Nipeni ushauri kuhusu huyu mwanamke maana nipo njia panda

Nipeni ushauri kuhusu huyu mwanamke maana nipo njia panda

Habari zenu
Bila kupoteza muda Mimi naishi jijini Arusha, nimetokea kuwa katika Mahusiano na kadada kamoja hapa hapa Arusha. Mahusiano bado hayajawa deep kwani tuna muda mchache kama miezi minne. Kikubwa kilichonivutia Kwa huyu dada ni kwamba ni mpole, mkarimu pia ana hofu Sana na Mungu(huyu dada ni muslamu) Mimi ni mkristo katika kupiga naye Stori kuhusu kubadili dini dogo yupo tayari.

Kinachonishangaza Kwa huyu demu ni kwamba yeye anadai hana simu mara nyingi huwa anatumia namba za watu wake wa karibu hasa dada yake nilijaribu kupeleleza Kwa wenzake wakaniambia kuwa simu huwa wanamuona nayo. Hapa katikati nilikuja nikapewa namba yake ya simu na watu wake wa karibu (hakunipa yeye)ambayo nayo muda mwingi haipatikani lakini inapatikana Watsup tu japo pia siyo sana.

Pindi Ninapokuwa nachati nae Watsup huwa anajibu meseji sema taratibu Sana na juzi Kati huyu dada nilitoka kumuomba picha zake anitumie Watsup akasema atanitumia lakini mpaka Leo hajatuma. Muda huo bando Kwa màana ya vocha huwa namtumia (Bila kuniomba) lakini huyu demu hajawahi kusema ahsante.

Vipi kuhusu kumtumia pesa?. Mara nyingi huyu demu huwa namuambia nimtumie pesa kidogo ya kutumia lakini cha kushangaza huwa anakataa anasema "usijali" lakini pindi Ninapokuwa nae hivi ana Kwa ana nikimpa pesa anachukua Bila shida.

Usichoke tuendelee, juzi Kati nilimwona yupo online Watsup nikachat nae akajibu mtu mwingine ambaye alijitambukisha kuwa ni dada yake na laini ya simu ni yake. Pale pale nikawaza kuwa huyu demu huenda kweli hana simu kwani dada yake nilimpigia Watsup call voice alisema huyo mdogo wake hana simu na laini anayoitumia ni yake huwa Tu anamuazima dada yake Kwa muda ili achati Watsup.

Sasa kinachonishangaza Kwa sasa kuhusu huyu dada ni kwamba hajibu tena meseji zangu Watsup yaani akiwa online nikimtumia hajibu. Hapo awali kama nilivyosema niliwahi kumuomba anitumie picha zake kadhaa Watsup akadai atanitumia lakini hajawahi kunitumia lakini muda huo huo picha zake naziona akiwa anazituma kwenye status yake watsup.

Kwa mfano Jana usiku huyu dada alikuwa online Watsup akichati na kisha nikaona amposti picha zake kwenye status lakini nikimtumia meseji kibao hajajibu na meseji zinafika. Nimetafari Kwa kina zaidi kuhusu Hali hiyo nimekuja kuwa nahisi labda kwasasabu nilichati na dada yake ambaye aliniuliza kwamba kwenye laini ni yeye ni Mimi nilimwambia au kujitambulisha kwake kwamba Mimi ni rafiki wa mdogo wake na baadae nikamwambie amsalimie koz nampenda sana.

Hapo labda nahisi labda ndiyo sababu ya yeye kutokujibu meseji zangu Watsup labda alitaka iwe Siri??.Binafsi sijui.Huyu demu umri wake ni early 20s (miaka kama 20 au 21 hivi) Mimi nina miaka 30.Kuja kwenu wana jamii forums ni kuomba ushauri kwenu je huyu mwanamke anaweza kuwa mtu sahihi kwangu?

