Nipeni ushauri: Mke wangu ameninunia kwa miezi saba sasa. Navumilia tu hata sijui mwisho wake

Nipeni ushauri: Mke wangu ameninunia kwa miezi saba sasa. Navumilia tu hata sijui mwisho wake

Navumilia tu mimi navumilia (Bwana nateseka ) Navumilia tu kwani ipo siku ya kwishaaaa
Kibwagizo..........


Shida kubwa ni kwamba una lazimisha kitu ambacho mwenzio hakipo tena.

Mwenzako kasha achieve target zake hata ufanya vipi ndo basi tena kubaliana na matokeo. Huko unakoenda eti watoto watateseka wakati aliye beba mimba miezi9 na kuumwa uchungu hana habari ya wtoto kuteseka wewe hiyo habari unaitoa wapi?

WEWE PIGA CHINI NA USIMFUKUZE HAPO HAMA UWE UNAKUJA KAMA MGENI NA USIMFUKUZE KABISA AKIENDA MAHAKAMANI KUDAI TALAKA KATAA KWANZA MYUMBISHE SANA.shida yenu tunapowaambia hapa mkipewa yteyte mnaanza kuropoka Etii NIKIFA MKEWANGU ASIOLEWE ALIKUWA ANASEMA NIKUACHE NIWE NAKUJA NYUMBANI KAMA MGENI.....sasa mkuu pambana.
Mwache mwenzio naye awe na wivu na mke wake. Unafikri kumwachia mke ni rahisi kihivyo? Wewe mwenyewe una wivu mpaka ukiwa marehemu sasa kwa mzima itakuwaje?
 
Huyu ni Ngombe- Je kama muda huu angekuwa ameshakufa! Hao watoto wasingeteseka??? Unachosubiria utakipata.... huyo Mke wako akupendi na akuna Mwanamke anaweza kaa miezi 7 bila kupata Mtalimbo:: ana maisha yake kwa sasa ukiendelea kuwa kinganganizi Ata kurestisha in Pieces and not in peace..... Hama hapo katafute ata chumba kimoja,,, potea kwa miezi mitatu ikiwezekana ata simu badili line , shea namba mpya na walio muhimu kwako!! Kisha lea watoto wako
 
Miezi 7,huyo mwanamke ni kiboko

Wangu nae huwa ananuna sana na kukumbuka ya mbali na kulia lia sana,nikiona kamaliza siku mbili huwa nageuka nakuwa mr. Bean au charlie chaplin,nikiona bado kanuna nampiga kitombo cha kumshtukiza afu kitamu,baada ya hapo tunaanza kuongea kama zaman
 
Usaliti uwa ni mbaya sanaa watu hatujui tu...
Juzi kati alinipigia baba angu mdogo ambaye ni mstaafu wa mwaka jana mwezi wa 7

Dingi akawa ananieleza changamoto za mama angu Kua wanaishi hovyo sanaa na huu ni mwaka wa pili hakuna Ata sex na mama yupo tayar Ata aondoke ila sio swala la kusex wala kutoa huduma kama mke
Back then uyu dingi kipind yupo kwenye ubora wake alikua ni kicheche balaa ana watoto wawil nje tunao wajua ila kuna uwezekano kuwepo wengine, dharau na pesa yake haijulikani ilikua inaishia wap ya mshahara na mikopo yake mana mpk anastaafu ana nyumba moja tu ambayo ilianza kujengwa toka mwanzon mwa 2000s huko ulongoni gongolamboto watoto wala hakusomesha vizur yaan mambo hovyo hovyo tu..

Kilichokuja kumuumiza huyu mama ni kusikia jamaa kazaa nje na mwanamke kajengewa nyumba aisee hii 2018 hiv toka hapo huyo mama yupo yupo tu haelew kabisa

Ndugu nimekupa hii story kama somo ama casy study kama ugomvi unatokana na usaliti aisee una kazi ya ziada sanaa kurudisha hisia za huyo mwenza wako yaan jenga ukaribu sanaa na mfanyie hata vitu vikubwa kuliko uwezo wako Amani irudi mana unaweza Ata pewa sumu mzee...

