Kweli elimu ya TZ ni shallow au vijana wamejichokea. Kweli kwa level ya masters unaandika neno REPRESEMENT ukimaanisha Replacement??? Nahisi hata smartphone yako ilikusahihisha ukaibishia. Anyways masomo mema
Tuanzie kwanza hapo kwenye Miaka ulioyonao hiyo miaka 32Mimi ni kijana ambaye SINA MPANGO WA KUOA japo nahitaji watoto watano...!!
Hapa hakuna msomaji
Tuanzie kwanza hapo kwenye Miaka ulionao wa miaka 32
Miaka 32 sio kijana ni mtu mzima.Kujiita kijana inaonyesha akili kichwani huna na hata aibu huna.
Mwanamke yeyote kuzaa na wewe aweza zalisha toto zezeta lisilo na akili kama wewe hata kama lina Phd
wafanye represement""
#YNWA
represement sio?!!
Sawa msomi wa PhD ambao puzzle ndogo kama hii huwezi Ku_solve then unataka u_some PhD ili u_solve matatizo ya taifa!
NB: Tuna wasomi wa hovyo sana.
Ona sasa! Ungekuwa na mke umeoa ungemwachia duka aendeleze na wewe ukaenda zako kusoma phd.
Lakini duka utalikutaπYaani madam nimwachie mwanamke duka ili nikirudi nimkute..
1. Kajenga kwao
2. Mali zotee kahamishia sijui wapi
3. Ana mlea mwanaume mwenzangu
4. Yaani hovyo hovyooo tuuuu
#YNWA
Hayo ni kwa ajili ya vyeo vya kisiasaPunguza jazba au umekuja kunipunguzia stress.
Kijana ni kuanzia miaka 18 mpaka 45.
Soma vizuri miongozo ya taifa ""Ina mtambua kijana kwa umri gani?""
PHD ,MASTERS , DEGREE, FOM6 ,FOM4, DARASA LA 7 hizi elimu hazina uzma ndani yake na sio zinazozungumziwa ktk fungu ilo.Mkamate sana elimu, usimwache aende zake; Mshike, maana yeye ni uzima wako.
Mithali 4:13
Imeisha hiyo, msomaji hana maswali mengiNdio umeishia hapoo
ππππππ
Wabongo sisiii "Bagoshaaaaa" in jiwe's voice.
#YNWA
Wewe jamaa una masters ya nongwa..ha ha haaaKwa mwandiko huu hiyo PhD hutaiweza
Ushauri mbovu Sana huuUza biashara nenda kasome
Hayo ni kwa ajili ya vyeo vya kisiasa
Kijana kwa mila na desturi kijana ni yule ambaye hajabalehe kwa vijana wa kiume na kwa wa kike kijana ni yule ambaye hajavunja ungo
Kulitaja jitu lina Miaka 32 kama wewe ni ujinga wa hali ya juu.Miaka 32 ni mtu mzima anayetakiwa akili zake ziwe juu na anayeweza aminiwa hata kuwa mkuu wa kampuni,shirika au taasisi kubwa ya Serikali au hata huko halmashauri
Kama bado unajiona kijana hujitambui.Jinsi ya kupima IQ ya mtu kitaalamu unaangalia umri wa mtu halafu unaangalia uwezo wa hoja zake waweza linganisha na mtu wa umri gani.Ukiona mfano mtoto mdogo.miaka mitano ana hoja nzito zawa na mzee wa Miaka 67 huyo mtoto anatambuliwa kama ana IQ kubwa sana
Lakini uliona mtu mzima wa Miaka 32 anaongea hoja kuwa yeye kijana sawa na mtoto ambaye hajavunja ungo au kubalehe unajua huyo mtu ana IQ ndogo sana
Ndio maana nasema wewe IQ yako iko chini.Umri huo ilitakiwa ume settle umeoa una familia stable na watoto wa ndoa.Lakini kwa maelezo yako wewe bado ni playboy anayedhani kwa ujinga wake kuwa bado yeye kijana!!! IQ yako ndogo mno !! kichwa kikubwa lakini ndani akili hamna! umebeba bichwa tupu kubwa juu ya mwili.Unatesa mabega bure yaliyobeba hilo bichwa lililojaa ujinga mtupu