Kwa jinsi ambavyo nilivyoeleza kwani binafsi nimetokea kumpenda Kwa dhati dada huyu na sitaki kumchezea kwani nataka kumuoa kabisa lakini sasa Kwa hili kinachoendelea Mimi kinanichanganya kuhusu yeye japo huyu demu na yeye hapo awali alishawahi kuniambia kuwa ananipenda pia.Ushauri wenu jamani.Karibuni.
ana tako kubwa?
 
Mnapatikana wapi nyie wenye mapendo ya kutosha mpk mnapungukiwa kuona mbele?

Mtoa mada emu njoo hapa Uhasibu tumtafute huyo mtoto. Atuambie chanzo cha dharau zake.
 
Habari zenu
Bila kupoteza muda Mimi naishi jijini Arusha, nimetokea kuwa katika Mahusiano na kadada kamoja hapa hapa Arusha. Mahusiano bado hayajawa deep kwani tuna muda mchache kama miezi minne. Kikubwa kilichonivutia Kwa huyu dada ni kwamba ni mpole, mkarimu pia ana hofu Sana na Mungu(huyu dada ni muslamu) Mimi ni mkristo katika kupiga naye Stori kuhusu kubadili dini dogo yupo tayari.

Kinachonishangaza Kwa huyu demu ni kwamba yeye anadai hana simu mara nyingi huwa anatumia namba za watu wake wa karibu hasa dada yake nilijaribu kupeleleza Kwa wenzake wakaniambia kuwa simu huwa wanamuona nayo. Hapa katikati nilikuja nikapewa namba yake ya simu na watu wake wa karibu (hakunipa yeye)ambayo nayo muda mwingi haipatikani lakini inapatikana Watsup tu japo pia siyo sana.

Pindi Ninapokuwa nachati nae Watsup huwa anajibu meseji sema taratibu Sana na juzi Kati huyu dada nilitoka kumuomba picha zake anitumie Watsup akasema atanitumia lakini mpaka Leo hajatuma. Muda huo bando Kwa màana ya vocha huwa namtumia (Bila kuniomba) lakini huyu demu hajawahi kusema ahsante.

Vipi kuhusu kumtumia pesa?. Mara nyingi huyu demu huwa namuambia nimtumie pesa kidogo ya kutumia lakini cha kushangaza huwa anakataa anasema "usijali" lakini pindi Ninapokuwa nae hivi ana Kwa ana nikimpa pesa anachukua Bila shida.

Usichoke tuendelee, juzi Kati nilimwona yupo online Watsup nikachat nae akajibu mtu mwingine ambaye alijitambukisha kuwa ni dada yake na laini ya simu ni yake. Pale pale nikawaza kuwa huyu demu huenda kweli hana simu kwani dada yake nilimpigia Watsup call voice alisema huyo mdogo wake hana simu na laini anayoitumia ni yake huwa Tu anamuazima dada yake Kwa muda ili achati Watsup.

Sasa kinachonishangaza Kwa sasa kuhusu huyu dada ni kwamba hajibu tena meseji zangu Watsup yaani akiwa online nikimtumia hajibu. Hapo awali kama nilivyosema niliwahi kumuomba anitumie picha zake kadhaa Watsup akadai atanitumia lakini hajawahi kunitumia lakini muda huo huo picha zake naziona akiwa anazituma kwenye status yake watsup.

Kwa mfano Jana usiku huyu dada alikuwa online Watsup akichati na kisha nikaona amposti picha zake kwenye status lakini nikimtumia meseji kibao hajajibu na meseji zinafika. Nimetafari Kwa kina zaidi kuhusu Hali hiyo nimekuja kuwa nahisi labda kwasasabu nilichati na dada yake ambaye aliniuliza kwamba kwenye laini ni yeye ni Mimi nilimwambia au kujitambulisha kwake kwamba Mimi ni rafiki wa mdogo wake na baadae nikamwambie amsalimie koz nampenda sana.

Hapo labda nahisi labda ndiyo sababu ya yeye kutokujibu meseji zangu Watsup labda alitaka iwe Siri??.Binafsi sijui.Huyu demu umri wake ni early 20s (miaka kama 20 au 21 hivi) Mimi nina miaka 30.Kuja kwenu wana jamii forums ni kuomba ushauri kwenu je huyu mwanamke anaweza kuwa mtu sahihi kwangu?