Ebu imagine mimi nipo kwenye 30s mzee wA miaka 60 ananieleza mambo mazito kama haya kwa kutafuta sulushen toka kwangu
 
Usaliti uwa ni mbaya sanaa watu hatujui tu...
Juzi kati alinipigia baba angu mdogo ambaye ni mstaafu wa mwaka jana mwezi wa 7

Dingi akawa ananieleza changamoto za mama angu Kua wanaishi hovyo sanaa na huu ni mwaka wa pili hakuna Ata sex na mama yupo tayar Ata aondoke ila sio swala la kusex wala kutoa huduma kama mke
Back then uyu dingi kipind yupo kwenye ubora wake alikua ni kicheche balaa ana watoto wawil nje tunao wajua ila kuna uwezekano kuwepo wengine, dharau na pesa yake haijulikani ilikua inaishia wap ya mshahara na mikopo yake mana mpk anastaafu ana nyumba moja tu ambayo ilianza kujengwa toka mwanzon mwa 2000s huko ulongoni gongolamboto watoto wala hakusomesha vizur yaan mambo hovyo hovyo tu..

Kilichokuja kumuumiza huyu mama ni kusikia jamaa kazaa nje na mwanamke kajengewa nyumba aisee hii 2018 hiv toka hapo huyo mama yupo yupo tu haelew kabisa

Ndugu nimekupa hii story kama somo ama casy study kama ugomvi unatokana na usaliti aisee una kazi ya ziada sanaa kurudisha hisia za huyo mwenza wako yaan jenga ukaribu sanaa na mfanyie hata vitu vikubwa kuliko uwezo wako Amani irudi mana unaweza Ata pewa sumu mzee...

Ebu imagine mimi nipo kwenye 30s mzee wA miaka 60 ananieleza mambo mazito kama haya kwa kutafuta sulushen toka kwangu
 
Ndio akili za wanawake hizi, kwamba utumie gharama kuomba msamaha, na pesa ilivyo ngumu.

Wewe shauri lako, kosa lake kwani gharama shida nini kama anataka kusevu ndoa yake..

Akili zingine kama zako ni janga... Hauna pesa nyamaza acha wengine wajue kubembeleza..
 
Kwahiyo braza upajui utamuni kwake miezi 7 sasa... unaiona kwenye net ile lakini huwezi kuigusa...... na akitoka kuoga unaiona kwenye kanga lakini huwezi kuigusa........haya mateso bora ufwee
 
kuachana nae nahofia mwanangu na mali tulizotafuta kwa pamoja

Nahofia tukiachana kila kitu kitasambaratika na watoto wataanza pata tabu mana mali ndio hadhina ya watoto. am stuck
Jicho lote ametolea hapo ulichelewa ku-neutralise hio kitu usimuonyeshe mwanamke unampenda sababu ya mali ulizo nazo hio ndio ataitumia km silaha ya kukuangamiza na utaangamia
 
Maelekezo Yako kidogo yanachanganya ila hapo yupo mtu nyuma ya pazia (unaibiwa na hujagundua tu ni ajabu). Kwa waumini wa kiislamu mwanamke akikunyima sex kwa makusudi kwa miezi 3 (90 days) hamna ndoa, talaka hufuata. Maana hairuhusiwi kununiana zaidi ya siku 3 kwa waumini.
 
Wewe shauri lako, kosa lake kwani gharama shida nini kama anataka kusevu ndoa yake..

Akili zingine kama zako ni janga... Hauna pesa nyamaza acha wengine wajue kubembeleza..
Atoe pesa tena ili iweje? Mwanamke gani huyo ambae ukimpa 100 hatotaka 1000 na ukimpa 1000 hatotaka 10,000 na ukimpa 10,000 hatotaka 100,000 yaan kidogo ukimpa anakizidisha ×10

Ndio maana mimi nanyima na naona formula yangu inafanya kazi
 
Wewe shauri lako, kosa lake kwani gharama shida nini kama anataka kusevu ndoa yake..

Akili zingine kama zako ni janga... Hauna pesa nyamaza acha wengine wajue kubembeleza..
Mwanamke habembelezwi Kwa nguvu kubwa, ukiona mwanaume anatumia nguvu kubwa kukumbeleza basi humpendi. Na hata kama ukimsamehe siku akikukosea tena hutotaka kupelekwa mbugani Tz utaomba ununuliwa Subaru Ili umsamehe, siku nyingine akikosea tena utaomba upelekwe Dubai Ili umsamehe.

Kuhusu pesa nikweli sina pesa za kuombea msamaha mwanamke.

Apige chini hiyo Ng'ombe.
 
Back
Top Bottom