu wote ni maskini. Mtumishi wa umma anapomkashfu bodaboda ajue kabisa anamkashfu maskini mwenzake. Kuliko kutupiana maneno bora kila mmoja awe bize na mambo yake kwasababu mchonganishi wenu LEMA anakula zake bata kwa mabeberu huko. Acheni kuwa wajinga
Sure.

Wote kipato ni kidogo.
 
Kama unachangamoto ya kibima na unahitaji ushauri na msaada zaidi tafadhali tunaweza kuwasiliana katika number hizi. 0765 827 355 kupata msaada na ushauri.
 
Hii sasa ni too much

Unamfananishaje mtu anayekufa kama nzi hapa jijini Dar es Salaam na mtumishi wa umma?

Unamfaninishaje bodaboda ambaye akipata ajali kubwa tu anakimbizwa Kijijini kwa mama yake akafie huko na mtumishi wa umma ambaye ana bima ya watu 6?

Mtu akistaafu anakunja mpaka milioni mia moja leo hii unamfananisha na Bodaboda ambaye hata nywele kuchana ni mtihani.

Nionesheni bodaboda mwenye nyumba angalau ya milioni 20 ambayo Kajenga kwa kazi ya kubeba watu?

Sasa hivi muda wa kazi ukipita ofisi za umma zikiwemo shule za msingi Dar es salaam utakutana na gari namba C,D na E nyingi za walimu na hazijawahi kukosa mafuta hata siku moja.

Na service zinafanyiwa kwa wakati. Bodaboda akiharibikiwa cylinder head ya 35 anahangahika kama kaibiwa figo
Mkuu wakikujibu nistue niandike barua chap nikanunue boda
 
Acheni kudharau boda boda, unaweza kuta mkeo ndo yanamkula[emoji23]
 
Back
Top Bottom