Kwa jinsi ambavyo nilivyoeleza kwani binafsi nimetokea kumpenda Kwa dhati dada huyu na sitaki kumchezea kwani nataka kumuoa kabisa lakini sasa Kwa hili kinachoendelea Mimi kinanichanganya kuhusu yeye japo huyu demu na yeye hapo awali alishawahi kuniambia kuwa ananipenda pia.Ushauri wenu jamani.Karibuni.

Unataka uambiwe kwa lugha gani kuwa hakutaki?
30 yrs of age halaf unapelekwa puta na mtoto mwenye 20s?
Tafuta grown ups ladies ambao wanaelewa
 
Yaani Kaka simu pia nikishamwambia nimnunulie lakini kama hataki hivii huwa namnunulia Zawadi kibao kumpa lakini demu haonyeshi shauku ya kuja kuchukua. Sometime nahisi labda sijui umri.

Anaogopa kuchezewa ye c malaika mpk awe na uhakika kua utamuoa.na kwa maelezo yako huyo bint yuko poa ingekua mapepe angekua anakuchuna ila kama hata ela hakuombi unampa ww tuh kwa kutaka bhc inaonesha anaogopa hata zawadi zako maana anajua una lengo la kumla kisha kupita vile....
Afu hio tabia wadada wenye bk ndio wanaZo (uoga)
 
Habari zenu
Bila kupoteza muda Mimi naishi jijini Arusha, nimetokea kuwa katika Mahusiano na kadada kamoja hapa hapa Arusha. Mahusiano bado hayajawa deep kwani tuna muda mchache kama miezi minne. Kikubwa kilichonivutia Kwa huyu dada ni kwamba ni mpole, mkarimu pia ana hofu Sana na Mungu(huyu dada ni muslamu) Mimi ni mkristo katika kupiga naye Stori kuhusu kubadili dini dogo yupo tayari.

Kinachonishangaza Kwa huyu demu ni kwamba yeye anadai hana simu mara nyingi huwa anatumia namba za watu wake wa karibu hasa dada yake nilijaribu kupeleleza Kwa wenzake wakaniambia kuwa simu huwa wanamuona nayo. Hapa katikati nilikuja nikapewa namba yake ya simu na watu wake wa karibu (hakunipa yeye)ambayo nayo muda mwingi haipatikani lakini inapatikana Watsup tu japo pia siyo sana.

Pindi Ninapokuwa nachati nae Watsup huwa anajibu meseji sema taratibu Sana na juzi Kati huyu dada nilitoka kumuomba picha zake anitumie Watsup akasema atanitumia lakini mpaka Leo hajatuma. Muda huo bando Kwa màana ya vocha huwa namtumia (Bila kuniomba) lakini huyu demu hajawahi kusema ahsante.

Vipi kuhusu kumtumia pesa?. Mara nyingi huyu demu huwa namuambia nimtumie pesa kidogo ya kutumia lakini cha kushangaza huwa anakataa anasema "usijali" lakini pindi Ninapokuwa nae hivi ana Kwa ana nikimpa pesa anachukua Bila shida.

Usichoke tuendelee, juzi Kati nilimwona yupo online Watsup nikachat nae akajibu mtu mwingine ambaye alijitambukisha kuwa ni dada yake na laini ya simu ni yake. Pale pale nikawaza kuwa huyu demu huenda kweli hana simu kwani dada yake nilimpigia Watsup call voice alisema huyo mdogo wake hana simu na laini anayoitumia ni yake huwa Tu anamuazima dada yake Kwa muda ili achati Watsup.

Sasa kinachonishangaza Kwa sasa kuhusu huyu dada ni kwamba hajibu tena meseji zangu Watsup yaani akiwa online nikimtumia hajibu. Hapo awali kama nilivyosema niliwahi kumuomba anitumie picha zake kadhaa Watsup akadai atanitumia lakini hajawahi kunitumia lakini muda huo huo picha zake naziona akiwa anazituma kwenye status yake watsup.

