Nipeni njia ya kuingiza $2 online kwa siku

Nipeni njia ya kuingiza $2 online kwa siku

Habari,
Video Subtittling ni moja Soft Skills ambayo inahitajika sana katika majukwaa ya kazi za mtandaoni (Freelancing Platforms), kwa anayehitaji kuanza Skills hii ya video Subtittling nimeandaa training fupi na rahisi Zaidi kuelewa.
images (92).jpeg



Mafunzo utalipia 20,000 TZS pesa ambayo ukiipata Skills hii utaweza kuipata ukifanya video ya lisaa limoja tu Upwork, au kwenye Agency.

Kutokana na Tangazo langu la mwanzo baadhi ya wadau waliomba Training iwe online maana hawatakuwa na muda, nimejaribu kuandaa lessons kupitia Telegramu Group nimejitahidi kuelezea kwa urahisi sana na kwa Kiswahili.

WhatsApp Group
Screenshot_20220608-062937.png



Lesson zipo mbili
1) Kuweka Subtittles kwenye video
2) Kusevu Subtittles kwenye video (Burning)

Nimeelekeza Software Tools ambazo unatakiwa kuwa nazo na jinsi zinavyofanya kazi.

Lesson 01 (Outlines)
*Jinsi ya kuweka video kwenye program
*Jinsi ya kuandika Subtittles
*Jinsi ya kuediti Subtittles (Font & Location)
*Jinsi ya kuseti muda (Start & End time)
*Work concistency

Lesson 02:
Baada ya kutengeneza Subtittle yetu tutaangalia jinsi ya kuiunganish video na Subtittles kwa kutumia Software tool husika.

Training yote nimeshaiandaa kwenye TELEGRAM GROUP mafunzo haya ya Skills hii ya Video Subtittling ni 20,000 Tzs tu ukipitia maelekezo na lessons zote utakuwa na uwezo wa kuweka subtitle kwenye video yeyote Duniani iwe Nyimbo, movie, iwe slow iwe speed.



NI PM FOR IT
Shida hela mkuu tungependa kujifunza ila bado tunaangalia ni namna gani tutaweza kupata pesa za online kuhusu kujifunza na kulipia mafunzo ni suala lingine [emoji17]
 
Mwaka 2008 wakati bitcoin inaanzishwa, ilijitokeza fursa ya kujipatia sarafu kwa kuchimba (mining) kupitia computer bure. Wachache waliamini wakachimba ila wengi walipuuzia kwa kuwa hazikuwa na thamani ya pesa (monetary value) kwa wakati huo. Wale waliochimba wamenufaika kwa kuuza sarafu walizochimba.

Miaka 14 baadaye imejitokeza tena fursa ya kujipatia coin za RENEC kwa kufanya mining.

1. Kujisajili na kuchimba ni bure.
2. Hakuna ulazima wa kumuunga mwenzako.
3. Coin ikizinduliwa waweza kutoa pesa kwa njia ya simu au benki.

Kama upo willing, nicheki DM kwa maelezo zaidi na jinsi ya kujiunga njoo DM ni buure bila hata 50

Pia waweza kutembelea ukurasa wa instagram Heisslyman Msaba
 
haya sasa kumekucha kuna hii kitu inaitwa scatec inatoa shilingi elf 6 bure kwa members wapya. cha kufanya ni kubinya link hii hapa kisha jisajili alafu toa pesa telekeza account utakuja kunishukuru
[emoji116][emoji116][emoji116]
 
Hii nchi kuna majitu ni majinga sana. Can you imagine mtu anawaza apate hela kkisakuweka dola 2!!!?
Endeleeni kupigwa
 
haya sasa kumekucha kuna hii kitu inaitwa scatec inatoa shilingi elf 6 bure kwa members wapya. cha kufanya ni kubinya link hii hapa kisha jisajili alafu toa pesa telekeza account utakuja kunishukuru
[emoji116][emoji116][emoji116]
Mi pia nipo Scatec mkuu japo bado sijafanya withdraw ya kwanza ila nipo kwenye hatua nzuri ya kupiga pesa link yangu hii hapa Scatec
 
Nina task ya facebook advertising (malipo ni dola10)

nitakupatia tangazo utapost kwenye magroup ya Facebook au telegram

kisha utarecord video fupi ya sekunde chache

Malipo ni dola 10


inahitaji watu 10 tu wa kufanya kazi hii

malipo ni ndani ya masaa mawili tu ukishamaliza

Jiunge hapo [emoji116] usome maelekezo zaidi

 
Habari wakuu.

Naombeni njia ya kweli ambayo siyo scam ya kuingiza $2 online kwa siku.

Isiwe blogging na apps, forex, kubet, cryptocurrency na referral invite networking. sizitaki hizi njia kwasababu:

-Blogging na apps sina uzoefu nayo na sijasomea IT,
-Forex kuijua inabidi uache shughuli nyingine uconcetrate nayo,
-Kubet hakutabiriki, leo unapata kesho unakosa,
-Crypocurrency mtaji wake ni mkubwa, kima cha chini ni 100,000,
-Referral invite networking watu wanaiona ni utapeli kwakuwa wengi wameshalizwa.

Karibuni kwa ushauri wakuu, nitafurahi sana nikipata njia ya uhakika ya kuingiza $2 online kwa siku.
Kujua forex inabidi uache shughuli nyingine na uconcetrate wakati mm ni graduate na nilianza kujifunza kabla ya kuchukia shada yangu...na Sasa hivi nipo saiti na Bado nasongaa...tatizo mwafrica kufanya research/utafiti anauliza kwa watu vijiweni au small circle bas wakati unaweza kugoogle ukaingia library na vitu vingine vinavyoweza kukupa information dah....kasheshee[emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom