Nipeni Urais wa Tanzania muone namna gani CCM wametuchelewesha!

Nipeni Urais wa Tanzania muone namna gani CCM wametuchelewesha!

Kwa mujibu wa Katiba yetu ya sasa Rais halazimiki kufuata ushauri wa mtu yeyote kwa hiyo kwa sasa hata hao mnaoita Washauri sijui Rais ni taasisi ni maneno ya kwenye kanga tu!
JESHI, TISS, Polisi, TAKUKURU, TRA, Mamlaka ya Chakula na Dawa, EURA, CAG, nk..
Mamlaka ni nyingi.
Kuna wakati zinapeleka ushauri kwa rais ambaye anapaswa kutekeleza baada ya mashauriano na watalaam wengine kwa manufaa ya nchi.
Wewe kama utafanikiwa kuwashawishi watanzania na hivyo kutwaa madaraka utakuwa rais wa ovyo sana.
 
JESHI, TISS, Polisi, TAKUKURU, TRA, Mamlaka ya Chakula na Dawa, EURA, CAG, nk..
Mamlaka ni nyingi.
Kuna wakati zinapeleka ushauri kwa rais ambaye anapaswa kutekeleza baada ya mashauriano na watalaam wengine kwa manufaa ya nchi.
Wewe kama utafanikiwa kuwashawishi watanzania na hivyo kutwaa madaraka utakuwa rais wa ovyo sana.
Tofauti yetu mimi naongelea Katiba ya sasa inavyosema wewe unaongelea nadharia na maneno ya vijiweni.

Mkiambiwa Katiba na sasa ni mbovu muwe mnaelewa
 
Back
Top Bottom