Kwa mfano Jana usiku huyu dada alikuwa online Watsup akichati na kisha nikaona amposti picha zake kwenye status lakini nikimtumia meseji kibao hajajibu na meseji zinafika. Nimetafari Kwa kina zaidi kuhusu Hali hiyo nimekuja kuwa nahisi labda kwasasabu nilichati na dada yake ambaye aliniuliza kwamba kwenye laini ni yeye ni Mimi nilimwambia au kujitambulisha kwake kwamba Mimi ni rafiki wa mdogo wake na baadae nikamwambie amsalimie koz nampenda sana.

Hapo labda nahisi labda ndiyo sababu ya yeye kutokujibu meseji zangu Watsup labda alitaka iwe Siri??.Binafsi sijui.Huyu demu umri wake ni early 20s (miaka kama 20 au 21 hivi) Mimi nina miaka 30.Kuja kwenu wana jamii forums ni kuomba ushauri kwenu je huyu mwanamke anaweza kuwa mtu sahihi kwangu?

Kwa jinsi ambavyo nilivyoeleza kwani binafsi nimetokea kumpenda Kwa dhati dada huyu na sitaki kumchezea kwani nataka kumuoa kabisa lakini sasa Kwa hili kinachoendelea Mimi kinanichanganya kuhusu yeye japo huyu demu na yeye hapo awali alishawahi kuniambia kuwa ananipenda pia.Ushauri wenu Simaanishi ni ajabu kudate na early 20s, ila

Habari zenu
Bila kupoteza muda Mimi naishi jijini Arusha, nimetokea kuwa katika Mahusiano na kadada kamoja hapa hapa Arusha. Mahusiano bado hayajawa deep kwani tuna muda mchache kama miezi minne. Kikubwa kilichonivutia Kwa huyu dada ni kwamba ni mpole, mkarimu pia ana hofu Sana na Mungu(huyu dada ni muslamu) Mimi ni mkristo katika kupiga naye Stori kuhusu kubadili dini dogo yupo tayari.

Kinachonishangaza Kwa huyu demu ni kwamba yeye anadai hana simu mara nyingi huwa anatumia namba za watu wake wa karibu hasa dada yake nilijaribu kupeleleza Kwa wenzake wakaniambia kuwa simu huwa wanamuona nayo. Hapa katikati nilikuja nikapewa namba yake ya simu na watu wake wa karibu (hakunipa yeye)ambayo nayo muda mwingi haipatikani lakini inapatikana Watsup tu japo pia siyo sana.

Pindi Ninapokuwa nachati nae Watsup huwa anajibu meseji sema taratibu Sana na juzi Kati huyu dada nilitoka kumuomba picha zake anitumie Watsup akasema atanitumia lakini mpaka Leo hajatuma. Muda huo bando Kwa màana ya vocha huwa namtumia (Bila kuniomba) lakini huyu demu hajawahi kusema ahsante.

Vipi kuhusu kumtumia pesa?. Mara nyingi huyu demu huwa namuambia nimtumie pesa kidogo ya kutumia lakini cha kushangaza huwa anakataa anasema "usijali" lakini pindi Ninapokuwa nae hivi ana Kwa ana nikimpa pesa anachukua Bila shida.

Usichoke tuendelee, juzi Kati nilimwona yupo online Watsup nikachat nae akajibu mtu mwingine ambaye alijitambukisha kuwa ni dada yake na laini ya simu ni yake. Pale pale nikawaza kuwa huyu demu huenda kweli hana simu kwani dada yake nilimpigia Watsup call voice alisema huyo mdogo wake hana simu na laini anayoitumia ni yake huwa Tu anamuazima dada yake Kwa muda ili achati Watsup.

Sasa kinachonishangaza Kwa sasa kuhusu huyu dada ni kwamba hajibu tena meseji zangu Watsup yaani akiwa online nikimtumia hajibu. Hapo awali kama nilivyosema niliwahi kumuomba anitumie picha zake kadhaa Watsup akadai atanitumia lakini hajawahi kunitumia lakini muda huo huo picha zake naziona akiwa anazituma kwenye status yake watsup.

