Nipeni elimu juu ya madeni ya Luku, hayo madeni huwa yanakopwa na nani? Kwanini nidaiwe mimi kwenye meter yangu?

Nipeni elimu juu ya madeni ya Luku, hayo madeni huwa yanakopwa na nani? Kwanini nidaiwe mimi kwenye meter yangu?

Habari zenu wote humu ndani.

Kuna sehemu ilikuwa na frem mpya kabisa nikaona nichukue chumba, kila chumba kina meter yake, cha ajabu leo hii naaka ninunue luku ya elf 5 inakataa, nikaweka umeme wa elf 10 nimeambuliwa kupewa unit 10 tu za ememe wa elf 3 huku deni likiwa elf 6, buku iliyobaki tozo.

Sasa ninajiuliza ni vipi hili deni, maana sehemu hii ni mpya kabisa.
Nyumba ina deni na deni Hilo ni kubwa ,Kwa sababu ukipga hesabu za haraka haraka hyo frem inajitegeme ruku yake so frem ina MDA mrefu haina mpangaji

USHAURI
1. Nenda tanesco ukafahamu deni kamili
2.ukishafamu deni ujue pia kila mwezi makato ya deni total NI TSH?
3.ukimalizana na tanesco rudi Kwa mweny nyumba mmalizane
 
Habari zenu wote humu ndani.

Kuna sehemu ilikuwa na frem mpya kabisa nikaona nichukue chumba, kila chumba kina meter yake, cha ajabu leo hii naaka ninunue luku ya elf 5 inakataa, nikaweka umeme wa elf 10 nimeambuliwa kupewa unit 10 tu za ememe wa elf 3 huku deni likiwa elf 6, buku iliyobaki tozo.

Sasa ninajiuliza ni vipi hili deni, maana sehemu hii ni mpya kabisa.
The same case imenikuta kwenye nyumba yangu ambayo nimefungiwa umeme sina muda mrefu..... na mimi nimekatwa Tsh 6000

Nilichowaza kwa haraka ni kwamba hawa jamaa wanafidia zile sh 1000 za kila mwezi kwa miezi yote kwa mwaka hata kama umefungiwa umeme Mwezi Nov basi utalipia hizo buku buku tangu Januari.

Kama mnakumbuka huu mfumo wa huyo tozo ya buku ilipoanza walifidia miezi mitatu ya nyuma ambapo hilo wazo lilikuwa bado halijaletwa.
 
Back
Top Bottom