Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanisa la Mitume wanaruhusu Kiongozi, mke zaidi ya mmoja.Kwa sababu ushafika mpaka kwa viongozi wa dini fanya hivi, nenda mahakamani umpe taraka na sababu ya kunyimwa unyumba inatosha mahakama kutoa taraka baada ya hapo unaweza kuoa.
Kwa wakristo ndoa ni mke 1 tu hakuna option ya wake 2 kwenye cheti huwa iko hivo na haiwezi badilika
Unaoa ili mtengane baadae au unaoa ili kifo kiwatenganishe?Acha kumtisha wewe ,maisha sio magumu kiasi hicho kuishi na mke asiyetaka tendo ni jinai iliyojificha,hicho kiapo Cha mpk kifo kitakapotutenganisha hakijakizi uhalisia wa kibanadamu
Unashangaa mwaka 1 tu? Mbona wanawake wanavumilia hata miaka 8, mwanaume anatoa kibesi tu ndani lakini yupo busy hana muda na mkewe!duuh watu mna uvumilivu. uliwezaje aisee. mwaka na nusu, wewe mbinguni njia ni nyeupe [emoji23] [emoji23] [emoji23]
yaani siku hiyo ya kwanza angerudi kwao
[emoji12]Unashangaa mwaka 1 tu? Mbona wanawake wanavumilia hata miaka 8, mwanaume anatoa kibesi tu ndani lakini yupo busy hana muda na mkewe!
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app