Kwa mfano Jana usiku huyu dada alikuwa online Watsup akichati na kisha nikaona amposti picha zake kwenye status lakini nikimtumia meseji kibao hajajibu na meseji zinafika. Nimetafari Kwa kina zaidi kuhusu Hali hiyo nimekuja kuwa nahisi labda kwasasabu nilichati na dada yake ambaye aliniuliza kwamba kwenye laini ni yeye ni Mimi nilimwambia au kujitambulisha kwake kwamba Mimi ni rafiki wa mdogo wake na baadae nikamwambie amsalimie koz nampenda sana.

Hapo labda nahisi labda ndiyo sababu ya yeye kutokujibu meseji zangu Watsup labda alitaka iwe Siri??.Binafsi sijui.Huyu demu umri wake ni early 20s (miaka kama 20 au 21 hivi) Mimi nina miaka 30.Kuja kwenu wana jamii forums ni kuomba ushauri kwenu je huyu mwanamke anaweza kuwa mtu sahihi kwangu?

Kwa jinsi ambavyo nilivyoeleza kwani binafsi nimetokea kumpenda Kwa dhati dada huyu na sitaki kumchezea kwani nataka kumuoa kabisa lakini sasa Kwa hili kinachoendelea Mimi kinanichanganya kuhusu yeye japo huyu demu na yeye hapo awali alishawahi kuniambia kuwa ananipenda pia.Ushauri wenu jamani.Karibuni.
Tuanzie kwako, wewe kama wewe unatakaje? sana sana haya mambo sio ya kuomba ushawishi nje ya nafsi yako. Halafu at 30's umekutana na wanawake wenye tabia nyingi sana, ambao wana nyashh, ambao hawana, enhhh(mtoto wa miaka 20 ndo anakusumbua kweli, kungekuwa na room private kwa wanaume huku tungekuweka kikao mkuu).
Mbona tulishakubaliana, uwe unahudhuria vikao.
 
Miezi minne tu umechezewa akili unataka kuoa kabisa.
Umempenda au unasukumwa na upofu wa kupenda.
 
Imani mbili tofaut Huwa ni uongo shida utaiona mkishazoeana kwenye ndoa.
Huwezi ukaunganisha itikadi mbili zisizochangamana
 
Kwa umri huo mkuu tafuta Demu matured,hivyo vibinti vya generation hii vitakuua na kisukari cha mapema.
 
Habari zenu
Bila kupoteza muda Mimi naishi jijini Arusha, nimetokea kuwa katika Mahusiano na kadada kamoja hapa hapa Arusha. Mahusiano bado hayajawa deep kwani tuna muda mchache kama miezi minne. Kikubwa kilichonivutia Kwa huyu dada ni kwamba ni mpole, mkarimu pia ana hofu Sana na Mungu(huyu dada ni muslamu) Mimi ni mkristo katika kupiga naye Stori kuhusu kubadili dini dogo yupo tayari.

Kinachonishangaza Kwa huyu demu ni kwamba yeye anadai hana simu mara nyingi huwa anatumia namba za watu wake wa karibu hasa dada yake nilijaribu kupeleleza Kwa wenzake wakaniambia kuwa simu huwa wanamuona nayo. Hapa katikati nilikuja nikapewa namba yake ya simu na watu wake wa karibu (hakunipa yeye)ambayo nayo muda mwingi haipatikani lakini inapatikana Watsup tu japo pia siyo sana.

Pindi Ninapokuwa nachati nae Watsup huwa anajibu meseji sema taratibu Sana na juzi Kati huyu dada nilitoka kumuomba picha zake anitumie Watsup akasema atanitumia lakini mpaka Leo hajatuma. Muda huo bando Kwa màana ya vocha huwa namtumia (Bila kuniomba) lakini huyu demu hajawahi kusema ahsante.

Vipi kuhusu kumtumia pesa?. Mara nyingi huyu demu huwa namuambia nimtumie pesa kidogo ya kutumia lakini cha kushangaza huwa anakataa anasema "usijali" lakini pindi Ninapokuwa nae hivi ana Kwa ana nikimpa pesa anachukua Bila shida.

Usichoke tuendelee, juzi Kati nilimwona yupo online Watsup nikachat nae akajibu mtu mwingine ambaye alijitambukisha kuwa ni dada yake na laini ya simu ni yake. Pale pale nikawaza kuwa huyu demu huenda kweli hana simu kwani dada yake nilimpigia Watsup call voice alisema huyo mdogo wake hana simu na laini anayoitumia ni yake huwa Tu anamuazima dada yake Kwa muda ili achati Watsup.

Sasa kinachonishangaza Kwa sasa kuhusu huyu dada ni kwamba hajibu tena meseji zangu Watsup yaani akiwa online nikimtumia hajibu. Hapo awali kama nilivyosema niliwahi kumuomba anitumie picha zake kadhaa Watsup akadai atanitumia lakini hajawahi kunitumia lakini muda huo huo picha zake naziona akiwa anazituma kwenye status yake watsup.

Kwa mfano Jana usiku huyu dada alikuwa online Watsup akichati na kisha nikaona amposti picha zake kwenye status lakini nikimtumia meseji kibao hajajibu na meseji zinafika. Nimetafari Kwa kina zaidi kuhusu Hali hiyo nimekuja kuwa nahisi labda kwasasabu nilichati na dada yake ambaye aliniuliza kwamba kwenye laini ni yeye ni Mimi nilimwambia au kujitambulisha kwake kwamba Mimi ni rafiki wa mdogo wake na baadae nikamwambie amsalimie koz nampenda sana.

Hapo labda nahisi labda ndiyo sababu ya yeye kutokujibu meseji zangu Watsup labda alitaka iwe Siri??.Binafsi sijui.Huyu demu umri wake ni early 20s (miaka kama 20 au 21 hivi) Mimi nina miaka 30.Kuja kwenu wana jamii forums ni kuomba ushauri kwenu je huyu mwanamke anaweza kuwa mtu sahihi kwangu?

Kwa jinsi ambavyo nilivyoeleza kwani binafsi nimetokea kumpenda Kwa dhati dada huyu na sitaki kumchezea kwani nataka kumuoa kabisa lakini sasa Kwa hili kinachoendelea Mimi kinanichanganya kuhusu yeye japo huyu demu na yeye hapo awali alishawahi kuniambia kuwa ananipenda pia.Ushauri wenu jamani.Karibuni.
Kudate na pisi za Ar uwe na kifua. Hawakoleagi viungo kirahisi.
 
Wanaume mnatesekaa na mapenzii

Mzee wa 30 yrs kitoto cha afu2 kinasumbua bongo hiyooo
 
Anaogopa kuchezewa ye c malaika mpk awe na uhakika kua utamuoa.na kwa maelezo yako huyo bint yuko poa ingekua mapepe angekua anakuchuna ila kama hata ela hakuombi unampa ww tuh kwa kutaka bhc inaonesha anaogopa hata zawadi zako maana anajua una lengo la kumla kisha kupita vile....
Afu hio tabia wadada wenye bk ndio wanaZo (uoga)
Naunga mkono hii comment bikra wanatabia kama hizo mimi nishahidi mwenyewe kabsaa
 
Habari zenu
Bila kupoteza muda Mimi naishi jijini Arusha, nimetokea kuwa katika Mahusiano na kadada kamoja hapa hapa Arusha. Mahusiano bado hayajawa deep kwani tuna muda mchache kama miezi minne. Kikubwa kilichonivutia Kwa huyu dada ni kwamba ni mpole, mkarimu pia ana hofu Sana na Mungu(huyu dada ni muslamu) Mimi ni mkristo katika kupiga naye Stori kuhusu kubadili dini dogo yupo tayari.

Kinachonishangaza Kwa huyu demu ni kwamba yeye anadai hana simu mara nyingi huwa anatumia namba za watu wake wa karibu hasa dada yake nilijaribu kupeleleza Kwa wenzake wakaniambia kuwa simu huwa wanamuona nayo. Hapa katikati nilikuja nikapewa namba yake ya simu na watu wake wa karibu (hakunipa yeye)ambayo nayo muda mwingi haipatikani lakini inapatikana Watsup tu japo pia siyo sana.

Pindi Ninapokuwa nachati nae Watsup huwa anajibu meseji sema taratibu Sana na juzi Kati huyu dada nilitoka kumuomba picha zake anitumie Watsup akasema atanitumia lakini mpaka Leo hajatuma. Muda huo bando Kwa màana ya vocha huwa namtumia (Bila kuniomba) lakini huyu demu hajawahi kusema ahsante.

Vipi kuhusu kumtumia pesa?. Mara nyingi huyu demu huwa namuambia nimtumie pesa kidogo ya kutumia lakini cha kushangaza huwa anakataa anasema "usijali" lakini pindi Ninapokuwa nae hivi ana Kwa ana nikimpa pesa anachukua Bila shida.

Usichoke tuendelee, juzi Kati nilimwona yupo online Watsup nikachat nae akajibu mtu mwingine ambaye alijitambukisha kuwa ni dada yake na laini ya simu ni yake. Pale pale nikawaza kuwa huyu demu huenda kweli hana simu kwani dada yake nilimpigia Watsup call voice alisema huyo mdogo wake hana simu na laini anayoitumia ni yake huwa Tu anamuazima dada yake Kwa muda ili achati Watsup.

Sasa kinachonishangaza Kwa sasa kuhusu huyu dada ni kwamba hajibu tena meseji zangu Watsup yaani akiwa online nikimtumia hajibu. Hapo awali kama nilivyosema niliwahi kumuomba anitumie picha zake kadhaa Watsup akadai atanitumia lakini hajawahi kunitumia lakini muda huo huo picha zake naziona akiwa anazituma kwenye status yake watsup.

Kwa mfano Jana usiku huyu dada alikuwa online Watsup akichati na kisha nikaona amposti picha zake kwenye status lakini nikimtumia meseji kibao hajajibu na meseji zinafika. Nimetafari Kwa kina zaidi kuhusu Hali hiyo nimekuja kuwa nahisi labda kwasasabu nilichati na dada yake ambaye aliniuliza kwamba kwenye laini ni yeye ni Mimi nilimwambia au kujitambulisha kwake kwamba Mimi ni rafiki wa mdogo wake na baadae nikamwambie amsalimie koz nampenda sana.

Hapo labda nahisi labda ndiyo sababu ya yeye kutokujibu meseji zangu Watsup labda alitaka iwe Siri??.Binafsi sijui.Huyu demu umri wake ni early 20s (miaka kama 20 au 21 hivi) Mimi nina miaka 30.Kuja kwenu wana jamii forums ni kuomba ushauri kwenu je huyu mwanamke anaweza kuwa mtu sahihi kwangu?

Kwa jinsi ambavyo nilivyoeleza kwani binafsi nimetokea kumpenda Kwa dhati dada huyu na sitaki kumchezea kwani nataka kumuoa kabisa lakini sasa Kwa hili kinachoendelea Mimi kinanichanganya kuhusu yeye japo huyu demu na yeye hapo awali alishawahi kuniambia kuwa ananipenda pia.Ushauri wenu jamani.Karibuni.

Hii akili ndo unavukia nayo barabara au uko na nyingine
 
Habari zenu
Bila kupoteza muda Mimi naishi jijini Arusha, nimetokea kuwa katika Mahusiano na kadada kamoja hapa hapa Arusha. Mahusiano bado hayajawa deep kwani tuna muda mchache kama miezi minne. Kikubwa kilichonivutia Kwa huyu dada ni kwamba ni mpole, mkarimu pia ana hofu Sana na Mungu(huyu dada ni muslamu) Mimi ni mkristo katika kupiga naye Stori kuhusu kubadili dini dogo yupo tayari.

Kinachonishangaza Kwa huyu demu ni kwamba yeye anadai hana simu mara nyingi huwa anatumia namba za watu wake wa karibu hasa dada yake nilijaribu kupeleleza Kwa wenzake wakaniambia kuwa simu huwa wanamuona nayo. Hapa katikati nilikuja nikapewa namba yake ya simu na watu wake wa karibu (hakunipa yeye)ambayo nayo muda mwingi haipatikani lakini inapatikana Watsup tu japo pia siyo sana.

Pindi Ninapokuwa nachati nae Watsup huwa anajibu meseji sema taratibu Sana na juzi Kati huyu dada nilitoka kumuomba picha zake anitumie Watsup akasema atanitumia lakini mpaka Leo hajatuma. Muda huo bando Kwa màana ya vocha huwa namtumia (Bila kuniomba) lakini huyu demu hajawahi kusema ahsante.

Vipi kuhusu kumtumia pesa?. Mara nyingi huyu demu huwa namuambia nimtumie pesa kidogo ya kutumia lakini cha kushangaza huwa anakataa anasema "usijali" lakini pindi Ninapokuwa nae hivi ana Kwa ana nikimpa pesa anachukua Bila shida.

Usichoke tuendelee, juzi Kati nilimwona yupo online Watsup nikachat nae akajibu mtu mwingine ambaye alijitambukisha kuwa ni dada yake na laini ya simu ni yake. Pale pale nikawaza kuwa huyu demu huenda kweli hana simu kwani dada yake nilimpigia Watsup call voice alisema huyo mdogo wake hana simu na laini anayoitumia ni yake huwa Tu anamuazima dada yake Kwa muda ili achati Watsup.

Sasa kinachonishangaza Kwa sasa kuhusu huyu dada ni kwamba hajibu tena meseji zangu Watsup yaani akiwa online nikimtumia hajibu. Hapo awali kama nilivyosema niliwahi kumuomba anitumie picha zake kadhaa Watsup akadai atanitumia lakini hajawahi kunitumia lakini muda huo huo picha zake naziona akiwa anazituma kwenye status yake watsup.

Kwa mfano Jana usiku huyu dada alikuwa online Watsup akichati na kisha nikaona amposti picha zake kwenye status lakini nikimtumia meseji kibao hajajibu na meseji zinafika. Nimetafari Kwa kina zaidi kuhusu Hali hiyo nimekuja kuwa nahisi labda kwasasabu nilichati na dada yake ambaye aliniuliza kwamba kwenye laini ni yeye ni Mimi nilimwambia au kujitambulisha kwake kwamba Mimi ni rafiki wa mdogo wake na baadae nikamwambie amsalimie koz nampenda sana.

Hapo labda nahisi labda ndiyo sababu ya yeye kutokujibu meseji zangu Watsup labda alitaka iwe Siri??.Binafsi sijui.Huyu demu umri wake ni early 20s (miaka kama 20 au 21 hivi) Mimi nina miaka 30.Kuja kwenu wana jamii forums ni kuomba ushauri kwenu je huyu mwanamke anaweza kuwa mtu sahihi kwangu?

Kwa jinsi ambavyo nilivyoeleza kwani binafsi nimetokea kumpenda Kwa dhati dada huyu na sitaki kumchezea kwani nataka kumuoa kabisa lakini sasa Kwa hili kinachoendelea Mimi kinanichanganya kuhusu yeye japo huyu demu na yeye hapo awali alishawahi kuniambia kuwa ananipenda pia.Ushauri wenu jamani.Karibuni.

Nikiwa km mwanamke hiyo maana yake unatakiwa umnunulie simu na sio kumtafuta kwenye simu ya ndugu yake.Hilo ni jaribio la kwanza analokupa ila ww unajitoa ufahamu.Km huwezi kununua simu mahari ndo utaweza kutoa bro[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukweli mkuu ni kwamba ANA MWANAUME MWINGINE ANAEMPENDA ZAIDI YAKO.ILA JAMAA HAMPENDI HATA UKIOA ATAENDELEA LIWA KISERA
 
Back
Top Bottom